tatizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Benki kuto-update Account ya mtu ukifanya transaction kwa muda mrefu, tatizo nini?

    Mfano mtu una credit transfer benki nyingi zina tabia ya kuchelewa kupitisha hiyo credit tatizo nini? Haya matatizo yako hasa kwenye mabenki madogo siyo makubwa yenye majina makubwa. BOT fuatilieni hizi benki ndogo sysyem zao hazi update haraka. Transaction yaweza hana muda mrefu na kuleta...
  2. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Kuzuia mashabiki kuingia uwanjani, Mwafrika ana tatizo la kufikiri

    Kwa ufupi sana, CAF imezuia mashabiki wa Simba SC na timu zingine huko Afrika wasiingize mashabiki uwanjani. Lakini kidogo kidogo unasikia nchi zingine zimeruhusiwa ziingize idadi fulani. Nimesoma Al Hilal na Nkana wameruhusiwa idadi fulani. Unajiuliza hivi sisi ngozi nyeusi tunatumia akili...
  3. Magna Carta

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kutatua tatizo la enter power save mode kwenye desktop

    Habari Wataalamu, Naomba msaada wa kutaua tatizo kwenye desktop baada ya kudisplay maneno ya Enter Power save mode kwenye desktop Asanteni
  4. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mtwara: Wanafunzi wasababisha tatizo la umeme kwa wilaya nne

    Wilaya nne za mkoa wa Mtwara zimekosa nishati ya umeme kwa takribani saa ishirini na nne na kupelekea baadhi ya shughuli za kiuchumi kusimama, baada wanafunzi wa kidato cha tatu na cha pili wa shule ya sekondari Mnyawi kuchezea laini kubwa ya umeme kwa kurusha miti na kufurahia mwanga pale nyaya...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msaada jamani juu ya tatizo hili linachanganya sana

    Oo
  6. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimekuwa na mawazo ya kujiua kwa zaidi ya miaka 15

    Nianze kwa kusema kwamba ningependa huu uzi uchukuliwe kama simulizi inayonihusu mimi au inayomuhusu mtu mwingine. Ila katika kuielezea nitatumia nafsi ya kwanza. Mimi sasa sio kijana kwani nina karibia miaka 40. Nino watoto wanane,Sina mke ingawa nimewahi kuishi na wanawake tofauti ambao...
  7. Shark

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Yanga ni "kujilinganisha na Simba"

    Wakuu Kwema? Nimekaa nimetafakari nimeona wacha niwasaidie hawa watani zangu. Afande Sele aliwahi kuuliza "Mfano Yanga Ikifa Simba itacheza na Nani?", hivyo hata kama ni Mwana Msimbazi sio vibaya nikiwasaidia. Ligi Kuu ina timu 20. Ukiiondoa Simba S.C hakuna timu katika 18 zilizobaki...
  8. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Si upungufu wa nguvu za kiume tu umekuwa tatizo hata uwezo wa wanaume kuzalisha unapungua

    Unakuta ni familia yenye uwezo, lakini watoto wao wa kiume hawana uwezo wa kupata watoto. Katika maendeleo ya mwanadamu, kilichosabisha ustaarabu wa kuoana na kuanzisha familia ilikua ni utaratibu wa kurithi mali. Binadamu alipoanza kumiliki ardhi, kulima nafaka na kumiliki wanyama wa kufugwa...
  9. mkemiamkuu

    JamiiForums Tanzania Gauge ya temp kushika chini tatizo ni nini?

    Habari wana Jamii Forum, naomba wenye kujua hili wanisaidie. Nimebadirisha rejeta ya gari yangu baada ya iliyokuwepo kuwa inavuja sana, niliunga sana na ikachoka kabisa, na hii niliyoweka ni mpya kabisa, lakini Cha ajabu nikiwa naenda safari ndefu kidogo mshale wa temp unashuka mpaka zero Ila...
  10. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Hili tatizo la umeme linashusha uchumi wa nchi kwa kasi

    Hapo vip! Hili tatizo laumeme tunaomba wahusika waliangalie kwa jicho la kiuchumi. Uchumi wa watanzania wengi unategemea umeme, sasa kama umeme unakatwa kirahisi rahisi tu. Tafsiri yake nikwamba serikali na Tenesco mmekuwa chanzo cha umaskini kwa Watanzania. Tunaomba serikali iwe sereous na...
  11. kavulata

    JamiiForums Tanzania Yanga ina tatizo la kocha, wachezaji au viongozi?

    Timu haifanyi vizuri, ushindi mwembamba, sare nyingi na sasa imefungwa, tena kiuhalisia ilipaswa iwe imefungwa na kagera sugar pia. Tatizo la Yanga ni kocha, wachezaji, wafadhili au viongozi wa Yanga?
  12. Makanyaga

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wapenzi wa mahesabu, kuna tatizo gani hapa?

    Nimekutana na hii calculus hapa na nikagundua kuwa kwenye maelezo yake kuna matataizo. Je kuna anayeweza kujua kuna tatizo gani? Calculus yenyewe hii hapa kwenye hii link: http://www.maths.gla.ac.uk/~cc/2x/2005_2xnotes/2x_intfact.pdf
  13. B

    JamiiForums Tanzania Hili ni tatizo kwa vijana wengi wa Kitanzania, nimesikitishwa sana. Serikali iangalie jambo hili

    Habarini. Nimefika jumamosi kutoka Sweden, Canada, Spain, UK, USA, Egypt na Botswana. Safari hii sikuzunguka sana. Leo Jumatatu huwa mara nyingi natumia JEEP so nimetoka zangu home kwenda Ofisini asubuhi hii ikatokea ajali ndogo tu. Toyota Vits imegonga Gari VW kiasi tu imechubuka. Nakumbuka...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kutokwa na mistari tumboni linasababishwa na nini?

    Hili tatizo lilianza mwaka uliopita. Nikaenda hospital waliniambia nipunguze uzito. Nimepunguza but bado hii mistari haitoki. Niini linaweza kuwa sababu ya hili tatizo na solution yake.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nauza Tecno Camon X

    SOLD
  16. TheDreamer Thebeliever

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali ifanye haya kumaliza tatizo la ajira kwa vijana

    Kiukweli serikali ya awamu ya tano chini ya JPM imefanya mambo makubwa sana katika nyanja ya kuboresha miundombinu na huduma za afya kitu ambacho kila mwananchi anatambua hilo bila ubishi. Ila bado vijana wanaonekana kama kundi lililosahaulika ,japo ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inasema...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu ana mimba ya miezi mitatu na wiki mbili ila mtoto anacheza tumboni!

    Habari wakuu Mke wangu ana mimba ya miezi mitatu na wiki mbili ila mtoto anacheza! Je, hili sio tatizo?
  18. Miguel Alvarez

    JamiiForums Tanzania Msaada: Simu yangu ina tatizo kwenye camera

    Natumaini nyote mmeamka salama, Msaada tafadhari Simu yangu imekuwa na tatizo la upigaji camera kila ninapopiga picha inakuwa na ukungu hata haionyeshi,tatizo hili limeanza gafla,kipindi cha nyuma haikuwa hivi msaada tafadhari natumia Itel
  19. Waziri wa Kaskazini

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Wilaya ya Rombo kuna tatizo kubwa sana la Network?

    Sijawahi kuelewa kwanini hii Wilaya mitandao ya sim inasumbua sana network, ukiwa na smartphone network kuipata hadi uende sehemu yenye mnara wa simu. - Miaka ya nyuma nilikuwa natumia laini ya safaricom ya Kenya nilikuwa napata network na Internet ya uhakika. - Ukija upande wa radio ndiyo...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Watalaam, nini suluhisho la hili tatizo la uvimbe shingoni na homa?

    Habari zenu wakuu, Kuna jamaa mmoja analalamika ana uvimbe shingoni na homa. Alifanyiwa ultrasound ya shingo mwaka jana mwezi wa saba akaambiwa kitalaamu ana multiple cervicle limphnodes enlarged inayotokana na TB, akaanzishiwa dozi ya TB ambayo alimaliza mapema januari mwaka huu, lakini uvimbe...
Back
Top Bottom