Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 17,105
- 24,470
Wajuzi wa hizo kazi naomba msaada wenu kwa mwenye kufahamu au kuwa na taarifa.
Baada ya kumaliza kazi zangu za Kila siku huwa nakuwa na muda kidogo ambayo naona kama unapotea.
Sasa nahisi kama ninaweza kuutumia muda huo kujiongezea kipato kwa kuutumia ujuz na maarifa niliyojaaliwa na mungu muumba pamoja na juhudi pia
Nakuja kwenu kuuliza wapi nitapata chuo kikuu au Cha kati Ili niwe mkufunzi msaidizi wa muda ? Naweza kufundisha kwa ufasaha kabisa utawala na rasilimali watu,.communication skills, Sheria na mahusiano kazini , manunuzi na mengine yahusuyo
Naombeni msaada mwenye kujua.
Baada ya kumaliza kazi zangu za Kila siku huwa nakuwa na muda kidogo ambayo naona kama unapotea.
Sasa nahisi kama ninaweza kuutumia muda huo kujiongezea kipato kwa kuutumia ujuz na maarifa niliyojaaliwa na mungu muumba pamoja na juhudi pia
Nakuja kwenu kuuliza wapi nitapata chuo kikuu au Cha kati Ili niwe mkufunzi msaidizi wa muda ? Naweza kufundisha kwa ufasaha kabisa utawala na rasilimali watu,.communication skills, Sheria na mahusiano kazini , manunuzi na mengine yahusuyo
Naombeni msaada mwenye kujua.