wote

  1. S

    JamiiForums Tanzania Jesca Kishoa: Mwigulu Nchemba ametuaibisha wanyiramba na wana Singida wote

  2. VUTA-NKUVUTE

    JamiiForums Tanzania Nauanika ukweli: Mwaka huu wagombea wote wa CCM lazima wawe 'Timu Magufuli"

    Kwenye siasa, ambamo nimo kwa miaka takribani arobani, timu hazikosekani. Kuanzia kwenye vyama vya siasa na hata kwenye chaguzi, ushindi hupatikana kupitia timu. Timu huratibu bila tabu; hutibu kama tabibu; hunogesha kama mkesha na hurekebisha kama maisha. Timu ndiyo kila kitu kwenye siasa na...
  3. polokwane

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa Tanzania iwe na wabunge 185 tu. Wabunge 199 wapunguzwe wote wanalitia hasa Taifa hawana masaada kabisa

    Ndiyo ! Hayo ni maoni yangu ya dhati kabisa ili kupunguza matumizi ya fedha za umma Tanzania ina halmashauri 185 tu ambazo zingetosha kabisa kuwakilishwa na mbunge mmoja mmoja kila halmashauri wakisaidiwa na madiwani Kuwa na wabunge 384 kwa nchi kama tanzania ambayo ina changamoto nyingi za...
  4. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Nawatakia heri ya Sikukuu ya Pasaka Wanachadema wote duniani kote, Mungu awabariki sana

    Hizi ndio salamu zangu za Sikukuu ya Pasaka kwenu nyote , Wanachama , Wapenzi pamoja na viongozi wote popote mlipo duniani , nyinyi ndio nguzo ambayo watanzania wameichimbia ili nyumba isibomoke , juhudi zenu zinatambulika , vikwazo mnavyopitia ndio ile " njia nyembamba " inayotajwa kwenye...
  5. Rich Pol

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

    Sio tu kwamba wana madaraka makubwa ya kisiasa nchini mwao, bali wana elimu kubwa kwenye fani mbalimbali jambo linalothibithisha usemi wa Kiingereza wa “readers are leaders,” yaani viongozi ni watu wenye hulka ya kusoma sana. Hii ni orodha ya wakuu wa nchi za Afrika wenye elimu kubwa zaidi...
  6. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Washindi wote wa Bss waliopita warudishiwe 30M zao..ntashangaa Mh Juliana mkiruhusu haya mashindano mwakani

    Kamaa hali ndioo hii Mil 50 30M mnabaki Nazo ATI promo Nashauri serikali iamuru washindii WOTE waliopita WA BSS WAPEWE MIL 30 ZAO NDIPO mashindanoo yaendelee Atakuwa busaraa kama huyu analipwa cash na waliopita waachwe Hahaa mashindano yamekuwa na uhuni mwingi sana sana nahisii yamefikia...
  7. mayowela

    JamiiForums Tanzania Maproducer bora wa muziki kwa wakati wote, achana na wa kizazi hiki

    Wakati Bongo Fleva inakuwa, producers wengi walikuwa wakali na kila mmoja alikuwa na radha yake kwenye muziki, ukisikia ngoma mpya tu unajua huyu ni flani, kila mtu alikuwa na jina lake na hata wasanii wake, na kila mmoja alitengeneza msanii na kumfikisha kwenye peak. Kwangu hwa ndio walikuwa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa wote waliounga mkono juhudi...

    Kwenu nyote mliohama vyama vyenu (haijalishi ni chama gani ulikotoka na chama gani ulihamia) naomba jibu swali hili (ukipenda); 1. Kitu kipi kilikufanya uwe kwenye chama ulichokuwa nacho kabla hujajiunga kwingine? 2. Na ulipoamua kuunga mkono juhudi; kipi kilichobadilika ulipotoka na kule...
  9. Papaa Mobimba

    JamiiForums Tanzania Serikali: Wagonjwa watano wathibitika kuwa na Virusi vya Corona na kupelekea kuwa na idadi ya wagonjwa 19 (Machi 30, 2020)

    Waziri Ummy Mwalimu akitoa taarifa juu ya mwenendo wa Virusi vya Corona nchini amesema leo asubuhi wamepokea vipimo vya wagonjwa watano kutoka maabara ya taifa, watatu wanatoka Tanzania Bara na wawili wakitokea Zanzibar. Idadi imefikia 19 akiwepo mgonjwa mmoja aliyetangazwa na Waziri wa Afya wa...
  10. Superbug

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wote wakikataa kufanya mapenzi ni mwisho wa dunia

    Imagine dunia nzima wanawake wagome kufanya mapenzi itakuwaje? Kuanzia walio ndoani mpaka makahaba. Hakutakuwa na uzao Tena na ndio itakuwa mwisho wa dunia.
  11. Kabembe

    JamiiForums Tanzania Aidha Wafanyakazi wa NMB Bank au NMB Bank yenyewe au wote wanaibia Wateja na serikali

    Wakuu naandika uzi huu nikiwa shuhuda wa ninalotaka kuongelea, inawezekana labda mimi ndio sijui mabadiliko ya mifumo ya kibenk haswa kwenye kufungua account mpya. Nimewahi fungua account kadhaa kwenye bank tofauti hapo nyuma lakini hili nililolishuhudia NMB limenistua. Mara zote unapofungua...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Natoa changamoto kwa maaskofu, maulamaa, mashekhe, wachungaji, mapadre, mitume na manabii wote

    Kule Vatican katika makao makuu ya kanisa ambapo ni sehemu kuu ya kumwabudia Mungu ambako ilitarajiwa ibada ya maji matakatifu kwa waumini hasa kipindi hiki cha Kwaresma kama Mungu alivyowaagiza miaka yote kwa sasa kumefungwa. Na maelekezo ya aliyowapa Mungu kufanya ibada hizo yamesitishwa kwa...
  13. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Maofisa wa Afya South Sudan wakimpima afya mkwe wa Malkia Elizabeth airport

    Sophie Wessex alimuakilisha Malkia South Sudan mwezi huu. Maofisa wa afya walimpima afya mara tu aliposhuka kwenye ndege. Sophie was in fact pictured being tested for the coronavirus on arrival, with the Queen's ambassador to South Sudan Chris Trott writing on Twitter: "Very pleased to...
  14. Omerta

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

    .............
  15. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole usipotoshe umma, waliofanya maandamano wote walikuwa CHADEMA

    Polepole wewe ni Mkristu na huu ni mwezi wa Kwaresima, kabla hujasema uongo kwaajili ya tumbo lako muogope Mungu.
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ibada ya kuaga mwili wa Marehemu Akwilina: Padri Mayanga ataka aliyeua awekwe wazi, awaombe radhi Watanzania

    WASIFU WA AKWILINA AKWILINI Akwilina Akwilini alizaliwa tarehe 1 April, 1996 katika Kijiji cha Olele-Marangu, wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro, akiwa ni mtoto wa sita kati ya watoto nane wa familia ya mzee Akwilini Shirima. Akwilina alipata sakramenti mbalimbali katika kanisa Katoliki la...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

    Mahakama ya Kisutu leo Machi10, inatarajia kutoa hukumu kwa Viongozi wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi Mahakamani hapo, Viongozi hao ni pamoja na Mwenyekiti CHADEMA, Freeman Mbowe, pia John Mnyika, Halima Mdee, Ester Bulaya, Ester Matiko, Heche, Msigwa na Mashinji. Katika kesi hiyo...
  18. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa ukimalizana na Mkonge Tanga, tugeukie Kahawa Moshi

    Kwako PM Majaliwa Awali ya YOTEE nikupongezee kwa zoezi linaloendelea Nichukue fursaa HIII kukuombaa BAADA yaaa kurejeshaa MALIZANA SERKL zilizomilikishwa kwa wahunii wasioitakiaa nchii hii memaaa upandee WA mkongee Tunaombaa MWELEKEZE paler kilimanjarooo kukaguaa malizote za bodi ya kahawaaa...
  19. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Hatimae Whatsapp wamezindua mfumo mwanga hafifu 'dark mode' wa watumiaji wote.

    Katika vitu nilikua natamani siku zote ni night/dark mode kwa whatsapp. Hatimae whatspp wamezindua huo mfumo kwa watumiaji wote wa whatsapp. Huu ni mfumo unaopunguza au kuondoa kabisa mwanga mweupe na kuweka mwanga mweusi kwenye ukurasa wa whatsapp ukiwa unaitumia ili kulinda macho. Sasa wale...
  20. joto la jiwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alshabaab waaamuru watu wote ambao si wazawa kuondoka katika eneo lote la Kaskazini mashariki mwa Kenya

    https://www.operanewsapp.com/tz/en/share/detail?news_id=70f928da842b6242fda46a9898eb65fd&news_entry_id=32bb7f30200227en_tz&open_type=transcoded&request_id=RELATED_NEWS_6702ca75-024e-495d-91ba-90db839a964e&from=news Hii amri inafuatia baada ya Wizara ya elimu ya Kenya kuwaondoa waalimu wote ambao...
Back
Top Bottom