Namtafuta huyu dogo

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,120
27,126
Hata kama hajui kuandika mistari ntamuandikia Mimi. Tutapiga hela hatari.

Huyu ndio rapper sasa sio watoto wa mama kama kina Omollo

( pichani ni baada ya mama ake kuja eneo la tukio na kumwambia " MWANANGU kama Mimi ndo mama ako nilie kuzaa basi nakuomba kubali yaishe wakukamate nitakuja kukuwekea dhamana.. Hapo dogo akakumbuka maneno ya kichaa wake Tupac kwenye wimbo Dear Mama akaona ngoja awakaushie tu waenda.)


Kama hao wajeda wana akili huyu dogo wasi mprosecute. Wamuingize jeshini. Ana kitu ndani yake
 
Huyu hata akisema anatoa single unaweza kupata wa kumsikiliza kwa sababu at least kaonyesha ana upekee ndani yake.
 

Attachments

  • Screenshot_20230826-104903.png
    Screenshot_20230826-104903.png
    104.9 KB · Views: 8

Similar Discussions

Back
Top Bottom