Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,801
- 11,961
Songwe: Mkuu wa mkoa wa Songwe, Mhe. Brg. Jen. Nicodemus Mwangela ametoa mwezi moja kwa wakuu wa Wilaya Mkoani humo kuhakikisha kila mfanyabiashara mdodo anakuwa na kitambulisho cha mjasiriamali mdogo.
Mkuu Wa Mkoa Wa Songwe ametoa agizo hilo alipokuwa anawakabidhi wakuu wa wilaya na wakurugenzi vitambulisho vya mjasiriamali mdodo, 1 juni 2020 “ndani ya mwezi jambo hili linawezekana kwasababu unauza kitambulisho kwa mfanyabiashara uliyemuuzia mwaka jana ni kitendo cha kumufuata na kumuuzia” Mkuu wa Mkoa, Mhe, Brg. Jen. Nicodemus Mwangela.
Mkuu Wa Mkoa Wa Songwe ametoa agizo hilo alipokuwa anawakabidhi wakuu wa wilaya na wakurugenzi vitambulisho vya mjasiriamali mdodo, 1 juni 2020 “ndani ya mwezi jambo hili linawezekana kwasababu unauza kitambulisho kwa mfanyabiashara uliyemuuzia mwaka jana ni kitendo cha kumufuata na kumuuzia” Mkuu wa Mkoa, Mhe, Brg. Jen. Nicodemus Mwangela.