Serikali na kampuni ya barrick wameunda kampuni inayoitwa TWIGA ambayo ni ya ubia kati ya hizo pande mbili. Ushauri wangu kampuni ya TWIGA badala ya kukodi jengo LA kufanyia shughuli zao, ingekuwa vyema wangejenga jengo la kudumu na kuliita MADINI House kama kumbukumbu ya makubaliano hayo!
Habari za muda viongozi.
Ningependa kupewa dodoso juu ya biashara hii ya vinyozi.
Nahitaji kujua kiwango cha chini cha gharama ya kuanzisha huu mradi, kwa sababu nataka nimfungulie kijana ambae ndio kinyozi mwenyewe, apate japo shughuli ya kufanya. Mimi nikiwa kama mmiliki wa mradi huo.
Habari za leo Watanzania wenzangu wote ambao mtatumia muda wenu mfupi sana kusoma maoni yangu haya ya kumsaidia MH Hamis Kigwangala Waziri wa Mali Asili na Utalii (mzee wa field).
Mapema jana nikiwa ninapitia magazeti nilikutana na gazeti la Jamhuri lenye kichwa cha habari kilichoandikwa kwa...
Wadau naombeni kuelimishwa.
Binti yangu kamaliza Form Four kapata Div 1 ya point 10. Alifanya masomo ya biashara na kafaulu vizuri katika masomo husika.
Safari yake ya maisha anataka kuja kuwa Diplomat. Je ni combination gani asome A-level ambayo itakuwa na mchango katika safari yake?
Wakuu amani iwe kwenu,
Naenda kwenye mada moja kwa Moja,
Wiki Moja kabla ya Xmass nikiwa Nimetuna sehemu karibu kabisa na home napiga zangu masanga, mara ghafla kaja dada yangu, akaniambia fulani anakuita (jina kapuni) basi bwana dakika sifuri nikafika nilipoitwa basi ikawa hivi:
Ooh Samahani...
Kwanza, napenda kumpongeza mheshimiwa raisi kwa kutekeleza kwa vitendo miradi ya umeme na miundombinu mana vitu hivi ni muhimu ili kufikia nchi ya viwanda.
Ushauri
Ningependa kumshauri mheshimiwa raisi awamu ijayo ajikite katika sekta ya kilimo yaani kilimo cha kibiashara mana asilimia kubwa ya...
Habarini!
Niende kwenye mada.
Jamaa yangu wa mbali lakini niliye na uhusiano nae wa karibu kabisa kwa mambo mengi na msiri wangu mkuu alioa mwanzoni mwa mwezi uliopita, ilikuwa tarehe 2.
Leo asubuhi ya saa tano hivi alinijia nyumbani akiwa amefadhaika mno, nilistuka! Alichonieleza na ambacho...
Member wote wa JF kwangu ni kama sehemu ya familia. Humu unaweza kupata ushauri mzuri sana ambao unaweza kubadirisha maisha yako ina a positive way.
Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni ushauri wenu kuhusu haya mahusiano yangu.
Siku ya Xmass nilileta uzi humu kuhusu wife kunikamata red...
Kuwa mjanja mdogo wangu.
Utatumiwa sana kwakuwa ni maarufu uendeshe faida kwenye kituo cha watu halafu akipata mbinu nyingine anaku-dump.
Kuwa makini Diamond.
Hili ni angalizo ninalolitoa kwa Timu yangu ya Simba , Tusithubutu kudharau yanga kwa sababu ya dhiki waliyonayo , tutaumia ! Inapofika siku ya mazishi Masikini wanakuwa na umoja wa ajabu sana !
Hebu angalia Buguruni kwa Mnyamani au Temeke Mikoroshini jinsi masikini wanavyozikana ...
Salaam waungwana, ndugu zangu nina wazo la kutaka kufungua biashara ya kuuza mabegi aina zote yaani mabegi makubwa ya nguo, saizi ya kati, ya mgongoni na hand bags za wadada. naomba mnisaidie mawazo kwenye mambo yafuatayo:-
- Chimbo la kupata mabegi makubwa yale ya nguo kwa jumla hapa dar...
Hali si nzuri najua wengi hawatanielewa
Yanga ina hali ngumu nakwambia wachezaji wengi awachezi kwa moyo awajalipwa hela zao
Mbaya zaidi majuzi GSM wameomba kulipa malimbikizo ya wachezaji uongozi ukalazimisha hizo hela zipelwkqw kwenye acc yao wao wataamua nn cha kulipia
Ile ilikuwa na saini...
Ukatibu mkuu wa chama ni nafasi nyeti na ya juu sana katika uongozi wa chama, kwa nafasi hiyo, katibu mkuu huzifahamu siri nyingi na nyeti za chama, mwenyekiti pamoja na viongozi wengine.
Kuenguliwa kwenye uongozi katika chama katika umri ambao bado una nguvu, nia na uwezo wa kuendelea...
Tangu uingie madarakani kumekuwa na hii teka teka ya watu ambayo imezua taharuki!!
Wewe kama kiongozi unapaswa kuweka sawa na kutufahamisha kuwa hawa watekaji au wahuni ni kina nani na wana malengo gani hasa, kwani kukaa kwako kimya ni kuhalalisha utekaji na kuonyesha hautujali sisi wananchi...
Habari za leo wanaJF!
Ninahitaji diesel pump ya maji yenye uwezo mkubwa wa kutoa maji kutoka mita 200 kwenye bwawa na kuyaleta kwenye tank lililopo mita nne juu (limejengewa mnara wake).
Naombeni ushauri wa aina ya pump na horsepower (HP) zake.
Mara ya mwisho nilifanya hivi ilikua mwaka jana na wengi niliwasaidia bure tu, lakini hawakushukuru au wengine kuleta mrejesho.
Naam wakili nipo likizo toka hapa kijijini nilipo so naimani naweza kutoa msaada walau ata robo tu tokana na maarifa machache ya sheria niliyo bahatika kuya soma.
Pro...
Wapendwa, nimechoka na kero za kukatika umeme kila mara. Nimeamua kutafuta generator japo napo ninatafuta makelele ya mngurumo wake.
Je, nitapata wapi generator nzuri kwa kijihela changu cha laki 4? Yaani 400,000/=.
Vitu vyangu ni vya kawaida: fridge 2, taa kama 13 hivi, microwave, tv set...
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu ameuhutubia mkutano mkuu wa chama hicho unaoendelea katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam akisema, mpango wa kukiua chama hicho iliyopangwa imeshindikana na zaidi imekiimarisha zaidi chama hicho.
Lissu amesema...
Hiki kipimo ni cha 2017 full blood picture
Na hiki cha chini ni cha 2019
Sasa naomba wataalam wa kufanya analysis ya vipimo hivi vya damu watoe ushauri kipi kiko kwenye hatar na nini kifanyike pale penye mapungufu
Nawasilisha.
Wakuu habari za Weekend.
Mimi ni kijana na nimefikia umri wa kuoa sasa, ila changamoto ni kutaka kumuoa msichana ambae hayumo katika hisia zangu, ila sababu ya yeye ana tabia zote nzuri, lakini mimi tu sijavutiwa sana kwa upande wa sura tu basi.
Na kwa upande wake ananipenda zaidi ya sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.