MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Mtunzi wa wimbo uliovuma zaidi miaka ya nyuma wa ‘Tanzania yetu ndio nchi ya furaha’, Mzee Stephen Hizza amwemwambia mtangazaji wa kipindi cha zilipendwa wiki iliyopita TBC Chacha Maginga anasikitika licha huo wimbo kuwa maarufu radio Tanzania lakini Serikali ya Awamu ya Nne pekee ilimpa ahadi ya kumpa Vyombo vya Mziki na vyombo hakuvipata. Anasema wajanja wakavikwapua mpaka leo hajui vipo wapi.