Jamani hapa Vipi! Kutambua Cheupe(DAR) Vs Rainbow Gril(DOM), wapi Bomba

Jamani hapa Vipi! Kutambua Cheupe(DAR) Vs Rainbow Gril(DOM), wapi Bomba

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,772
Reaction score
5,848
Wale walevi , Leo tupo tena kwenye mchuano Kati ya maeneo haya mawili yanayowika dar es salaam na Dodoma, katika Nyanja za burudani, je Nani ni zaidi, hakuna maelezo mengi, chukua bia yako zimua utoe comment
 
Nimekaa nimejiuliza sana hivi ni lazima nikae ndio nijiulize?

Pombe nainywea popote hata ibadani
 
Kitambaa cheupe zipo bar tatu hapa dar, vipi rainbow ya hapo makole, au zimeongezeka maana nimetoka toka 2018.
 
hiyo rainbow ndo wanaendaga upinde wa dom?
samahani mimi ni mgeni
 
Back
Top Bottom