tatizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mwaka wa Fedha 2019/2020

    Salaam Wakuu, Hapa chini ni Muhtasari wa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Mwaka wa Fedha 2019/2020 === Mhe. Naghenjwa Kaboyoka (Mb), Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya PAC; Mhe. Grace Tendega (Mb), Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya LAAC; Mhe. Daniel Sillo (Mb), Mwenyekiti...
  2. R

    JamiiForums Tanzania DC wa Hai Ole Sabaya akiachwa, basi mjue kuna tatizo kubwa huko mbele

    Ile dharau aliyomuonesha Mkuu wa Mkoa, akiachwa serikalini mjue tunaeleke kubaya! Time will tell! Inavyoonekana mama anaogopa kuwagusa waliokuwa wapendwa wa Jiwe. Na ndio walikuwa watesaji, wauaji, majambazi etc etc.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tuliaminishwa na iliyokuwa Serikali ya Hayati Rais Dkt. Magufuli kuwa tatizo limedhibitiwa na halipo, kulikoni leo tena limeibuka?

    Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewataka makamanda wa polisi wa mikoa ya Mtwara, Lindi, Tanga, Dar es Salaam na Unguja na Pemba kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama kufanya operesheni ya pamoja ili kumaliza tatizo la dawa za kulevya. Chanzo: Habari Leo Online...
  4. Countrywide

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati bado hawakubali, kwani kuna tatizo lingine?

    Nimeshangaa kuona bado wale wanaojiita wanaharakati kutokubali serikali ya mama. Vitu ambavyo walikuwa wanavilalamikia Mama Samia kishaonesha njia ya kuvitatua, Ila bado hawataki. Nazidi kushangaa kwanini ni kama wanalazimishaa hivi kumkosoa mama? Au ni biashara hii? Naona sio kawaida Au kuna...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Habari vya Tanzania vinaripoti, havichambui. Tatizo lipo kwenye taaluma au ni kukosa wachambuzi?

    Kwanini matukio yote yanayotoka serikalini yanaripotiwa lakini hayachambuliwi na vyombo vyetu vya habari? Mfano, toka uteuzi ulipofanyika jana hakuna habari mpya kuhusu wateuliwa isipokuwa kile alichoripoti Msigwa. Nini Tatizo?
  6. The Palm Tree

    JamiiForums Tanzania Tatizo si Rais kama mtu, bali tatizo ni "vetting system" kuwa corrupted & compromised

    Kila mtu makini naamini hushangaa na kutatizwa sana pale ambapo mamlaka ya uteuzi ya viongozi iwe Rais ama Waziri ama yeyote ili mradi ni mamlaka ya uteuzi inapofanya uteuzi muda huu, kisha in less than 24hrs inatengua uteuzi huo huo... Hili lilijitokeza mara kadhaa ktk utawala wa Rais Hayati...
  7. Samaritan Nemesis

    JamiiForums Tanzania Arsenal nini kifanyike na nini tatizo?

    Gunners wenzangu, huu takribani msimu wa4 tumekua tunaikosa UEFA, ukiangalia kipindi cha Wenger hatukua tunakosa. Match ya Jana dhidi ya liverpool ndo imekata tumaini kabisa. Tatizo ni wachezaji, bodi au vocha?!!!!
  8. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya siasa Mimi ccm hata wamuweke Nani hapo juu automatically namuona ni tatizo.

    Binafsi hiki chama ninakichukia kutoka uvunguni mwa moywan I'm 23yrs ila Ccm nimetokea kuichukia tangu nasoma primary Uganda hadi secondary Lake view mpaka namaliza chuo University of dsm 2018 hii. Nilichogundua Mapenzi hayalazimishwi yankj automatically. Na huu ndo ukweli. "Hakika kunguru...
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa Tanzania hawataki kabisa kulipa kodi, wana tatizo gani vichwani? Too much kulia lia

    Nimeona clip ya Naibu waziri wa Kilimo, Bashe na baadhi ya wakulima wa bustani pale Arusha, wakijieleza kwa kudeka sana, na kueleza eti kodi ni kubwa. Kodi yenyewe ni 18%. Huu ni uzembe ktk biashara na ni tatizo la mazoea. Wakati mukilenga kumtisha rais, kumbukeni pia kuna maelezo ya kupanua...
  10. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Kuna tatizo zaidi ya bei za vufurushi: Tunaomba liangaliwe

    MABORESHO YA HUDUMA ZA MITANDAO YA SIMU YASIANGALIE VIFURUSHI TU. Wakati huu ambapo mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) inajiandaa kuboresha sheria za matumizi ya vifurushi ili kuleta ufanisi mzuri kwa watumiaji ni vizuri na masuala yanayohusu kihamisha data -kasi( broad band), muunganisho kasi wa...
  11. farmersdesk

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kuku kudonoana

    Habari wafugaji!!watu wengi wameuliza kuhusu tatizo la kuku kukudoana.kuku kudonoana husababishwa na vitu vingi sana kwa uchache kwa kuvitaja ni hivi. 1. Kuku kubanana au banda kua dogo ukilinganisha na idadi ya kuku. 2. Kuchanganya kuku wa umri tofauti 3. Upungufu wa madini 4. Vyombo vya...
  12. Fundi Madirisha

    JamiiForums Tanzania CCM lipo tatizo kwa sasa, tena kubwa sana. Hawamkubali Mama?

    Hii tabia ya baadhi ya watu kujisahau katika mamlaka kutaka kujimilikisha chama kutokujali kwamba vyeo ni dhamana ndio tatizo. Nimeshangaa sana CCM ya JPM kila kilichofanyika walikua wanapongeza na kusifia hata mzee akitukana, Kwa sasa watu wale wale wamekua wanarudi kama Yanga(Jokes)...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Tunatatua tatizo la GPS kuisha muda (GPS expire)

    TATIZO LA GPS KUISHA MUDA (GPS EXPIRE) Je kifaa cha GPS ambacho unatumia kinakwambia GPS expire? Je umeshindwa kulipia platform online unayotumia kwa ajili ya GPS yako Je una kifaa cha GPS ambacho umeshindwa kukitumia kwasababu umekosa platform Je wewe ni fundi na unamiliki vifaa vya GPS na...
  14. Freightliner

    JamiiForums Tanzania Tatizo la mashine za Maxmalipo naomba utatuzi

    Nina mashine ya Maxmalipo nilikuwa anaitumia tangu mwaka 2010 lakini baada ya hapo nikaiweka pending bila kutumia ila sasa nataka kuanza kuitumia inasumbua netweki naomba kuuliza Je! hawa jamaa wa maxmalipo bado wapo? Namba zao nikipiga hazipokelewi je napataje msaada?
  15. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Ubakaji sasa ni tatizo la Dunia

    Kulingana na Takwimu za ubakaji kwa kila Nchi 2021(Rape statistics by country 2021). Takwimu zinaonesha kuwa inakadiriwa asilimia thelathini na tano 35% ya Wanawake Duniani wamepitia ubakwaji, jaribio la ubakwaji, au usumbufu wa kingono katika maisha yao. Katika Nchi nyingi zinaweka taarifa za...
  16. E

    JamiiForums Tanzania Tatizo la simu fake Kariakoo kwanini vijana tusijiingize kwenye hii biashara tusaidie watanzania wenzetu wanaolizwa kila siku?

    Habari za leo wakuu, Nimekua nikifuatilia baadhi ya nyuzi hapa jamii forum, Kuna watanzania wamekuwa wakilalamika juu ya bidhaa za kielectronic zinazouzwa Kariakoo na kwamba watu wanauziwa simu feki. Watanzania wanashindwa kutumia simu zenye viwango kwasababu tu wauzaji wa Kariakoo wamekosa...
  17. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wananitafuta sana lakini nawakatalia tatizo langu nini?

    Habari za leo wakuu, Leo ngoja niweke wazi moja ya tatizo langu linalonikumba. Kiukweli niseme tu ukweli nina bahati ya kujenga urafiki na mwanamke yeyote anayebahatika kukutana namimi nakukaa na mimi muda mrefu akanisoma. Wengi wao hujikuta wanaanza kunipenda na kuanza kunihitaji niwe nao...
  18. farmersdesk

    JamiiForums Tanzania Je, unajua tatizo la kuku kula mayai, kudondoana na kunyonyoka manyoya?

    TATIZO la kuku kuwa na TABIA zisizo faa/cannibalism limekua shida kubwa kwa WAFUGAJI wengi wa kuku aina zote, ilaa limekua likijitokeza sana hasa kwa KUKU wa MAYAI. Tatizo hili pia limekua likijitokeza kwa kuku wa rika tofauti tofauti..ilaa linazidi pale kuku wanapo anza kutaga mayai CHANZO...
  19. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Hoja dhidi ya Hoja: Maswali Sahihi Huleta Majibu Sahihi: Tatizo la Kudhania Kutoonekana kwa Magufuli

    MASWALI YASIYO SAHIHI HULETA MAJIBU YASIYOSAHIHI: TATIZO LA KUDHANIA Na. M. M. Mwanakijiji Katika hoja yangu ya wiki iliyopita nilijikuta nami nimechokosa udhanifu (assumptions) katika kujenga hoja hiyo na hivyo kuingia kwenye mtego wa maswali yasiyo sahihi. Mtu anapouliza kitu anafanya hivyo...
  20. MAHANJU

    JamiiForums Tanzania Hivi Serikali hii mna tatizo gani kutolipa wastaafu mafao yao? Hii ni laana mtaua wazee wa watu kwa mawazo

    Haiwezekani mtu mwaka unaisha anafuatilia pesa yake na amekwisha staafu anazungushwa tu hakuna majibu ya kueleweka. Hivi huyu mzee mnata aingie mtaani aishi vipi wakati mshahara hana na pesa anazodai ni zake? Hii siyo kujitafutia laana na chuki ni kitu gani? Mnadhani kiwango cha chuki nchini...
Back
Top Bottom