wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Siasa UNALIPa hizo Milioni 100 alizotenga Katambi wa CHADEMA kwa watakao ripoti taarifa kwake kazitoa wapi?

    Hizi ni fedha zake au za serikali? Kutoa taarifa za waarifu ni wajibu WA kila raia Ukiona. Hazitoki basi kaa kimnya yulozana
  2. kyaibumba

    JamiiForums Tanzania Kuna dogo yule alisema ana uhitaji simuoni na hajatoa ushirikiano namwekea wapi mpunga nilisema anichek leo

    Anichek Pm Mara moja
  3. C

    JamiiForums Tanzania Wanawake wapo wapi hapa ?

    wanawake wapo wapi hapa ? wanawake mko wapi ? najua wapo baadhi wanaochomoza, lakini huwezi kuwaweka kwenye mizani moja na wanaume. 50/50 inatoka wapi ?
  4. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Wapi ni sehemu sahihi pa kuyapata mafuta ya black seed (BLACK SEED OIL).?

    Karibuni wakuu
  5. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Wakuu kuna dawa gani ya kienyeji ya koo linalouma? Hospitalini napewa tu brufen na anti-biotics ila wapi

    Wakuu kuna dawa gani ya kienyeji ya koo linalouma? Hospitalini napewa tu brufen na anti-biotics ila wapi Karibuni
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 187 MPs watoroka kura ya Finance Bill 2026. Wakenya wauliza; walikuwa wapi?

    Huku Finance Bill 2026 ikipitishwa Bungeni, mjadala mkubwa umeibuka baada ya kubainika kuwa zaidi ya nusu ya wabunge hawakushiriki kura muhimu iliyogusa ushuru na matumizi ya fedha za umma. Kati ya wabunge 349 wa National Assembly, ni 162 pekee walioshiriki kupiga kura. Wabunge 122 waliunga...
  7. O

    JamiiForums Tanzania 29/10 Siku ya maombolezo ya kitaifa iliishia wapi!?

  8. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Nyerere hakupeleka familia yake ikalelewe na Kodi za mabeberu hii jeuri viongozi wa CHADEMA wanaitoa wapi huu ni umario wa Africa wanatuaibisha

    Kama viongozi wa chadema kutwa wanakesha wanapitisha kapu la donation kuwatapeli watu nchini, Je! Wanauwezo wa kulipia land huko kwa mabeberu? Je wanauwezo wa kusomesha watoto huko kwa mabeberu? Je! familia zao zinaishije huko kwa mabeberu? Wanatudhalilisha waafrica tunaonekana hatuwezi kutunza...
  9. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Natafuta chuo Cha kufundisha part time tutorial assistant?

    Wajuzi wa hizo kazi naomba msaada wenu kwa mwenye kufahamu au kuwa na taarifa. Baada ya kumaliza kazi zangu za Kila siku huwa nakuwa na muda kidogo ambayo naona kama unapotea. Sasa nahisi kama ninaweza kuutumia muda huo kujiongezea kipato kwa kuutumia ujuz na maarifa niliyojaaliwa na mungu...
  10. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Oviedo iko wapi? Mmiliki wake ni nani?

    Kuna hii kama resort nzuri sana inaitwa Oviedo. Nimeona kuna landscaping ya maana, boti, sijui farasi nk. Iko wapi hii? Nimeona mmiliki wake, Dr Ibrahim Chenza(Phd)ana mishe gani? Nataka kujifunza.
  11. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Fr. Charles Hugo Kitima, BSc, MSc. Phd Katibu Mkuu wa TEC?

    Na je, Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Diocese of Dar Es Salaam Tanzania, yu hali gani kisiasa kwa sasa? Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J. Lodovick? Na je, water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi...
  12. Intelligent businessman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Ninahitaji damu kwa ajili ya mgonjwa, wapi naweza pata kwa kununua?

    Habari nina mgonjwa anaye tarajiwa kufanyiwa operation siku zijazo, ila ana changamoto nyingine ya kuishiwa damu mara kwa mara. je naweza pata wapi sehemu ninayo weza kununua damu, angalau chupa 10. I mean no malice to nobody Asanteni wakuu, nimesha pata ufafanuzi na msaada zaidi. Shukrani sana
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wataalamu wa Maabala tuliofanya Mitihani ya Leseni mwezi Machi tunaumizwa na Ucheleweshwaji wa Matokeo, HLPC KULIKONI?

    Sisi wataalamu wa maabara(certificate hadi degree) nchini Tanzania ambao tulifanya Mtihani wa Leseni kuanzia march 15 hadi april 01(certificate hadi degree) tumecheleweshewa kupewa matokeo kwa zaidi ya miezi miwili sasa, hali ambayo inatukosesha fursa nyingi ikiwemo ajira zinazotangazwa...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Hivi Lijualikali yuko wapi?

    At one time alikuwa Mkuu wa Wilaya??? then nini kilitokea? Au bado yupo serikalimi? Namfananisha na Yeriko Nyerere anavyotapatapa kutafuta ahueni!
  15. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Wapi wanafudisha kuongea lugha ya kichina?

    Wapi wanafudisha kuongea lugha ya kichina?
  16. Parabolic

    JamiiForums Tanzania HOJA Juhudi za kukwamua barabara ya Tatedo Goba zimeishia wapi? Tangu uchaguzi Hatumuoni Mbunge wala Diwani

    Barabara ya Tatedo iliyopo katika mtaa wa Kunguru Kata ya Goba jijini Dar es Salaam ni kama imesahaulika, kwani licha ya juhudi zilizofanywa na wakazi wa eneo hilo, tangu mwaka 2020, mpaka leo hakuna mwitikio wa Serikali. Barabara hiyo inayoingilia karibu na nguzo za umeme unaokwenda Zanzibar...
  17. GenuineMan

    JamiiForums Tanzania Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

    Huyu MwanaJF yuko wapi ni muda sasa hajaonekana hapa jukwaani. Nimeona reply yake ya mwisho ni mwezi wa tisa mwaka jana. Kabla ya uchaguzi. johnthebaptist
  18. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wapi wanahudumia paka mwenye matatizo ya kiafya

    Habari, Kuna paka wa jirani hapa wamempiga jiwe kiasi kwamba mguu wake mmoja hawezi kutembea tena na anamaumivu sana. Naomba msaada nifahamu ni sehemu gani inawezekana kumpeleka akapata matibabu. NB: Wenye paka wamemuacha kama alivyo na hawajachukua hatua yoyote ya kitabibu 😢 NAUMIA SANA...
  19. papag

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulikuwa wapi? Enjoy the weekend

    Wazee wa Bakulutu mukuje
  20. B

    JamiiForums Tanzania Wadau hawa Wakubwa wa elimu wamepotelea wapi ?

    Wadau hawa Wakubwa wa elimu wamepotelea wapi? By Hata Mimi JF member Salaam alaikum, Zamani kabla ya 2010 kurudi nyuma huko tulizoea kuona vitabu vya namna mbalimbali kwa maudhui moja. Namaanisha somo husika kwa darasa fulani linakuwa na matoleo kibao ya vitabu (waandishi na wachapaji) Hii...
Back
Top Bottom