wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. Wakili wa shetani

    JamiiForums Tanzania Mbinguni ni wapi? Inawezekana bado Yesu anapaa na hajafika mbinguni

    Mbinguni ni dimension nyingine ambayo imetuzunguka hapa hapa kwenye mazingira yetu au ni eneo fulani kwenye ulimwengu au galaxy yetu. Kama ni dimension nyingine basi hakuna habari ya kupaa, ni kitendo cha kuingia humo na kutoka. Kama ni sehemu fulani kwenye huu ulimwengu basi kuna uwezekano...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ndoto yako ya kumiliki chombo cha moto imefikia wapi?

    Kila mtu ana ndoto ya kumiliki jabo fulani kwenye maisha yake, wengine tuna ndoto ya kumiliki vyombo vya moto kama magari lakini ndoto bado zinagoma tunaishia kumiliki tu majiko ya mkaa. Wewe ndoto yako imefikia wapi au ushatoa mwanangu
  3. Nukta5

    JamiiForums Tanzania KERO Inasikitisha kuona miti mikubwa mizuri iliyokuwa eneo ya barabarani Magereza Moshi imekatwa na hakuna dalili ya kupanda mingine

    Leo nimepita katika eneo la Magereza Moshi, ambapo awali kulikuwa na miti mikubwa na ya kuvutia iliyokuwa ikitoa mandhari nzuri na kuchangia uzuri wa mji. Kilichonishangaza ni kuona miti hiyo mikubwa imekatwa yote, huku baadhi ikiwa inakatwa na kutengenezwa mbao. Nilijaribu kuangalia kama kuna...
  4. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Wakuu kwema? Asee jana nilipata wasaa wa kucheka na kulia kwa pamoja. Pamoja na taarifa kusambazwa na kujadiliwa kila.mahala bado kuna watu wanaendelea kutapeliwa na hawa jamaa wa mikopo online. Tulia trust mikopo wamemtapeli jamaa mmoja muendesha bulldoza hapa Unguja jana. Kalipa laki 3 na...
  5. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hata chawa wanajua kuwa wanafanyaga kazi bure humu maana humu watu ni oil chafu ni basi tu wanatimiza majukumu kwa ajili ya ugali

    Fool me once shame on you, Fool me twice shame on me. Its 2026 bro, Hakuna alie tayari kuendelewa kudanganywa kama mtoto.
  6. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Mafwele yuko wapi?

    Tokea awekewe vikwazo na Marekani, huyu takataka aitwaye Mafwele sijamsikia wala kumwona tena. Hivi yuko wapi huyu kiumbe? Nashangaa mpaka sasa kwa nini raia wema hawajamuua! Sisi Watanzania sijui tukoje tu. Ila hawa watu hawana kabisa busara. Miaka 10 ijayo huyu Mafwele hatokuwa na hicho...
  7. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Mafwele yuko wapi?

    Tokea awekewe vikwazo na Marekani, huyu aitwaye Mafwele sijamsikia wala kumwona tena. Hivi yuko wapi huyu kiumbe? Ila hawa watu hawana kabisa busara. Miaka 10 ijayo huyu Mafwele hatokuwa na hicho cheo alichonacho. Ataishi wapi huyu takataka ukizingatia yote aliyoyafanya? Natamani sana...
  8. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania DUNIA ITAZIKA WATU WAPI?

    Waungwana Habarini Za Asubuhi Kwamujibu Wa Takwimu za United Nations kwa Makadilio ya Mwaka Huu 2026 Dunia ina Jumla ya Zaidi ya Watu Billion 8.3 Na Inakadiliwa Itafikia Zaidi ya Watu Billion 10 Kufikia Mwaka 2050, Makadilo Ya Sasa Ya Umri Wa Kuishi/Life Expectancy Kwa Dunia Ni Miaka 73 Na Kwa...
  9. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Hivi Wanawake Mkizama Penzini Akili Huwa Mnaziweka Wapi?

    Dada yangu alipoteza akili zake baada ya kuingia kwenye mahusiano na mwanaume X Nasema hivi kwasababu kabla ya hapo alikuwa vizuri , alikuwa akipangilia mshahara wake kutimiza malengo yake kama kuanzisha biashara, kujenga nk Lakini punde si punde akapata mwanaume X wakapendana kwa kadri...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Simu kali: Usijiulize tena simu mpya na used unapata wapi zipo kwetu Havikpro genuine phones Kariakoo

    Wadau wote nawakaribisha kwa manunuzi ya simu na vifaa vya simu na laptop kutoka dukani kwetu utajipatia series mbalimbali za simu hizi SAMSUNG.PIXEL NA IPHONE NA NYINGINE NYINGI.PIA LAPTOP ZA KAZI ZOTE NA DESKTOP ZA NYUMBANI NA MAOFISINI ZIPO BRAND ZOTE Tunapatikana Kariakoo Dsm Huduma ya topup...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Wapi Arusha naweza kupata shamba kwa bei ya milioni moja kwa ekari?

    Habari wana jamvi. Nahitaji shamba eka 5 linalofaa kwa kilimo cha migomba. Angalau umbali usizidi kilomita 50 kutoka Arusha mjini.
  12. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Safari ya chadema kuchangisha milioni mia3.34 imefikia wapi ndugu wadau wa Jf?

    Naona hakuna updates tena kama awali, kuna changamoto yoyote?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  13. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama Samia ana nia ya kuunda tume ya kijaji alete Wakenya, alete Wa-South, alete Wafaransa alete wamerekani na waingereza

    Namshangaa Samia na matume yake. Tume ya CHANDE ilimwambia vijana walilipwa ili waandamane, walilipwa ili wachome nchi , hao vijana zaidi ya elfu 2 ameshawaua na yeye ndo alitoa amri watu wauwawe akidhani anakomoa CHADEMA. Leo anaagiza tume tena ikachunguze wale vijana aliyo waua kuwa...
  14. U

    JamiiForums Tanzania Lake zone Huu utaribu mmeiga wapi, pub, Bar Eti unalipia 10,000 unamtoa mhudumu

    Walevi Oyee, Wakeshaji Safi, CCM , CHADEMA, ACT CHAUMA OYEEE, Huku kwenye mabaa hamna mambo ya uchama. Sasa walevi , wale wa kukesha kwenye bar, Pub nilitembea mikoa ya kanda ya ziwa huko Kagera, mwanza, mara, kigoma, katavi , rukwa nilishangaa utaratibu wa bar za huko, Sasa sijui upande wa...
  15. Red black

    JamiiForums Tanzania Je, akili au ufahamu (consciousness) wa binadamu unatoka wapi ndani ya mwili?

    Je, akili au ufahamu (consciousness) wa binadamu unatoka wapi ndani ya mwili? Niko hapa kujifunza Zaidi.
  16. M

    JamiiForums Tanzania Niwekeze wapi kati ya hisa au ardhi?

    Siku mmoja tulipa mgeni kutoka wataalamu wa mambo ya uwekezaji akatuma elimu juu y uwekezaji wa hisa, bond nk kwa kweli ilikuwa ni elimu nzuri na niliweza kujifunza kitu. Kitu ambacho nilibaini kila unapoitaji kupata elimu hakikisha unapata elimu kila maeneo ili uweze kujifunza na kupata...
  17. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Yusuf Makamba na January Makamba wanalambia wapi Asali kwa sasa? Mzee amekuwa kimya sana

    Mzee Bwatubwatu, Mungu akikunyima akili angalau akupe busara . Ukikosa vyote huwa ukipewa chakula ukala ukashiba basi unaanza kutoa gesi tu bila aibu. Kwa sasa Makambas wamekuwa Makambakos. Kimya sana. Nao wametengwa. Wapo nje ya mfumo. Hawana heshima kwa Mungu wala kwa Shetani. Ndo ubaya wa...
  18. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Tone kwa Tone imeishia wapi? Au pesa zimeshatosha na wamezitafuna tayari?

    Mtoto wa Abdul Nassib (Diamond Platnumz) na Zuhura Othman (Zuchu) ndiyo kwanza ana siku kadhaa leo tayari anamilioni 700, ndugu zetu tonetone wanaojinasibu chama kinapendawa na Watanzani wanamwezi mzima wanatafuta milioni 300 na bado hazijatimia. My take CHADEMA mkitaka mkieneze Chama kutoka...
  19. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni wapi kwingine walioshinda uchaguzi kwa 98% hufanya maridhiano??

    Ukisikia kukosa akili ndo huku sasa! Eti kashinda uchaguzi kwa 98% ya kura zilizopigwa [uongo]. Kapata kura milioni 31 kati ya milioni 32 zilizopigwa [uongo]. Huo ni ‘ushindi’ mkubwa sana unaoonyesha kukubalika na wananchi. Sasa ‘unashinda’ uchaguzi kwa kiwango hicho halafu bado eti unataka...
  20. Mbalizi feedstuff

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata unga wa dagaa omena wenye ubora wa juu

    Habari wakuu, ninatarajia kufungua kiwanda kidogo cha utengenezaji wa vyakula vya mifugo hivyo nipo kwenye utafiti wa kuwatqmbua suppliers wa ingredients mbalimbali za kuchanganya kutengeneza cha Mifugo. Moja ya ingredient ninayotaka kujua naweza kuipata ni Fishmeal au tuseme dagaa omena wenye...
Back
Top Bottom