Natumaini nyote mmeamka salama, Msaada tafadhari Simu yangu imekuwa na tatizo la upigaji camera kila ninapopiga picha inakuwa na ukungu hata haionyeshi,tatizo hili limeanza gafla,kipindi cha nyuma haikuwa hivi msaada tafadhari natumia Itel
Sijawahi kuelewa kwanini hii Wilaya mitandao ya sim inasumbua sana network, ukiwa na smartphone network kuipata hadi uende sehemu yenye mnara wa simu.
- Miaka ya nyuma nilikuwa natumia laini ya safaricom ya Kenya nilikuwa napata network na Internet ya uhakika.
- Ukija upande wa radio ndiyo...
Habari zenu wakuu,
Kuna jamaa mmoja analalamika ana uvimbe shingoni na homa. Alifanyiwa ultrasound ya shingo mwaka jana mwezi wa saba akaambiwa kitalaamu ana multiple cervicle limphnodes enlarged inayotokana na TB, akaanzishiwa dozi ya TB ambayo alimaliza mapema januari mwaka huu, lakini uvimbe...
Maalim Seif alikuwa ndio nguzo ya CUF na alipohama CUF nayo ikawa imekufa " kimsingi " Maalimu Seif akawa nguzo ya ACT Wazalendo ambayo wabunge wake wote ni wafuasi binafsi wa Seif. Kufariki kwa Maalim Seif kunaweza kuwa ndio mwanzo wa kifo cha ACT Wazalendo pia.
Lakini naamini Mwamba Zitto...
Habari wadau
Nimekuja mbele yenu wazoefu ama mliowahi kupitia hali hii. Ni kwamba kwa sasa kiwanda kinatema bidhaa yake ya upwilo kwa kiwango kilichozidi kwa asilimia kama 30 za ziada.
Binafsi ninapokaribia mara nyingi huwa naumwaga upwilo kwenye kanga spesho ila kwa saizi imekuwa too much...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU
Wakuu naomba nifikishe kilio cha rafiki yangu mmoja mwenye tatizo la kupata kizunguzungu kila alalapo, hasa anapolala chali kitandani. Huyu jamaa ana umri kati ya miaka 30 - 35, hana historia ya kuvuta sigara, hatumii pombe wala hatumii madawa makali ya...
Ndugu wazazi wenzangu wasalamu,
Kuna jambo nataka niwaeleze, na hii ni pamoja na vijana wenzangu, wanaopata maisha ya tabu kwenda kusoma miaka zaid ya 18 kutegemea ndoto ambazo hazitimii.
Nitaeleza kidogo:
Hapo zamani kidogo, chini ya miaka ya 2000s ilikuwa ni lazima mtoto afaulu Darasa la...
Habari JF Doctors na wadau mbalimbali,
Nina kijana wa kiume miaka 19 anasumbuliwa na maumivu ya upande mmoja wa mshipa wa sehemu za uzazi, Tatizo hili limemuanza wiki moja nyuma ambapo palianza kuvimba kidogo kidogo lakini saivi pameongezeka na maumivu anasikia makali.
Chanzo cha tatizo...
Wakati mwingine Saikolojia inashauri kwamba!
Ili ufanikiwe kujikinga na jambo lazima ulikadirie ukubwa wake! (Assuming and assumption theory)
Mtu anaekata mti ili abaki salama ni lazima awe anafahamu vyema kukadiria madhara ya mti au tawi analokata litakavyoanguka!
Kumekuwepo na ongezeko...
Inakuwaje wanajamvi,
Yani ukiangalia picha na video za miaka ya tisini kurudi nyuma vijana wengi hadi wa makamu miaka 45+ walikuwa na afro na nywele nyingi. Ngumu sana kukuta vipara.
Ila sasa hivi kwaanzia ma teenegers hadi 27 years wengi wana vipara.
Tatizo nadhani msongo wa mawazo, vyakula...
Wanawake sasa hivi tunaaachia sana....tunatanua miguu mpaka hatutaki irudisha tena. Siku mbili tatu mtu kaomba mzigo kakuhonga unamwachia.
Matokeo yake mnabaki kulalamika sijui wanaume vibamia, sijui hawawaridhishi. Mimi naponawa nanawa kwa umakini hata kidole changu kidogo kuingiza ni shida...
Dar es Salaam, aliyekuwa Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini Chadema, Arcado Ntagazwa amezikwa nyumbani kwake Kimara jijini Dar es Salaam huku sababu ya kifo chake ikielezwa kuwa ni changamoto ya upumuaji.
Waziri huyo wa zamani aliyehamia Chadema mwaka 2010 akitokea CCM, alifariki dunia Jumatano...
Kwa masikitiko makubwa sana Ndugu yetu Wakili Msomi Geofrey Noah amefariki dunia leo hii jijini Arusha kwa tatizo la upumuaji.
Mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa amani. Amina.
Wakili Noah(Kulia) enzi za uhai wake akiwa na Wakili Olengurumwa
Wakili Noah enzi za uhai wake
Habarini wakuu! kabla sijaenda kwenye hoja yangu kama kichwa kinavyojieleza nitoe shukrani zangu za pekee kwa Mwenyezi Mungu anipae uhai, Wakuu ni wiki ya pili sasa tangu nilipoanza kupata tatizo la maumivu ya tumbo eneo lote la kitovu pamoja na pembeni kidogo upande wa kulia wa tumbo usawa na...
Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa.
Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa.
Kama...
Huyu jamaa ni kama dish limeyumba. Amekuwa akitumika vibaya kama bwege kiasi inatupa shida kuwa je a a tatizo kiakili? Yanga ilikuaje tukawa na kiongozi Bogus kama huyu? Yeye anaona suala linalomhusu Yanga ni la Morrison tu?
Napenda kuishauri serikali kuu kuzuia taasisi zake kuacha biashara ndogo ndogo kwani kufanya hivyo ni kuzuia kukua kwa biashara na wajasiliamali kwa ujumla hivyo kupunguza mzunguko wa pesa na kuikosesha serikali kodi. Mfano shirika la kusambaza maji Morogoro MOROWASA linalazimisha wananchi...
Safisha kinywa kwa kutumia dawa ya meno na mswaki, kisha sukukutua na maji safi na kutema.
Pata matibabu ya magonjwa ya kinywa- endapo kinywa chako kina maambukizi, utapatiwa dawa za kutibu maambukizi hayo. Kuna wakati utahitaji kusafishwa meno na daktari wako ili kuondoa bakteria kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.