tatizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Je, hili ndio tatizo vijana wengi wa siku hizi kuwa na vipara ukilinganisha na wa zamani

    Inakuwaje wanajamvi, Yani ukiangalia picha na video za miaka ya tisini kurudi nyuma vijana wengi hadi wa makamu miaka 45+ walikuwa na afro na nywele nyingi. Ngumu sana kukuta vipara. Ila sasa hivi kwaanzia ma teenegers hadi 27 years wengi wana vipara. Tatizo nadhani msongo wa mawazo, vyakula...
  2. Ma Mshuza

    Nakubaliana na huyu Bi Shost. Mabwawa tunayo, Ubaridi tunao na Hili ndo tatizo

    Wanawake sasa hivi tunaaachia sana....tunatanua miguu mpaka hatutaki irudisha tena. Siku mbili tatu mtu kaomba mzigo kakuhonga unamwachia. Matokeo yake mnabaki kulalamika sijui wanaume vibamia, sijui hawawaridhishi. Mimi naponawa nanawa kwa umakini hata kidole changu kidogo kuingiza ni shida...
  3. dubu

    Thomas: Baba yangu Arcado Ntagazwa, alikuwa akisumbuliwa na tatizo la changamoto ya kupumua na alipata matibabu mbalimbali

    Dar es Salaam, aliyekuwa Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini Chadema, Arcado Ntagazwa amezikwa nyumbani kwake Kimara jijini Dar es Salaam huku sababu ya kifo chake ikielezwa kuwa ni changamoto ya upumuaji. Waziri huyo wa zamani aliyehamia Chadema mwaka 2010 akitokea CCM, alifariki dunia Jumatano...
  4. Papaa Mobimba

    TANZIA Wakili Geofrey Noah afariki dunia kwa tatizo la Nimonia

    Kwa masikitiko makubwa sana Ndugu yetu Wakili Msomi Geofrey Noah amefariki dunia leo hii jijini Arusha kwa tatizo la upumuaji. Mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa amani. Amina. Wakili Noah(Kulia) enzi za uhai wake akiwa na Wakili Olengurumwa Wakili Noah enzi za uhai wake
  5. Mr Zed

    Ninapata maumivu makali ya tumbo eneo la kitovu, Hospitalini tatizo halionekani kabisa

    Habarini wakuu! kabla sijaenda kwenye hoja yangu kama kichwa kinavyojieleza nitoe shukrani zangu za pekee kwa Mwenyezi Mungu anipae uhai, Wakuu ni wiki ya pili sasa tangu nilipoanza kupata tatizo la maumivu ya tumbo eneo lote la kitovu pamoja na pembeni kidogo upande wa kulia wa tumbo usawa na...
  6. sky soldier

    Ni kituko kwamba Rais Biden hataki kuulizwa maswali. Je, hawezi kujibu kama Marais waliopita?

    Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa. Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa. Kama...
  7. Mtu Asiyejulikana

    Hivi ni nani anayemtumia Mwakalebela? Na je Viongozi wengine hamwoni haja ya kumsaidia hili tatizo?

    Huyu jamaa ni kama dish limeyumba. Amekuwa akitumika vibaya kama bwege kiasi inatupa shida kuwa je a a tatizo kiakili? Yanga ilikuaje tukawa na kiongozi Bogus kama huyu? Yeye anaona suala linalomhusu Yanga ni la Morrison tu?
  8. MSHINO

    Huduma ya kusambaza maji imewashinda mmeamua kufanya biashara ya kuuza mabomba kwa Wananchi

    Napenda kuishauri serikali kuu kuzuia taasisi zake kuacha biashara ndogo ndogo kwani kufanya hivyo ni kuzuia kukua kwa biashara na wajasiliamali kwa ujumla hivyo kupunguza mzunguko wa pesa na kuikosesha serikali kodi. Mfano shirika la kusambaza maji Morogoro MOROWASA linalazimisha wananchi...
  9. MSAGA SUMU

    Mpaka nimetoka machozi, ujangili bado ni tatizo kubwa Afrika

    Tusipokuwa makini wajukuu zetu hawatapata urithi wowote.
  10. J

    Fanya yafuatayo ili kuondoa tatizo la mdomo kutoa harufu mbaya

    Safisha kinywa kwa kutumia dawa ya meno na mswaki, kisha sukukutua na maji safi na kutema. Pata matibabu ya magonjwa ya kinywa- endapo kinywa chako kina maambukizi, utapatiwa dawa za kutibu maambukizi hayo. Kuna wakati utahitaji kusafishwa meno na daktari wako ili kuondoa bakteria kwenye...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Aka kambwa toka nikanunue hakabweki kabisa! sijui Tatizo litakua nini wadau

    Aka kambwa toka nikanunue hakabweki kabisa! sijui Tatizo litakua nini wadau
  12. medisonmuta

    Msaada katika tatizo hili la PayPal katika kulink Kadi

    Nimepata changamoto ya kushindwa kuunganisha Kadi yangu ya Airtel Master card na Paypal. Haswa eneo la ukomo wa tarehe. Hitilafu ninazokutana nazo kama kwenye picha ifuatavyo:
  13. R

    Tatizo sio chanjo ya COVID19! Tatizo chanjo imekuja kipindi cha utandawazi kila mtu ana smartphone kila mtu mjuaji

    Habari wadau, Leo nimeamua kuingia kwenye hii fani ya udaktari ili nami niweke neno kaa hapa chin basi uongeze maarifa. Ok nadhan kila mtu anajua kwa sasa kuna vuguvugu la chanjo dunia mzima tena mbaya zaid chanjo imekuja kipind ambacho kila mtu anamtizama mwenzake kwa jicho la mnafiki kuna...
  14. YEHODAYA

    Kila binadamu hufa kwa tatizo la upumuaji, hakuna anayekufa na kuendelea kupumua

    Kila binadamu hufa kwa tatizo la upumuaji pumzi ikikata ndipo hufariki hakuna akaendelea kupumua Siku hizi kuna ujinga unasambaa mtu akifa tu utasikia lilikuwa tatizo la kupumua!! Tafsiri ya kifo chochote ni pumzi kukatika ndio maana kuangalia mtu kama kafa huangaliwa upumuaji. Sasa haya...
  15. Leslie Mbena

    Nini tatizo la Taifa Stars kushindwa kila mechi?

    NINI TATIZO LA TAIFA STARS KUSHINDWA KILA MECHI!? Leo 12:30hrs 24/01/2021 Nakubaliana na kila Mtanzania kwa 100% na ukizingatia nchi kama Zambia,Namibia,Guinea, Zimbabwe,Rwanda,Burundi,Kenya,Uganda na Burkina Faso tupo sawa tu kiuchumi tena tunaweza kuwa tumewazidi idadi ya watu ikiwa wao wapo...
  16. sky soldier

    Ninatatuaje tatizo la best friend wangu asie na marafiki wengine kudhani nampuuza napokuwa na washakaji wengine

    Kiufupi mimi ni mtu wa watu sana na nina marafiki wengi sana Hawa mrafiki sio marafiki basi tu, Ni marafiki haswa, Yani kwa siku lazima tuchekiane kwenye simu, wanakuja home mara kwa mara, nikipata matatizo husaidia, n.k Sasa ishu inakuja kwa besti yangu hapa yaani naonaga kama vile hapendagi...
  17. Kapyepye Mfyambuzi

    Hivi unadhani kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume tofauti na zamani?

    Habari wadau? Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napenda niende moja kwa moja kwenye mada. Hivi unadhani kuwa ni kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiumee tofauti na zamani? Yaani sasa hivi asilimia kubwa ya wanaume hasa vijana hawezi kufanya...
  18. COMOTANG

    Ukosefu wa maji baadhi ya maeneo ya Dodoma kwa takriban wiki sasa tatizo nini?

    Habari za usiku, ninachukua nafasi hii kuwauliza wahusika wa mamlaka ya maji Safi na Taka ya Dodoma (DUWASA) kutopatikana kwa maji takriban wiki sasa katika maeneo ya mailimbili Oysterbay tatizo nini? -DUWASA mnafahamu fika kuwa mji wa Dodoma hauna Visima,mito na mabwawa kama njia mbadala ya...
  19. C

    Tatizo la simu kuweka Mistari kwenye kioo

    Wakuu, habari za Asubuhi Simu yangu ina tatizo la kuweka Mistari kwenye kwenye kioo chake na baada ya muda hiyo mistari hupotea. Sasa wakuu hapo shida itakua ni kitu gani maana hiyo mistari naona kama inaondoa muonekano mzuri wa simu.
  20. Sky Eclat

    Watawala wetu, tatizo la maji Jangwani tulitegemea litapewa kipaumbe

    Wakazi wa Dar wanaoathirika na tatizo hili ni wengi sana. Pamoja na hayo Dar ni lango la nchi, kwa anga, na kwa bahari. Wageni wengi wanaingia Tanzania kupitia lango la Dar. Daraja la juu la miguu na la magari lingeokoa muda mwingi watu wanaopoteza katika kadhia ya usafiri eneo hili wakati...
Back
Top Bottom