dirtyboy
JF-Expert Member
- Sep 16, 2017
- 377
- 666
Habari za wakati huu wakuu
Pc yangu imekumbwa na tatizo la kushindwa kuwaka. Nikibonyeza power button fen ina zunguka tu lakini screen haiwaki. Kabla ya hili tatizo ilikuwa inatabia ya kujizima nyenyewe, ila nikikaa baada ya mda nikiiwasha inawaka.
Mwanzo nilijua tatizo ni betry nikanunua jingine ila mtindo ukawa ule ule. Tafadhali wanajukwaa naomba msaada wenu juu ya tatizo hili na lipi napaswa kufanya
Pc yangu imekumbwa na tatizo la kushindwa kuwaka. Nikibonyeza power button fen ina zunguka tu lakini screen haiwaki. Kabla ya hili tatizo ilikuwa inatabia ya kujizima nyenyewe, ila nikikaa baada ya mda nikiiwasha inawaka.
Mwanzo nilijua tatizo ni betry nikanunua jingine ila mtindo ukawa ule ule. Tafadhali wanajukwaa naomba msaada wenu juu ya tatizo hili na lipi napaswa kufanya