wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake, hii confidence mnaitoa wapi?

    Hapa mtaani Kuna mgogoro umetokea Mume na mke wamepigana makonde usiku huu sasa kilichonishtua ni confidence ya huyu mwanamke Anamtukana Mume wake matusi ya nguoni kilichonishangaza ni kauli yake eti amuache aishi maisha yake kama amemchoka amuache kwani Kuna Wanaume wengi wanamtaka cha ajabu...
  2. Alexido jz instagram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

    Kuelekea juma tatu ambapo, parade Lita happen uingereza jijini London tayari losha Anza kizungushwa nchi tofauti, ambapo limepita Kenya na litaendelea kwingineko sidhani kama bongo litakuja. Jamaa yangu Mmoja kanijuza wakenya wana connection kubwa hapa duniani na ndo mana hawakuhitaji...
  3. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Gari “Namba D” zimeenda wapi?

    Yaani Namba E kila kona, D kuonekana ni 2 kwenye gari 10. Nayo ni Kirikuu, Land Cruiser, na Corolla. Hapo Namba C ndio tusiongelee kabisa.
  4. J

    JamiiForums Tanzania KERO Apps za mikopo mitandaoni, serikali ipo wapi?

    Habari za kazi ndugu zangu. Kuna kampuni mbalimbali zinazodai kutoa mikopo kupitia apps (applications), lakini matokeo yake zimekuwa zikilalamikiwa kwa kudhalilisha watu, kutoa vitisho, na kutoza riba kubwa kupita kiasi kwenye mikopo wanayotoa. Sina uhakika kama kampuni hizi zote zimesajiliwa...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Kurejea kwa Msigwa CHADEMA: Mchezo Mpya?

    👉Ndani ya siasa za kimkakati, kuna wachezaji ambao huonekana kupambana hadharani lakini nyuma ya pazia wakawa sehemu ya operesheni kubwa zaidi isiyoonekana kwa macho ya kawaida. 👉Safari ya Peter Msigwa ndani ya CHADEMA haikuwa ya kawaida, bali ilikuwa operesheni ya muda mrefu iliyojengwa...
  6. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Miezi Saba ya Ganzi: Tanzania inaelekea wapi?

    Ni takribani miezi saba sasa tangu Taifa liingie katika ukurasa mpya wa huzuni, majonzi na maumivu ya kijamii na kisiasa kufuatia yaliyotokea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29. Tangu wakati huo, Tanzania imeonekana kutembea kwa kusitasita kama taifa lililopoteza dira, huku sintofahamu ikitanda...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hadhi ya Mwanza na majiji mengine ipo wapi? Tukisema hizi ni dharau tunakosea? Bajeti na mikopo ni kwajili ya miradi ya Dar na Dodoma?

    MIRADI YA MIUNDOMBINU YA MAJIJI – BAJETI YA MWAKA 2026/27 1. JIJI LA DAR ES SALAAM BRT na Maboresho Makubwa ya Barabara I. BRT Awamu ya 3: Maktaba – JNA – Gongolamboto (km 23.3) II. BRT Awamu ya 4: Maktaba – Morocco – Mwenge – Tegeta pamoja na Mwenge – Ubungo (km 30.1) III. BRT Awamu ya 5...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tunampost kwenye mitandao ipi, kama kweli sisi ndio tumemleta Rio na Mkewe ili kukuza utalii na kujisafisha na damu za October 29 2025?

    Okey, Rio hapost chochote kwenye mitandao yake ya kijamii kuhusu uwepo wake Tanzania, nakubaliana nae kuwa hapangiwi katika hilo. Huenda yeye na mkewe ni wakubwa kuliko Tanzania kama Nchi hivyo hawezi kutupa 'air time'. Je Wizara iliyohusika kumleta chini ya Waziri Makonda wao wanapost kwenye...
  9. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Kile kikundi cha chadema cha utekaji kwa Mujibu wa katibu mkuu mstaff Dr. Slaa kilipotelea wapi? Kama siyo hicho kinachoteka watu mpaka sasa

    Dr alishasema chadema Wana kikundi cha kuteka watu wa chadema kwa manufaa ya kisiasa nimewaka USHAHIDI HAPO chini. Je hicho kikundi ni lini kilivunjwa? Mnaona donation zimedoda mkaamua mje na huu usanii wa kitoto Chadema acheni siasa za kitapeli mnatekana wenyewe ili mpate public sympathy 🚮
  10. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Samia ICC imefikia wapi ?

    Kichwa cha habari kiko wazi. Je, kesi ya Samia ICC imefikiia wapi? Wako wapi akina Polepole? Wako wapi ambao maiti zao hazikupatikana? Tanzania inaenda wapi? Tunangoja kujua hatima ya unyama na ukatili na ushenzi huu.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Ile FBI tulio ahidiwa kwenye kampeni itaundwa imeishia wapi!?

    Kipindi Cha kampeni tuliahidiwa to Tanzia itaunda FBI, sasa sijui imeishia wapi
  12. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mainjinia mnaoweka lami barabara ya Kimara Weekend mlikua wapi?

    Yaani mnapenda kujipa umuhimu wa bure tu. Weekend mmekaa hamna kazi, jumatatu mnaamka mnajifanya mpo serious. Mnafunga barabara upande mmoja zaidi ya masaa 24. Serious Morogoro Road mnaifanyia ivo?
  13. fimboyaukwaju

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahmoud bin Zubeiry,yuko wapi?

    Simuoni siku hizi kwenye vipindi vya michezo vya Azam. Kuna mtu anajua alipo?
  14. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Shati kama la Echolima1 naweza kupata wapi ?

    Mzuka wana jamvi ? Nimeona shati kwenye avatar ya Echolima1 nimevutiwa nalo, la unyama sana mixer ulokwiz hivi naweza kupata wapi kirahisi bongo ?
  15. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Nilipomuonya LEMA na Siasa zake Jukwaani za kuhalalisha Serikali ya CCM , Et Sista Nyahozi anampongeza , weee umeona wapi ?

    Siku chache nilipomuonya LEMA aache Siasa za kuhalalisha Serikali ya CCM. Sista Nyahozi anakuja kusema 'Mbona LEMA Kaongea vizuri tu , Mbona Bon Yai Kaongea vizuri " na sijaongea neno. Ila anapoongea HECHE , Sista Nyahozi anakuja kubweka kama Mbwa !!!. Heche shikilia hapo hapo, na huo ndo...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Utashi wa kisiasa umetowekea wapi?

    Yahusu Vita ya Kisiasa dhidi ya Mzee Warioba. Imeniuwia vigumu kuiweka yote hapa hivyo nimeweka Link. Tafadhli fuatilia hapa Facebook
  17. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Hivi yule mwanajeshi wa Marekani aliishia wapi?

    Mara kwa mara nimekuwa nikisema kwamba taasisi inayoongoza kwa kuwa na vilaza wengi sana nchini, ni JWTZ ikifuatiwa kwa karibu na polisi. Kipindi cha mauaji ya Watanzania hapo mwaka jana, katika jitihada za kupoteza watu malengo, polisi wa Tanzania walikuja na kituko cha mwaka. Baada ya Samia...
  18. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Mtoto Ameenda Wapi?” Kenya’s Silent Crisis That Every Mwananchi Fears

    Kuna kitu imekuwa ikiendelea quietly kwa estates, mashinani na hata kwa busy streets za Nairobi… watoto wanapotea. Leo ni poster kwa wall, kesho ni WhatsApp status, next week ni another crying mother kwa police station. Lakini for the common mwananchi, hii sio just another headline ni fear ya...
  19. F

    JamiiForums Tanzania Hivi Abdul yuko wapi siku hizi?

    Ni muda mrefu huyu kijana hajaonekana au kusikika, nini kimempata? Au ameshamaliza kazi yake?
  20. Stunnaman008

    JamiiForums Tanzania Kigogo amepotelea wapi?

    Unakumbuka nini kuhusu huyu mtu
Back
Top Bottom