Hivi Lijualikali yuko wapi?

Hivi Lijualikali yuko wapi?

Bado Ni DC Moja Ya Wilaya Mkoani Rukwa Ingawa Nafsi Inamsuta Punde Atarudi Kama Msingwa Akiliia Tu
Anarudi Analia x 3
Kamwe hawezi kurudi CHADEMA. Kiufupi amenyea kambi. Ni tofauti na Mchungaji Msigwa. Lijualikali alifikia mpaka hatua ya kuwashambulia makada wa CHADEMA waliojaribu kukusanyika kwenye hiyo Wilaya ya Nkasi kwa vikao vya ndani vya chama. Sasa mtu kama huyo siku akirudi atakaribishwa na nani chamani?
 
Kamwe hawezi kurudi CHADEMA. Kiufupi amenyea kambi. Ni tofauti na Mchungaji Msigwa. Lijualikali alifikia mpaka hatua ya kuwashambulia makada wa CHADEMA waliojaribu kukusanyika kwenye hiyo Wilaya ya Nkasi kwa vikao vya ndani vya chama. Sasa mtu kama huyo siku akirudi atakaribishwa na nani chamani?
Arudi kufanya nini kwanza?!!! Yupo busy na maendeleo ya wananchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom