Kwema wakuu?
Kuna kitu nimewaza hapa. Mfano mtu anajenga akanunua mirunda au Marine Boards. Akimaliza kujenga ni wazi hivi vifaa havitotumika tena. Hua vinaendaga wapi baadae?
Kuna watu hua wananunua au kuuza hivi vitu? Nimewaza wajenzi wengi wanaweza kuokoa gharama kubwa kama kutakua na utaratibu wa kuzungusha hivi vifaa kutoka kwa mmoja kwenda kwa mwengine.
Sio lazima kila mjenzi mpya awe anaenda dukani kununua mirunda mipya, au marine mpya wakati ni vitu ambavyo hutumika kwa muda tu kwenye ujenzi.
Kuna kitu nimewaza hapa. Mfano mtu anajenga akanunua mirunda au Marine Boards. Akimaliza kujenga ni wazi hivi vifaa havitotumika tena. Hua vinaendaga wapi baadae?
Kuna watu hua wananunua au kuuza hivi vitu? Nimewaza wajenzi wengi wanaweza kuokoa gharama kubwa kama kutakua na utaratibu wa kuzungusha hivi vifaa kutoka kwa mmoja kwenda kwa mwengine.
Sio lazima kila mjenzi mpya awe anaenda dukani kununua mirunda mipya, au marine mpya wakati ni vitu ambavyo hutumika kwa muda tu kwenye ujenzi.