GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Maneno yake ya Ubeti wa Kwanza kutoka Kwake Msaga Sumu.
" Nina hamu ya Nyumba ya Kupanga "
Kisha Mwanamke aliyemshirikisha anamjbu Msaga Sumu.
" Nyumba yangu ina Vyumba viwili tu je, unataka vyote au nikupe Kimoja tu? "
Msaga Sumu anaendelea.
" Nataka Kimoja tu ila kama kina Vumbi niambie mapema ili niwe napakaa Mafuta nisichafuke sana "
Mwanamke aliyemshirikisha nae akaendelea.
" Usijali hata kama hicho Chumba kimoja utakuta kina Vumbi bado unaweza tu ukakipiga Deki ili ukifurahie zaidi "
Serikali hasa hasa BASATA utafuteni huu Wimbo muusikilize na muuzuie kuendelea kwenda Hewani. Efm waliupiga leo Saa 3, ila upesi wakauotoa.
" Nina hamu ya Nyumba ya Kupanga "
Kisha Mwanamke aliyemshirikisha anamjbu Msaga Sumu.
" Nyumba yangu ina Vyumba viwili tu je, unataka vyote au nikupe Kimoja tu? "
Msaga Sumu anaendelea.
" Nataka Kimoja tu ila kama kina Vumbi niambie mapema ili niwe napakaa Mafuta nisichafuke sana "
Mwanamke aliyemshirikisha nae akaendelea.
" Usijali hata kama hicho Chumba kimoja utakuta kina Vumbi bado unaweza tu ukakipiga Deki ili ukifurahie zaidi "
Serikali hasa hasa BASATA utafuteni huu Wimbo muusikilize na muuzuie kuendelea kwenda Hewani. Efm waliupiga leo Saa 3, ila upesi wakauotoa.