Msanii wa Kimataifa kutoka Nigeria Burna Boy wimbo wake wa "On the Low" wafikisha mauzo ya kiwango cha Gold, yaani umenunuliwa na watu 500000 nchini Ufaransa. Msanii huyo mwaka huu na mwaka jana ameweza kupata mafanikio makubwa kuliko msanii yoyote wa Nigeria.
Big up to him. Nini umejifunza...
Hongereni wanawake wote nimependa wimbo wenu wa supa woman,ki ukweli ni wimbo mzuri sana Hongereni kina mama Wasanii mlioimba hongereni mmeutendea wimbo haki yake.
Vitu nilivyopenda kwenye huu wimbo wenu
Kiitikio chenu kinanifanya niweke A-B ijirudie sichoki kabisa
mdada aliepiga hicho kifaa...
Nimeamini mapenzi yanayoanzia kwenye muziki yananoga Sana na hasa ukiukumbuka wimbo maalumu wa enzi ya mapenzi yenu.
Mimi mapenzi na mke wangu yalianzia kwenye wimbo wa ASHAWO CONSERT Abuja Nigeria Mr flavor.
Sawasawa sawaleeee x 2
Ausha x 4 popopoooo
Acha kabisaaaaa hapo nikiwa boya tu...
Wimbo wa Gere ulikuwa Trend no. 1 juzi yu, na then umekuwa replaced no. 1 na Jeje
Jeje kuwa no. 1 kwa popularity na power ya Diamond haina la kushangaza
Ila iweje Gere umepotea kabisa? Ungekuwa angalau no. 3, 4, Hata 10, 30, hata 40.. HAUMO
Wimbo kama wa haujanikomoa ni wa 49 sasa it makes a...
Katika pitapita zangu nmekutana na kionjo cha one of the song in #afroeast album. Aisee a new big artist in Africa and the world is introduced tarehe 14 mwezi Wa 3. Kondeboy anaenda Ku trend kama Burnaboy mwaka jana.
Download it
Naandika kwa masikitiko makubwa, ni masikitiko makubwa sana, mtoto anarudi nyumbani kutoka shule amekariri nyimbo zote za kizazi kipya na hajui kabisa kama kuna wimbo wa taifa inasikitisha sana, ukienda kwenye mahafali ya shule za msingi watoto wanawekewa nyimbo za sasa ambazo nyingi zimetungwa...
Kwa wapenzi wa Hip-Hop nadhani tunamfahamu Dizasta Vina na huu wimbo wake ni wa siku nyingi tu
Angalia jinsi huyu Stamina alivyo copy (Hapa nyimbo zote zinalinganishwa)
Na huu ndo wimbo wa Stamina aliyoiba
Nawasilisha
Kuna wimbo mmoja hiv unasikika Sana mtaani ni wa bongo fleva umeimbwa na mwanamke na mwanaume na moja Kati ya mistari ya huo wimbo ni
"Naisi kuibiwa, nachanganyikiwa"
"Nimechoka kusubili,mbona utokei"
Alafu corus yake inaimbwa " kaputa" sijui nitakuwa nimelipatia hili neno .
Kuna ngona moja hiv nasikia Sana mtaani na moja Kati ya mistari inasema hiv
Naisikuibiwa,nachanganyikiwa
nimechoka kusubili mbona utokei.
alafu chorus yake ni "kaputa" sijui nitakuwa nipo sahihi na hili neno.waimbaji wapo wawili mwanamke na mwanaume.
Jana waumini wa makanisa mbalimbali walienda makanisani kuabudu kama ishara ya kumshukuru Mungu kwa kumaliza muongo/ mwaka.
Cha kushangaza wakati ibada inaendelea walilazimishwa kuimba wimbo wa taifa la Tanzania.
Haya niliyashuhudia kwenye kanisa la RC Kimara na LILE pale karibu na ofisi za...
Hii Wizara ishakuwa kidonda ndugu, ubora wa elimu unashuka kila kukicha wahitimu tunaozalisha hawakidhi vigezo vya soko la ajira.
Shule zetu za umma uwiano wa wanafunzi kwa Mwalimu hauendani na uhalisia watoto wetu kila siku wanadaiwa hela na maelezo sahihi mwanangu wa Darasa la pili kila siku...
Juzi Diamond Platnumz alikuwa Guinnea Bissau akipiga show ,
Wimbo wa mdogo mdogo ulipopigwa uwanja wote ulizizima na ikawa shangwe kila Kona chek video, video ni fupi ya dk moja
Bhanamhala mhu le mhola hene?
Uzi huu mahususi wa kushare ama kushirikishana nyimbo zozote za kisukuma ili kudumisha mila na tamaduni zetu.
Kwa sababu wasukuma tunasifika kwa kuwa wapole na wakarimu. basi uzi huu unaruhusu pia makabila mengine kuweka nyimbo zilizoimbwa kwa lugha zao ili tuweze...
Jamani naomba tusaidiane, kuna nyimbo za Gospel huwa nazitafuta na sizipati naomba kwa uzi huu ikiwezekana nifanikiwe. Mimi nawapa huu wa Malebo kama kuna yeyote anautaka ila mimi natafuta ..
1. Maisha yako wewe - Kijitonyama
2. "Shambani mwa bwana kuna mavuno watenda kazi ni wachache"
"Ninani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.