king majuto
Member
- Dec 20, 2020
- 39
- 51
Nimefanya uchunguzi wangu Mdogo tu nimegundua wananchi wengi hawapendi kusikiliza taalifa ya habari ya Redio ya Taifa wengi wanapenda Sana Taarifa ya habari ya Redio One, sijui Redio ya Taifa wamefeli wapi?
Tofauti kabisa na miaka ya nyuma miaka ya 1970 mpaka miaka 1990 watu walikuwa wanapenda Sana kusikiliza taarifa ya habari na vipindi vingine vya Redio ya Taifa.
Tofauti kabisa na miaka ya nyuma miaka ya 1970 mpaka miaka 1990 watu walikuwa wanapenda Sana kusikiliza taarifa ya habari na vipindi vingine vya Redio ya Taifa.