Penzi langu
Kama nikiyapa pesa, siku ikinisaliti?
Sitaki kulipepesa, hii haitaji siti
Sio yule wa madesa, kuyamwagiwa manoti
Nimeridhi penzi langu, nalitoa kwa kalamu
Nimliwazaji wangu, peke anayenisema
Nimpaye tunu yangu, nikiwa nimeumia
Ajua furaha yangu, hachoki kunisemea
Nimeridhi penzi...