LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Hata kama hajui kuandika mistari ntamuandikia Mimi. Tutapiga hela hatari.
Huyu ndio rapper sasa sio watoto wa mama kama kina Omollo
( pichani ni baada ya mama ake kuja eneo la tukio na kumwambia " MWANANGU kama Mimi ndo mama ako nilie kuzaa basi nakuomba kubali yaishe wakukamate nitakuja kukuwekea dhamana.. Hapo dogo akakumbuka maneno ya kichaa wake Tupac kwenye wimbo Dear Mama akaona ngoja awakaushie tu waenda.)
Kama hao wajeda wana akili huyu dogo wasi mprosecute. Wamuingize jeshini. Ana kitu ndani yake
Huyu ndio rapper sasa sio watoto wa mama kama kina Omollo
( pichani ni baada ya mama ake kuja eneo la tukio na kumwambia " MWANANGU kama Mimi ndo mama ako nilie kuzaa basi nakuomba kubali yaishe wakukamate nitakuja kukuwekea dhamana.. Hapo dogo akakumbuka maneno ya kichaa wake Tupac kwenye wimbo Dear Mama akaona ngoja awakaushie tu waenda.)
Kama hao wajeda wana akili huyu dogo wasi mprosecute. Wamuingize jeshini. Ana kitu ndani yake