wimbo

Dappled Cities (formerly "Dappled Cities Fly") are an indie rock band from Sydney, Australia.

View More On Wikipedia.org
  1. gubegubekubwa

    Mwenye huu wimbo naomba jamani naupenda sana

    Mwenye huu wimbo naomba anitumie naupenda Sana, hapa nimefanya kuunga vipande tu ili niupate wimbo kamili. Vipande vyenyewe nilirecodi kwenyeTBC siku ya muungano mwaka 2014 na 2015 walipiga vipande tu ndio nikavirekodi. Mwenye nao full nisaidie.
  2. Robidinyo

    Kaka tuchati - Ngoma mpya Ya Rostam, Roma & Stamina

    Humu wameizungumzia Corona, huu ndo tunaita ubunifu. Siyo Habari za bunyero bunyero inama nipachike rungu MASHAIRI Rostam - Kaka Tuchati Lyrics | Afrika Lyrics (Tongwe Records) Oooii naona mtandao unakatika Upo kimya sana mkato au kunde imevunjika Na mtanyooka roundi hii Na hivi huwezi...
  3. Marilyn Monroe

    Riwaya: Wimbo wa Gaidi

  4. guwe_la_manga

    Nautafuta wimbo wa reggae unaoitwa Money Money pesa ulioimbwa na mbongo miaka ya 90

    Wakuu kwema? Kuna msanii wa reggae mbongo jina limenitoka Aliimba nyimbo nyingi ila ninayoikumbuka sana ni ile ya Money Money Pesa Nyimbo hii iliimbwa miaka ya tisini Kwa anayemjua msanii na mwenye wimbo auweke hapa Natanguliza shukrani
  5. Superbug

    Wimbo wa akanana kaile Kona

    Ndugu zangu wahaya. WIMBO huu unapendwa sana na WATANZANIA ulikuwa maarufu enzi hizo na mpaka sasa ni maarufu. 1. Naomba history yake. 2.Naomba mashairi yake. 3.Naomba tafsiri yake. 4. Naomba video au audio yake. Mbarikiwe.... Akanana akanana kaile kooona Akaileee akailee...
  6. J

    Dodoma: Kikao cha Bunge chaanza, wimbo wa Taifa waimbwa na kwaya maalum

    Karibuni. UPDATES: Spika anawakaribisha wabunge na kuwapa salamu za Rais Magufuli na kwamba wasishangae endapo mh Rais atawatembelea hapo bungeni wakati wowote kabla ya 30/6/2020. Kadhalika Spika amesema Waziri mkuu yuko Dar akiratibu shughuli za kudhibiti Corona ila kesho atakuwepo Bungeni.
  7. Mr Big

    Wimbo gani ulikuvusha au kukupitisha ulipokuwa kwenye majira fulani magumu?

    I hope everyone is fine.. Ngoja niende mmoja kwa mmoja kwenye mada. Kuna wakati unakuwa katika hali fulani ngumu. Pengine katika maisha, mahusiano au situation zingine tu, halafu kwenye nyakati hizo unajikuta huna mtu wa kuku-comfort, huna msaada, yaani at the lowest point of your life.😥...
  8. H

    Diamond aachia kionjo Cha wimbo wake

    Msanii wa Kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz a.k.a baba lao wakati akiwa insta live akiwasiliana na mashabiki wake wa nchi tofauti tofauti ikiwemo kujibu maswali ya mashabiki wake akaamua kutoa kionjo Cha Baadhi ya mashairi ya moja ya wimbo wake ambao upo kwenye stoo ya nyimbo zake...
  9. anti-negative energy

    Msaada kwa anae fahamu kujirecord video na kuiwekea wimbo wowote kwenye background

    JAmani wanajamvi nilikua na utata, kama kuna mtu anaweza utundu wa kuweka muziki kwenye video ya kujirecord anielekeze, au hata kama kuna app basi tuambizane.
  10. Bonde la Baraka

    Lucky Dube na wimbo wake wa "Remember Me" ni wimbo mzuri wa karne

    Kwa karne hii ya 20/21 wimbo huu wa Lucky Dube umefunika. Mwanangu P akikua na kuniambia anataka kuwa Rastafarian nitamsapoti, hii dini imejaa watu wasio na unafiki. These people are very clever.
  11. H

    Wimbo wa Burna Boy ''On the Low" wafika mauzo ya kiwango cha Gold nchini Ufaransa

    Msanii wa Kimataifa kutoka Nigeria Burna Boy wimbo wake wa "On the Low" wafikisha mauzo ya kiwango cha Gold, yaani umenunuliwa na watu 500000 nchini Ufaransa. Msanii huyo mwaka huu na mwaka jana ameweza kupata mafanikio makubwa kuliko msanii yoyote wa Nigeria. Big up to him. Nini umejifunza...
  12. Martin Kemosabe

    Wimbo wa Supa Woman ni mzuri sana Pongezi kwa waimbaji

    Hongereni wanawake wote nimependa wimbo wenu wa supa woman,ki ukweli ni wimbo mzuri sana Hongereni kina mama Wasanii mlioimba hongereni mmeutendea wimbo haki yake. Vitu nilivyopenda kwenye huu wimbo wenu Kiitikio chenu kinanifanya niweke A-B ijirudie sichoki kabisa mdada aliepiga hicho kifaa...
  13. Superbug

    Nilianza mapenzi na mke wangu kwenye concert ya wimbo wa Ashawo wa Mr. Flavor, Nigeria

    Nimeamini mapenzi yanayoanzia kwenye muziki yananoga Sana na hasa ukiukumbuka wimbo maalumu wa enzi ya mapenzi yenu. Mimi mapenzi na mke wangu yalianzia kwenye wimbo wa ASHAWO CONSERT Abuja Nigeria Mr flavor. Sawasawa sawaleeee x 2 Ausha x 4 popopoooo Acha kabisaaaaa hapo nikiwa boya tu...
  14. Waberoya

    Swali: Wimbo wa Gere haupo trending au umekuwa replaced na Jeje? Kwa nini haupo kabisa kwenye 50s

    Wimbo wa Gere ulikuwa Trend no. 1 juzi yu, na then umekuwa replaced no. 1 na Jeje Jeje kuwa no. 1 kwa popularity na power ya Diamond haina la kushangaza Ila iweje Gere umepotea kabisa? Ungekuwa angalau no. 3, 4, Hata 10, 30, hata 40.. HAUMO Wimbo kama wa haujanikomoa ni wa 49 sasa it makes a...
  15. Z

    Sikiliza kionjo cha wimbo mmojawapo kwenye album ya #Afroeast..

    Katika pitapita zangu nmekutana na kionjo cha one of the song in #afroeast album. Aisee a new big artist in Africa and the world is introduced tarehe 14 mwezi Wa 3. Kondeboy anaenda Ku trend kama Burnaboy mwaka jana. Download it
  16. Slowly

    Video: Huu wimbo anaocheza Haj manara unaitwaje niupakue

    Kama nilivyouliza jaman , nahtaj kujua jina la huu wimbo , naupenda nataka niupakue
  17. H

    Naomba wimbo Huu wa kihindi wa sharkhan

    upo hiv una sound anko hamisi tucharo najua nimekosea kutamka kihindi lakini kitu Kama hicho.
  18. pombe kali

    Wimbo wa taifa uwe lazima mashuleni

    Naandika kwa masikitiko makubwa, ni masikitiko makubwa sana, mtoto anarudi nyumbani kutoka shule amekariri nyimbo zote za kizazi kipya na hajui kabisa kama kuna wimbo wa taifa inasikitisha sana, ukienda kwenye mahafali ya shule za msingi watoto wanawekewa nyimbo za sasa ambazo nyingi zimetungwa...
  19. Babu Kijiwe

    Stamina kaiba wimbo wa Dizasta Vina. Ushahidi huu hapa

    Kwa wapenzi wa Hip-Hop nadhani tunamfahamu Dizasta Vina na huu wimbo wake ni wa siku nyingi tu Angalia jinsi huyu Stamina alivyo copy (Hapa nyimbo zote zinalinganishwa) Na huu ndo wimbo wa Stamina aliyoiba Nawasilisha
  20. H

    Huu wimbo Nani kaimba na unaitwaje?

    Kuna wimbo mmoja hiv unasikika Sana mtaani ni wa bongo fleva umeimbwa na mwanamke na mwanaume na moja Kati ya mistari ya huo wimbo ni "Naisi kuibiwa, nachanganyikiwa" "Nimechoka kusubili,mbona utokei" Alafu corus yake inaimbwa " kaputa" sijui nitakuwa nimelipatia hili neno .
Back
Top Bottom