Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Nimeshangaa kuona bado wale wanaojiita wanaharakati kutokubali serikali ya mama.
Vitu ambavyo walikuwa wanavilalamikia Mama Samia kishaonesha njia ya kuvitatua, Ila bado hawataki.
Nazidi kushangaa kwanini ni kama wanalazimishaa hivi kumkosoa mama? Au ni biashara hii? Naona sio kawaida
Au kuna tatizo lingine zaidi ya Yale mliokuwa mnalalamikia?
Ni kwamba mtu asipokosoa kuna kitu anakosa? Naona nguvu inatumika Sana kumkosoa mama Samia.
Mama Samia shikilia hapohapo, sisi tunatuelewa usikatishwe tamaa wewe ni shujaa.
Kanyaga twende.
Vitu ambavyo walikuwa wanavilalamikia Mama Samia kishaonesha njia ya kuvitatua, Ila bado hawataki.
Nazidi kushangaa kwanini ni kama wanalazimishaa hivi kumkosoa mama? Au ni biashara hii? Naona sio kawaida
Au kuna tatizo lingine zaidi ya Yale mliokuwa mnalalamikia?
Ni kwamba mtu asipokosoa kuna kitu anakosa? Naona nguvu inatumika Sana kumkosoa mama Samia.
Mama Samia shikilia hapohapo, sisi tunatuelewa usikatishwe tamaa wewe ni shujaa.
Kanyaga twende.