GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,858
Leo ikiwa ni Siku ya Kimataifa ya 'Hedhi kwa Wanawake' wote walio Hai Mimi naona nami hapa hapa nitoe Ushauri wangu Kwao...
1. Wawe wanazitupa vyema pale wanapomaliza Kuzitumia.
2. Wakiwa katika Vyoo vya Maofisini wahakikishe wawe wanazisukuma vizuri na Maji ili zisibakie.
3. Waache Kutumia Hedhi zao kama Fimbo ya Kumnyima Penzi Mwanaume kwa Kumdanganya kuwa anatumika.
4. Wanapokuwa Hedhini wajitahidi wawe wanavaa Chupi Nyeupe na wasianze Kukimbilia katika Chupi Nyeusi pekee.
5. Akina Mama waache tabia ya Kupenda Kuwapa Kazi Mawifi zao au Mashangazi wawe wanawafundisha Hedhi Mabinti zao.
6. Wasiwe wanazivaa kwa Masaa mengi ili kuepuka Usumbufu wa Harufu Kali.
7. Wanaume wakiwa wanawanunulia Pedi ( Taulo ) wasiwe wanahisi kuwa labda zimeenda Kwao kwa bahati mbaya
Happy International Hedhi Day kwa Wanawake wote!
1. Wawe wanazitupa vyema pale wanapomaliza Kuzitumia.
2. Wakiwa katika Vyoo vya Maofisini wahakikishe wawe wanazisukuma vizuri na Maji ili zisibakie.
3. Waache Kutumia Hedhi zao kama Fimbo ya Kumnyima Penzi Mwanaume kwa Kumdanganya kuwa anatumika.
4. Wanapokuwa Hedhini wajitahidi wawe wanavaa Chupi Nyeupe na wasianze Kukimbilia katika Chupi Nyeusi pekee.
5. Akina Mama waache tabia ya Kupenda Kuwapa Kazi Mawifi zao au Mashangazi wawe wanawafundisha Hedhi Mabinti zao.
6. Wasiwe wanazivaa kwa Masaa mengi ili kuepuka Usumbufu wa Harufu Kali.
7. Wanaume wakiwa wanawanunulia Pedi ( Taulo ) wasiwe wanahisi kuwa labda zimeenda Kwao kwa bahati mbaya
Happy International Hedhi Day kwa Wanawake wote!