wote

  1. CONTROLA

    Kina Kaka Kina Baba,ebu tuingie kwenye Maombi Tuwaombee wanawake wote Waliojaaliwa...

    Najua kuna wanawake humu wanakubaliana na mimi kuwa kuna wenzao wameumbwa wakaumbika,Yani engineera aliyewaumba wao hakuchakachua cement wala tofali wala nondo, Ratio na Cement na mchanga ilikua kwa kipimo sahihi. Hao wanawake wamejazana mitaani,akipita mbele yako hata kama unamuongoza mtu sala...
  2. S

    Sakata la utekaji: Zitto Kabwe na uelewa wako wote na wewe umeingia katika huu mtego?

    Binafsi naona yule Bwana anaedaiwa kutekwa huenda atakuwa amegusa wanasiasa na kilichomtokea huenda ni kutekeleza matakwa ya wanasiasa na ndio maana kinachoendelea katika hili sakata kwa sasa ni kama mchezo wa kuigiza kwani hata weledi wa wahusika kulishughulikia umekosokena na sasa ni full...
  3. J

    Waziri Jafo: Joketi ndio kiongozi anayefanya kazi vizuri kuliko Wakuu wa Wilaya wote hapa Tanzania, afungua choo

    Waziri wa TAMISEMI Mh. Jaffo amesema hatashangaa endapo mkuu wa wilaya ya Kisarawe mh Joketi atapandishwa cheo kwa sababu ndiye DC anayeongoza kwa kuchapa kazi kuliko wakuu wa wilaya wote Tanzania. Mh Jaffo amesema ameamua kuyasema hayo kwa sababu yeye siyo mnafiki kwani wanafiki wana tabia ya...
  4. MIXOLOGIST

    Nawatakieni wote heri ya sikukuu za Noel (Christmas) na Mwaka Mpya

    Habari za asubuhi wakuu, Kwa niaba yangu mimi mwenyewe nawatakieni wote heri ya hizi sikukuu mbili kubwa christmas and newyear. Mungu awape yale mnayoyatamani na awafanyie wepesi katika magumu yenu. Nawasilisha.
  5. J

    Mchungaji Msigwa: CHADEMA ni kama treni ya abiria, siyo lazima wasafiri wote wafike mwisho wa safari, wengine hushukia vituo vya njiani

    Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa ambaye pia ni Mbunge wa Iringa Mjini amekifananisha chama chake na treni ya abiria. Msigwa ambaye alikuwa anahojiwa na mtangazaji Godfrey Monyo wa ITV aliyehoji kwanini viongozi wa Chadema wanahamahama alisema abiria wa treni siyo lazima wote wafike mwisho...
  6. ahter

    Zawadi kwa wanaJamiiForums wote

    hii ni kwa wote wanaopenda mesage, na kama unao ujumbe tuma nikutengenezee ikiwa ni zawadi special. zangu mimi kwenu ni hizi
  7. K

    Tahadhari kwa wapenda kula matunda wote, juweni kuna homa ya ini

    Katika kula tunda, kuna kuanza kwa kula denda, kulamba chumvi, kulamba dushe, na hatimae kula tunda, na katika kula tunda kuna kutoka jasho, na mwisho kabisa kuna kumwaga majimaji kwa wote wawili. Tangazo ni hili, hivi sasa kuna homa ya INI, hii huambukizwa kwa kugusana ama kuachiana majimaji...
  8. T

    Tundu A. Lissu, Nakushauri hama chama; una akili kuliko wao wote pamoja na chama chote ukijumlisha

    Swali la kwanza kujiuliza hivi huyu wanae Muita mwenyekiti wa Kudumu (Nkulunzinza) uwa ana muda wa kukaa Kutafakari/Kufikiria hata kidogo au anawaza Kupiga deal tu? Mwanafalsafa Marchiaveli anasema Prince lazima azungukwe na watu ambao hata mtu mwenye hekima akiwangalia tu kwa Haraka anasema...
  9. M

    Freeman Mbowe: Rais leta maridhiano ya Kitaifa, sisi CHADEMA tuko tayari

    Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amemtaka Rais Magufuli kuleta maridhiano ya kitaifa na kwamba yeye na chama chake wamenyoosha mkono wa mapatano. Ifuatayo ni Hotuba Fupi ya Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Tanzania Freeman Aikael Mbowe mbele ya Watanzania katika kuadhimisha miaka 58 ya...
  10. Super Villain

    Who is the greatest villain of all time ( Yupi ni Adui yako pendwa wa muda wote katika movie zote ulizowahi kuziona)

    Hii ni kwa wale wapenda movie huwa tumezoe kuona wengi huwapenda sana mahero/starring kwenye movie kushinda maadui mm ni mmoja kati ya watu ambao wanaopenda sana maadui kushinda mahero/starring katika movie huwa nafurahi sana kuwaona hawa mastarring/mahero wakiteseka.Yupi kwako ni adui au maadui...
  11. GENTAMYCINE

    Sasa ni rasmi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul C. Makonda ana Akili, Elimu na Ufahamu mkubwa kuliko Watanzania wote

    Kama kuna Mtu ambaye nilikuwa nabisha na nakataa kabisa kuhusu ‘ Dhihaka ‘ za Watanzania wenye Akili nyingi dhidi ya Uelewa na Uwezo wa Maarifa aliyonayo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul C. Makonda basi nilikuwa ni Mimi GENTAMYCINE ila kwa nilichokisikia leo na Mimi sasa rasmi...
  12. Pdidy

    Muda muafaka madalali wote wawe registered serikali tupate kodi yetu

    Wakati muafaka sasa hawa watu kuanzia kulipa kodi serikalini kama wanavyolipa wengine. Napendekeza serikali kuanza kutoa tangazo la wote kuwa registered. Else wasiruhusiwe kamwe kujishugulisha na uuzaji wa mali zozote.
  13. GENTAMYCINE

    Wana JamiiForums wote ' tuliokwazika ' na Bondia Hassan Mwakinyo ' tumsamehe ' kwani hatimaye amemuomba Radhi ' Legend ' Rashid Matumla

    Nikiwa kama Mmoja wa Watu niliochukizwa kama siyo kukasirishwa na Kitendo Bondia Mwakinyo cha Kumdhihaki Bondia mwenye Historia iliyotukuka hapa Tanzania Rashid Matumla hadi GENTAMYCINE nikaanzisha Uzi wa Kumsema ambao uliibua Hasira Kali za Watanzania zilizosambaa sehemu mbalimbali hatimaye leo...
  14. GENTAMYCINE

    Wana JamiiForums wote ' tuliokwazika ' na Bondia Hassan Mwakinyo ' tumsamehe ' kwani hatimaye amemuomba Radhi ' Legend ' Rashid Matumlla

    Nikiwa kama Mmoja wa Watu niliochukizwa kama siyo kukasirishwa na Kitendo Bondia Mwakinyo cha Kumdhihaki Bondia mwenye Historia iliyotukuka hapa Tanzania Rashid Matumla hadi GENTAMYCINE nikaanzisha Uzi wa Kumsema ambao uliibua Hasira Kali za Watanzania zilizosambaa sehemu mbalimbali hatimaye leo...
  15. Sky Eclat

    Malezi ni jukumu letu wote, potty training si jukumu la mama peke yake

    Tena wengine wanafikiri ni jukumu la dada wa kazi.
  16. CONTROLA

    Kwa wanawake wote wanaotupenda wanaume tusio na kitu

    Kuna wanawake dunia hii wana sifa zote za kuitwa wanawake,unajua siku zote mwanamke kaumbwa kama kiumbe chenye unyenyekevu/ mpole/ mtiifu/ mkarimu nk ila shida inakuja kuna ingizo jipya sijui hawa wameumbwa na Mungu yupi kwakwe sijui. Leo mimi sina maneno mengi zaidi ya kusema Asante kwa...
  17. J

    Dr. Bashiru: Wale wote waliomtukana Rais Magufuli bado wana mashtaka ya kujibu mbele ya CCM, msamaha waliopata ni wa Dr Magufuli siyo CCM

    Katibu mkuu wa CCM, Dr Bashiru Ally amesema wale wote waliomtukana Mwenyekiti wa CCM, Dr. Magufuli bado wana kesi ya kujibu mbele ya kamati ya nidhamu ya chama. Dr. Bashiru amesema wale walioomba msamaha na kusamehewa walifanya hivyo kama watu binafsi na Dr. Magufuli aliwasamehe kama mzazi...
  18. K

    CCM ni chama pekee Tanzania chenye kutoa fursa sawa kwa wote kuchaguliwa nafasi za uongozi, vyama vingine ni ubabaishaji tu unafanyika

    Wakati CHADEMA ikiwa inajiandaa kufanya uchaguzi wa viongozi ndani ya chama chao, wametoa orodha ya wagombea uenyekiti kanda mbalimbali za kichama. Orodha hiyo imenishangaza katika mambo mawili: la kwanza, orodha ya wagombea wote wa kanda zote 10 ni waheshimiwa kwa maana ya kwamba wana nafasi...
  19. Jaji Mfawidhi

    "Mabeberu" na "Sokwe" ni kitu kimoja, wote wanyama!

    Serikali ya awamu ya tano, imerudisha neno beberu lililotumiwa na mwalimu wakati wa harakati za ukombozi wa Afrika. Baada ya kupata uhuru tukawaita "wakoloni" haijalishi mtu huyo alitutawala ama la. Wakoloni ni " waingereza, reno, Belgiji, Jerumani, Waarabu" MAGUFULI ameanza kuita WAZUNGU...
Back
Top Bottom