Yuko wapi Fr. Charles Hugo Kitima, BSc, MSc. Phd Katibu Mkuu wa TEC?

Yuko wapi Fr. Charles Hugo Kitima, BSc, MSc. Phd Katibu Mkuu wa TEC?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
44,847
Reaction score
36,792
Na je,
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Diocese of Dar Es Salaam Tanzania, yu hali gani kisiasa kwa sasa?
Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J. Lodovick?

Na je,
water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi Diocese, na Rais wa TEC, bado anaandikiwa cha kusoma kwenye vyombo vya habari na Fr.Kitima binafsi, eti kwa niaba ya TEC?

Au mapigo ya walei Lucy Michael na mwalimu wa dini makini sana, katekista Joseph Ludivick wamewapiga knockout ya kisiasa mbele ya madhabahu?

Au changamoto zimeisha Tanzania? Kwanini wameufyata mkia kwa mwendo wa ngiri, mashahidi hao muhimu sana ikiwa kutakua na kesi ICC?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Na je,
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Tanzania in Dar Es Salaam Diocese, yu hali gani kisiasa kwa sasa?
Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J. Lodovick?

Na je,
water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi Diocese, na Rais wa TEC, bado anaandikiwa cha kusoma kwenye vyombo vya habari na Fr.Kitima binafsi, eti kwa niaba ya TEC?

Au mapigo ya walei Lucy Michael na mwalimu wa dini makini sana, katekista Joseph Ludivick wamewapiga knockout ya kisiasa mbele ya madhabahu?

Au changamoto zimeisha Tanzania? Kwanini wameufyata mkia kwa mwendo wa ngiri, mashahidi hao muhimu sana ikiwa kutakua na kesi ICC?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Screenshot_20251219-132538~2.png
 
RC wapo na wanafuatilia kinachoendelea.
Gentleman,
kwani awali hawakua wanafuatilia? au ilikua ni kiherehere binafsi tu cha mpendwa Fr.Kitima, Archbishop Ruawa'ichi na Rais wa TEC, muheshamu Baba Askofu Pisa?🐒
 
Na je,
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Tanzania in Dar Es Salaam Diocese, yu hali gani kisiasa kwa sasa?
Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J. Lodovick?

Na je,
water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi Diocese, na Rais wa TEC, bado anaandikiwa cha kusoma kwenye vyombo vya habari na Fr.Kitima binafsi, eti kwa niaba ya TEC?

Au mapigo ya walei Lucy Michael na mwalimu wa dini makini sana, katekista Joseph Ludivick wamewapiga knockout ya kisiasa mbele ya madhabahu?

Au changamoto zimeisha Tanzania? Kwanini wameufyata mkia kwa mwendo wa ngiri, mashahidi hao muhimu sana ikiwa kutakua na kesi ICC?[emoji205]

Mungu Ibariki Tanzania
Ni kweli mnalipwa, ni kweli kabisa bila kuandika chochote mtaonekana hamfanyi kazi lakini mbaya zaidi maandishi kama haya yasipoonekana pengine fungu lenu litapelekwa kufanya kazi nyingine au kuliwa na wachache

Lakini hiyo njaa isiwe sababu ya kujiabisha kiasi hiki.

Kwa kawaida binadamu wote kuna namna akili ikikaa ikatulia anaona upuuzi wake na kuanza kujidharau na hapo ndipo sonona huanzia

Watu kama wewe Mungu akiwajaalia umri mrefu mtaishi maisha ya upweke sana
 
Ni kweli mnalipwa, ni kweli kabisa bila kuandika chochote mtaonekana hamfanyi kazi lakini mbaya zaidi maandishi kama haya yasipoonekana pengine fungu lenu litapelekwa kufanya kazi nyingine au kuliwa na wachache

Lakini hiyo njaa isiwe sababu ya kujiabisha kiasi hiki.

Kwa kawaida binadamu wote kuna namna akili ikikaa ikatulia anaona upuuzi wake na kuanza kujidharau na hapo ndipo sonona huanzia

Watu kama wewe Mungu akiwajaalia umri mrefu mtaishi maisha ya upweke sana
Gentleman,
kwanza kabisa,
pole kwa ulofa.
Mungu akuongezee utashi zaidi dhidi ya majaribu nonsense ya Ibilisi muovu.

hivi mtumishi wa Mungu Fr Charles Hugo Kitima alikua analipwa kuropoka uzushi na porojo zile madhabahuni na misibani, tena kwa kiburi cha zaidi ya Ibilisi?

ni sadaka za waamini ndizo zilikua zinampa kiburi cha kusema upotofu ule hadharani na kupitia madhabahu ya mwamba mkuu wa kanisa katoliki Mtakatifu Petro? Ikiwa iko hivyo, basi mpendwa sana Fr Kitima anafaa kua miongoni mwa mashahidi wa uongo, na sio shahidi wa imani katoliki.

Sina haja ya kukulaumu wewe usie jua usemalo, wala kukuzungumzia wewe mlei usiestahili dhambi, uovu na ushetani wa hao niliowataja maibilisi kwenye hoja ya msingi mezani.

wewe ni kama mtoto wa inje ya ndoa.
Mungu akubariki sana gentleman.
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu,Aimen 🙏
 
Yule baba mzuri wa sura na roho halafu akili ipo active big brain
amechojoa na kutoa maksi za bure sana kwa pisi kali za SAUT zilizokubali kuondoa vifuniko vya asali zao.

na mara zote huwa nasema humu jukwaani, uovu mwingi umejificha kwenye wema, but naona wengi wanakua na imani za akina tomaso

plz be careful 🐒
 
amechojoa na kutoa maksi za bure sana kwa pisi kali za SAUT zilizokubali kuondoa vifuniko vya asali zao.
Unaweza kuthibitisha tuhuma zako dhidi yake?
na mara zote huwa nasema humu jukwaani, uovu mwingi umejificha kwenye wema, but naona wengi wanakua na imani za akina tomaso

plz be careful 🐒
Niwe careful kwa lipi ?
 
Unaweza kuthibitisha tuhuma zako dhidi yake?

Niwe careful kwa lipi ?
kwanini nithibitishe mambo maovu obvious ndugu mdau? sidhani kama kuna sababu ya maana hata moja ya kufanya hivyo. Acha imtafune mwenyewe dhambi hiyo dhalimu na ya udhalilishaji,

by the way,
nimetoa ushauri mujarabu bure kabisa kwa wadau wote wa JF kua careful dhidi ya uovu unaojificha kwenye wema now days,

ikiwa sio muhimu, try careless na itapendeza zaidi ndugu mdau 🐒
 
kwanini nithibitishe mambo maovu obvious ndugu mdau? sidhani kama kuna sababu ya maana hata moja ya kufanya hivyo. Acha imtafune mwenyewe dhambi hiyo dhalimu na ya udhalilishaji,

by the way,
nimetoa ushauri mujarabu bure kabisa kwa wadau wote wa JF kua careful dhidi ya uovu unaojificha kwenye wema now days,

ikiwa sio muhimu, try careless na itapendeza zaidi ndugu mdau 🐒
Haya sawa
 
Back
Top Bottom