Mbona kama ameanza kuaga mapema sana kwani anaenda wapi.
Alianza Samia mwenyewe akasema mtanikumbuka, leo Mchengerwa naye kasema mtamkumbuka.
Nakumbuka hata wakati wa mwisho wa enzi za Mwendazake naye alianza kutamka maneno haya haya kuwa mtanikumbuka, binafsi sijui nini kinaendelea.
Alianza Samia mwenyewe akasema mtanikumbuka, leo Mchengerwa naye kasema mtamkumbuka.
Nakumbuka hata wakati wa mwisho wa enzi za Mwendazake naye alianza kutamka maneno haya haya kuwa mtanikumbuka, binafsi sijui nini kinaendelea.