trilioni 360

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. saidoo25

    kauli ya Prof Kabudi kuhusu Trilioni 360 utata mtupu

    Tangu gazeti la JAMHURI litoe kinachoitwa Kauli ya Profesa Kabudi kuhusiana na suala la Trilioni 360 kuwa lilishamalizika kuna kila dalili za kuwepo sintofahamu na upotoshaji mkubwa kuhusiana na kauli hiyo. Watanzania wengi wamepaza sauti kutaka kuletewa uthibitisho wa kauli hiyo ama video au...
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je, issue ya Masanja imeletwa kimkakati kututoa kwenye mjadala wa Trilioni 360?

    Nchi hii inaendeshwa na rimoti na watu fulani. Kila mara inapotokea issue yenye maslahi mapana kwa raia, na washika remote hawataki tuijue au tuijadili basi kwa gharama yoyote ile watatuletea tukio la kutupoteza maboya. Kipindi cha kasha ya Epa akaibuliwa Babu wa Loliondo, akapewa promo hadi...
  3. M

    Profesa Kabudi: Trilioni 360 za makinikia haikuwa kodi sahihi, Nilikosea kutumia neno “Jalala”

    Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi. Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie...
  4. Sir robby

    Waliofanya pati ya kusamehe Trilioni 360 ni viongozi au wananchi masikini?

    Mambo yamekuwa Mambo kumbe kuna Kundi lilisheherekea.
  5. BARD AI

    Alichokisema CAG Kichere kuhusu Tsh. Trilioni 360 za TRAB na TRAT

    Katika ripoti yake ya ukaguzi kwa mwaka 2020/21 iliyowasilishwa bungeni Aprili 12 mwaka huu, CAG Charles Kichere ameligusia suala hilo, akisema hesabu za Mamlaka ya Mapato (TRA) kwa mwaka wa fedha 2020/21 zinaonyesha kuwapo kodi zilizoshikiliwa katika mahakama za rufani kwa muda mrefu Sh...
  6. M

    Serikali yakiri kuachana na madai ya Tsh. Trilioni 360 za Makinikia

    Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa ufafanuzi kuhusu wapi zipo shilingi trilioni 360 zilizopo kwenye mashauri ya madai 1,095. Waziri Nchemba amesema, kuna jumla ya mashauri 400 katika mabaraza ya rufani za kodi (TRAT) yenye thamani ya shilingi trilioni 4.2 na dola za Marekani...
Back
Top Bottom