stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 668
- 1,368
Wapi wanafudisha kuongea lugha ya kichina?
kuna jamaa alijifvnza kichina tz, alipofika beijing anasema aliluwa anajua kusalimiana tu.ni hao! Ta jia hao ! nenda chuo kikuu cha Dar es salaam ,, lakini ubaya wa kichina utajua tu yale utakayofundishwa darasan, nje nahapo labda uende china ukaishi huko miaka kadhaa
Nikweli kawaida lugha haifundishwi darasani. Lugha yeyote ukitaka kuifahamu nenda sehemu husika kakae huko , otherwise kama unataka kushila maneno machache na labda unaweza kuwa mwalimu wa kufundisha hayo hayo uliyofundishwa darasani lakini sio kuweza kutafsiri au kuwasilianakuna jamaa alijifvnza kichina tz, alipofika beijing anasema aliluwa anajua kusalimiana tu.
Zal jain