ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Ushauri : Viongozi wa Chadema waliofungwa Segerea wakapimwe kama wamewekewa Sumu

    Mjumbe hauawi na huu ni ushauri kutokana na mashaka juu ya usalama wa wahusika ambao walinusurika kwenye mauaji ya kupangwa na baadaye kugeuziwa kibao na kuhukumiwa mahakamani , katika hukumu iliyojaa dhuluma. Mungu ibariki Chadema
  2. Kuchakuro Ps

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaombwa kutoa Ushauri kwa huyu ndugu yetu. Je, amuoe huyu binti?

    Wakuu Salam, Kijana mmoja alikuwa anataka kuoa binti mmoja kutoka kabila...lakini Wazazi wakakataa. Baada ya Wazazi kuona speed ya kijana wao kutaka kumuoa huyo binti wasiemtaka inashika Kasi, wakatafuta binti wanae mtaka Kwaajili ya kijana wao, wakatuma barua ya posa na Sasa maandalizi ya...
  3. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kuhusu mama chui na watoto wake

    Mama Chui akizaa watoto wake anawalea wakishakua anawaacha anaenda porini anakaa kama juma hivi akirudi anawatisha watoto wake. Yale watoto walioshtuka wakakimbia hawawi chui tena ila wale watoto waliomtambua mama yao wanabaki na mama yao na wanakuwa chui (katika uhalisia wake). Kwa sisi wachaga...
  4. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Kama umehitimu shahada na huna kazi, fanya mambo haya matano

    Karibu rafiki kwenye makala yetu ya ushauri wa changamoto inayokuzuia kufikia mafanikio makubwa uliyopanga kufikia. Hakuna mtu asiye na changamoto, wale unaowaona wamefanikiwa sana, siyo kwamba hawana changamoto, ila wanakabiliana nazo na kuzivuka. Hivyo usiombe kutokuwa na changamoto, bali...
  5. irumba1

    JamiiForums Tanzania Nahitaji ushauri katika hili

    Habari ndugu wanajukwaa, Mwaka jana nilikuwa nafanya biashara ya M-Pesa mara baada ya makadirio ya kodi kutoka TRA.Kwa mwaka huu sitaki kuendelea na hii biashara. Swali langu:- Je, nikienda TRA kufunga biashara na ile line ya M-Pesa (Till) nayo itafungiwa kufanya kazi?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa Upinzani Tanzania: Epukeni kujibizana hadharani, wapuuzeni wapambe

    Mada inahusika. Katika kipindi hiki kwenu kilichojaa fitina na majungu na nia ya dhati ya kutaka kusambaratishwa na watawala, umakini unahitajika sana. Kwanza ukomavu wenu ni muhimu na mapitio yenu yawaunganishe kama kundi moja lenye common intrest Tumieni uzoefu mlioupata kwenye UKAWA 2015...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bashiru kwa Membe na maana yake

    Hii tuanze tu hata bila kusalimiana wala kuzingatia itifaki maana sasa kila mwananchi ana maswali mengi kuliko majibu hivyo salamu na itifaki hazisaidii kutafuta majibu ya maswali vichwani wa wananchi. Tujiulize; Bashiru anashauri Membe ajiunge na upinzani na huko akagombee urais. Sasa kwa...
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Agizo la Rais juu ya taasisi za Serikali kupewa kazi za ushauri liliishia wapi?

    Rais anaposonga mbele, aliyoagiza nyuma yanasahaulika. Muongozo ulitolewa na serikali ya awamu hii ikiwa ni pamoja na ofisi za serikali kuhamia majumba ya serikali, mikutano kufanyika nyumba za serikali, kazi za ushauri kufanywa na taasisi za serikakali. Nionacho ni mapambano kati ya tabia za...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri, maoni au maelezo kuhusu hii kozi

    Habari wana JF, Mimi ni kijana na nina Stashahada ya Afya ya wanyama na Uzalishaji ( Diploma in Animal health and production). Matamanio yangu mwaka 2020 ni kusoma kozi ya Wildlife tourism management pale MWEKA, naomba mwenye ujuzi na hii kozi au field ya utalii anijuze, atoe maoni au taarifa...
  10. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Membe, Japo Umeonewa, Usifanye Kosa la Lowassa!, Ila CCM ya Ajabu!, Uamuzi based on Illegal Evidence ni Void Ab Initial!.

    Wanabodi, Naomba kulianza bandiko hili kwa kutoa pongezi kwa Kamati Kuu ya CCM kufanya maamuzi magumu. Hata kama mimi binafsi sikubaliani na maamuzi hayo, lakini kitendo tuu cha CCM kufanya maamuzi magumu, hii ni plus traits kwa chama cha Mapinduzi, just being decisive, kwasababu CCM ndio...
  11. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure tu kwa aliyefurumushwa

    1. Usiwajibu kwa haraka kama ambavyo nimeanza kuona unataka Kufanya hivyo 2. Acha Mihemuko ya Kuwaambia neno Umma ambao wengi Wao ni Wanafiki watupu 3. Jitafakari huku ukikikumbuka sana kile Kiapo chako cha Fani yako Kuu ya Njiwa / Chawa 4. Kuanzia sasa usiwaamini wote wanaokuzunguka kwani hao...
  12. M.Rutabo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kukopa benki

    Naomba ushauri nafahamu jamii forum ina wajuvi wengi. Mm nikijana miaka 30 nimejiajiri kwa kuwa na duka la nguo nimejenga na nyumba ina hati japo nipo huku wilayani. Sasa nina shamba langu la migomba nilitaka na lenyewe nilichukulie hati ili niweze kukopa kwa kutumia hati ya nyumba kuweza...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu elimu bure

    Kwanza kabisa naipongeza sana Serikali kuhusu dhana ya Elimu Bure kuanzia elimu ya msingi mpaka Sekondari LAKINI kuna changamoto zinazotakiwa kuangaliwa kwa umaakini sana. Kwanza fedha inayotolewa kwenye shule ni kidogo sana. Leo asubuhi nimesikia kule Shinyanga katika Shule mmojawapo wanapewa...
  14. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Pata ushauri kuhusu gharama halisi za ujenzi kulingana na mchoro wako, location ya site na landscape ya kiwanja

    Kwa mahitaji ya kutaka kujua gharama halisi utakazotumia katika kukamilisha ujenzi wa jengo lako (BOQ). Natoa huduma ya kufanya mchanganuao wa idadi halisi ya materials utakazotumia mpaka kukamilisha ujenzi. MAHITAJI 1. Mchoro 2. Kufika site. 1. MCHORO Mchoro utanisaidia kujua ukubwa wa...
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?

    Wanabodi, Kwanza angalieni hii picha More than 60% of Rwanda’s parliamentarians are women. Photo: Sam Ngendahimana Nimesoma kwenye Ripoti ya WB, Bunge la Rwanda ndilo Bunge linaloongoza Dunia kwa gender equality baada ya kuwa na asilimia kubwa ya wabunge wanawake kuliko wanaume, wakati Bara...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Ninaomba ushauri kutoka Idara ya Wanyamapori

    Nianze kwa kutamka kuwa mimi ni mfugaji. Ninataka nipate ndama dume ya nyati ambaye ana umri wa wiki moja ili nimlete kwenye kundi langu la ng'ombe ili aweze kukua na kunyonya maziwa ya ng'ombe wangu mpaka awe na mri mkubwa wa kuweza kujilisha kwa majani. Nia yangu kubwa ni kuja kupata dume la...
  17. Chinga One

    JamiiForums Tanzania Wakina dada chukueni huu ushauri wa Tanasha...

    "Asubuhi kabla ya jogoo kuwika uniamshe na kimoko" nami NAKAZIA hapo hapo,kwa afya ya akili na mwili hii kitu ya asubuhi ni muhimu sana utafiti unaonyesha 99% ya wanaopata cha asubuhi wanaamka na furaha yani wanakua fresh na akili inafanya kazi mara 100 ya mtu asiyepata asubuhi,na hawana hatari...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa wenye vibanda vya biashara katika miji mbalimbali hapa nchini

    Kumekuwa na matukio ya kusikitisha ya kuungua kwa vibanda katika maeneo mbalimbali hapa nchini na kupelekea wamiliki kupata hasara kubwa na kuwaingiza katika umaskini mkubwa. Binafsi nina ushauri kwa Serikali kama mamlaka na wenye vibanda husika. (1) Serikali ihakikishe kuwa ni sharti kila...
  19. mjusilizard

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bure kwa Vijana

    Vijana tafuteni hela MTUNZE familia zenu, acheni kuelekeza nguvu kuipinga serikali na kujihusisha na SIASA MAJITAKA, kazana kutafuta ugali, ya serikali iachie serikali
  20. Vituka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania USHAURI: Wasichana tunzeni bikira zenu mpaka mtakapoolewa

    Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI! Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono...
Back
Top Bottom