Nkasi huko kama sio KalamboBado Ni DC Moja Ya Wilaya Mkoani Rukwa Ingawa Nafsi Inamsuta Punde Atarudi Kama Msingwa Akiliia Tu
Anarudi Analia x 3
WIVU TU UNAKUSUMBUA GENTLEMAN RIGHT?At one time alikuwa Mkuu wa Wilaya??? then nini kilitokea?
Au bado yupo serikalimi?
Namfananisha na Yeriko Nyerere anavyotapatapa kitafuta ahueni!

Kamwe hawezi kurudi CHADEMA. Kiufupi amenyea kambi. Ni tofauti na Mchungaji Msigwa. Lijualikali alifikia mpaka hatua ya kuwashambulia makada wa CHADEMA waliojaribu kukusanyika kwenye hiyo Wilaya ya Nkasi kwa vikao vya ndani vya chama. Sasa mtu kama huyo siku akirudi atakaribishwa na nani chamani?Bado Ni DC Moja Ya Wilaya Mkoani Rukwa Ingawa Nafsi Inamsuta Punde Atarudi Kama Msingwa Akiliia Tu
Anarudi Analia x 3
Gentleman Wivu Ni NiniWIVU TU UNAKUSUMBUA GENTLEMAN RIGHT?![]()
wa maisha ya watuGentleman Wivu Ni Nini

Huyo ni kiongozi wa kisiasa, kosa la mwananchi kuuliza kiongozi fulani yupo wapi hapo kuna kosa gani? Ulitaka auliziwe wapi?Uzi wa kijinga sana. Kujua kama mtu ni mkuu wa wilaya ni mpaka umuanzishie uzi zama hizi za kidigitali?
Mkuu wa Wilaya ya Nkasi anayeishi wilaya ya Kalambo maana Nkasi hakubaliki.At one time alikuwa Mkuu wa Wilaya??? then nini kilitokea?
Au bado yupo serikalimi?
Namfananisha na Yeriko Nyerere anavyotapatapa kutafuta ahueni!
Simple Google search ingemuonyesha wapi Lijualikali yupo.Huyo ni kiongozi wa kisiasa, kosa la mwananchi kuuliza kiongozi fulani yupo wapi hapo kuna kosa gani? Ulitaka auliziwe wapi?
Gentleman Sasa Hivi Hakuna Wivu Watu Wanasema Ukweli Ambao Unafichwawa maisha ya watu![]()
Atakuwa anaungua juaAt one time alikuwa Mkuu wa Wilaya??? then nini kilitokea?
Au bado yupo serikalimi?
Namfananisha na Yeriko Nyerere anavyotapatapa kutafuta ahueni!
We kinachokuumiza ni nini hapo dogo?Uzi wa kijinga sana. Kujua kama mtu ni mkuu wa wilaya ni mpaka umuanzishie uzi zama hizi za kidigitali?
Ni uchaguzi tu, huyu amechagua kutuuliza humuSimple Google search ingemuonyesha wapi Lijualikali yupo.
Arudi kufanya nini kwanza?!!! Yupo busy na maendeleo ya wananchi
Ni DC huko Katavi au Rukwa kama sijakoseaAt one time alikuwa Mkuu wa Wilaya??? then nini kilitokea?
Au bado yupo serikalimi?
Namfananisha na Yeriko Nyerere anavyotapatapa kutafuta ahueni!