Yoranda
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 341
- 333
Kwa heshima kuu Nci yangu ni ya watu waelewa, viongozi watukufu. Mh Raisi na mamlaka yake achuur ushauri huu kuinua ari, hadhi na afya
Ujenzi wa nyumba kwa utaratibu wa aina ya nyumba na hata mapambo yanayowekwa na wananchi. Ikumbukwe hii sio biashara ni Nchi na hadhi ya watu na afya zao
Kwa mfano nchi inapoweka sheria za ualazima wa kujenga aina ya nyumba kwa mfano vijijini iwe lazima iwe ya tofali la kuchoma na lazima ajee cement(saruji)hapa nalenga uimara,
marufuku ya ujenzi eneo lisilofaa(mabondeni, karibu na barabara nk. na barabara zielewekezwe ni zipi mitaani au za kitaifa. wapi iweje, naona haya mambo yapo kimya sana.
Jambo lingine ni tangi, bila kujali siasa za mipira nchi iwe a rangi inayopendeza, unakuta nyumba imepakwa rangi yaani hazifai kabisa, ni muhimu kuwa na fomula sio kufanya holelaholela
nasisitiza ujenzi wa nyumba ni bora raia ajnge vyumba viwili anavyomudu azingatie sheria
asante
Hizi ni picha nyumba nch mbalimbali
Ujenzi wa nyumba kwa utaratibu wa aina ya nyumba na hata mapambo yanayowekwa na wananchi. Ikumbukwe hii sio biashara ni Nchi na hadhi ya watu na afya zao
Kwa mfano nchi inapoweka sheria za ualazima wa kujenga aina ya nyumba kwa mfano vijijini iwe lazima iwe ya tofali la kuchoma na lazima ajee cement(saruji)hapa nalenga uimara,
marufuku ya ujenzi eneo lisilofaa(mabondeni, karibu na barabara nk. na barabara zielewekezwe ni zipi mitaani au za kitaifa. wapi iweje, naona haya mambo yapo kimya sana.
Jambo lingine ni tangi, bila kujali siasa za mipira nchi iwe a rangi inayopendeza, unakuta nyumba imepakwa rangi yaani hazifai kabisa, ni muhimu kuwa na fomula sio kufanya holelaholela
nasisitiza ujenzi wa nyumba ni bora raia ajnge vyumba viwili anavyomudu azingatie sheria
asante
Hizi ni picha nyumba nch mbalimbali