G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Jana saa nane ya usiku dege la fly Emirates lilitua uwanja wa kimataifa wa BoT kushusha maburungutu ya T-shirts za wabunge. Wengi wao wameona sms zao walipoamka asubuhi. Hivyo wana furaha hasa wale wa CCM ambao wao huangalia zaidi mavazi yao kuliko kitu kingine! Sasa kwa hizi T-shirts za full cotton unategemea nini?
Ndiyo maana leo bungeni kumegeuka ukumbi wa starehe. Wabunge hasa wa CCM wakishaona matisheti wao ndiyo basi. Ufe ulale ugalegale utapata kakipande kidogo ka ile iliyochakaa ili umkaribishe akatafute tena kwa miaka mitano ijayo.
Hongera wabunge kwa kupewa matisheti yenu.
Ndiyo maana leo bungeni kumegeuka ukumbi wa starehe. Wabunge hasa wa CCM wakishaona matisheti wao ndiyo basi. Ufe ulale ugalegale utapata kakipande kidogo ka ile iliyochakaa ili umkaribishe akatafute tena kwa miaka mitano ijayo.
Hongera wabunge kwa kupewa matisheti yenu.