Matatizo mengi tunayoyapitia ya kisiasa, kiuchumi na kijamii yametokana na mifumo tuliyonayo kama nchi na wananchi, pamoja na mifumo iliyojengwa "na dunia".
Bara la Afrika lilikuwa na mifumo yake ya uongozi, uchumi, ustaarabu, jamii, usalama, nk., kabla ya biashara za masafa marefu na kabla ya...