Habari wakuu nataka saa model hiyo vje bongo wanauza wapi kwa bei ya range hizo, naogopa kuagiza aliexpress kutokana na kuchelewa kufika mzigo kwa sababu ya maradhi haya ya korona je kuna duka gani zinapatikana hapa bongo Dar?
Habari WanaJamiiForums,
Mimi kwa kweli huwa najiuliza jinsi majira au saa invyotamkwa inakuwa ni kinyume kabisa hivi wana JamiiForums
Nijuzeni kwa nini inakuwa hivyo?
Watoto wanaumia sana na hii ratiba hasa kwa mazingira ya shule zetu watoto wanafika majumbani saa mbili hadi saa tatu usiku ukiwauliza wanadai foleni mara daladala zinasumbua
Hebu Serikali mlione hili hata kama ndio kusoma hapana
The World Health Organization has reported a record increase in global coronavirus cases with 212,326 being recorded in just 24 hours, amid a surge in the United States, Brazil and India.
The WHO’s situation report showed that just under 130,000 of those new cases were in the Americas...
Mtia nia wa nafasi ya urais kupitia CHADEMA, Lazaro Nyalandu amesema saa ya mabadiliko imefika kwa taifa na chama chake cha CHADEMA.
Nyalandu amesema endapo atapata ridhaa ya chama chake kugombea urais ataleta mabadiliko makubwa ndani ya CHADEMA na mabaraza yake.
Chanzo: Clouds 360
Nchi ipo salama Tundu Lissu anapigwa risasi saa 7 mchana au usalama ni kwa watanzania wapi?
Nchi ipo salama Akwilina anapigwa risasi mchana? Nchi ipo salama Lwejabe.
Azory, Ben Saanane wanatoweka mchana? huu usalama ni kwa wakina nani?
Nchi ipo salama Nape ananyoshewa bastola mchana?
Nchi...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara) Mhe. Tundu Lissu leo Jumatano, Juni 10, 2020, kuanzia saa 5 asubuhi, atazungumza na Watanzania kupitia vyombo vya habari, kwa njia ya kidigitali, kuhusu tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe.
Chanzo...
Nimepokea taarifa za kushambuliwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Mh. Freeman Mbowe, kwa mshtuko na masikitiko makubwa.
Nitatoa kauli rasmi saa 7 mchana (EAT), 6 mchana (CET) na 4 asubuhi (GMT) kupitia live stream kwenye FB na Twitter.
Chanzo: Ukurasa...
Kama uwanja utakuwa fair na wapinzani hasa Chadema hawatatumia ujanja ujanja wakati wa kupiga kura basi CCM itashinda viti vyote vitatu yaani Rais, mbunge na diwani saa 4 asubuhi.
Ikumbukwe 2015 wale Friends of Lowassa walifanya ujanja ujanja mwingi mfano mzuri ni jimbo la Kawe, Kinondoni...
Zaidi ya miaka 42 iliyopita simu ya kwanza ilipigwa kutumia simu ya mkononi, simu hiyo ya kwanza ya mkononi ilitengenezwa na kampuni ya Motorola.
Ilikuwa mwezi wa 4 tarehe 3 mwaka 1973 walijaribu kupiga simu kwa kutumia simu hiyo ya kwanza ya mkononi iliyokuwa inafahamika kwa jina la Motorola...
Mkuu wa wilaya ya Hai mh Ole sabaya amewataka wakuu wa vyuo na wale wa High schools kuhakikisha wanawasajili wanafunzi wote watakaoripoti vyuoni/shuleni tarehe 1/6/2020 kumpelekea orodha zao tarehe 2/6/2020 kabla ya saa 4 asubuhi.
Ole sabaya amesema wanafunzi watakaoripoti baada ya muda huo...
Wizara ya Afya ya Brazil imetangaza maambukizi mapya 11,687 ya CoronaVirus na kufanya nchi hiyo kuwa na jumla ya maambukizi 376,669
Pia vifo 807 vimeripotiwa, na kufanya idadi ya waliofariki kwa CoronaVirus kufikia 23,522. Brazil inatajwa kuwa nchi ya pili duniani kwa kuwa na maambukizi...
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa ripoti ya Uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na kueleza mambo kadhaa yaliyogunduliwa na Kamati teule ya Uchunguzi
Amebainisha kuwa Kamati imegundua uwepo wa Mapungufu katika mfumo wa kimuundo, kiutendaji na uendeshaji wa kitaaluma katika upimaji wa...
KINU CHA MAMA
Mussa N. Abubakari
UTANGULIZI.
Hii ni bunilizi tu. Usijaribu kugeuza maoni kuwa ukweli na kuharibu maisha ya watu.
ZINDUKO;
Moja ni jibu,
Ngono hutibu.
1. Romantic Star
Alishuka. Akasimama, kisha akaangalia kushoto na kulia. Erick Kupaza alifurahi kurudi nyumbani kwao. Sio tu...
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kufungwa kwa mipaka yake na Mataifa ya Tanzania na Somalia kuanzia usiku wa leo kwa siku 30 zijazo
Rais Kenyatta amesema kuwa ni madereva wa magari ya kubeba mizigo pekee ambao wataruhisiwa kuingia nchini Kenya baada ya kupimwa COVID19 na kupatikana kuwa hawana...
Mji wa Nakonde unaopakana na Tunduma iliyo Tanzania unapata maambukizi mapya ya COVID 19 ndani ya saa 24 zilizopita kuliko mji mkuu wa Lusaka kwa mujibu wa wizara ya afya ya Zambia.
Wakati haya yakiendelea kwa upande wa Tanzania tunaarifiwa kuwa waziri wa afya yupo katika hatua za mwisho...
Inafakamika kila baada ya miaka kadhaa kutokana na njia ya mwezi angani kuna wakati mwezi kupita karibu sana na na Dunia. Hali hiyo ya mwezi kupita karibu na Dunia ndiyo inayoitwa mwezi mpevu sana ambapo mwezi huonekana kwa karibu na kwa uku wa zaidi kuliko nyakati nyingine.
Tukio hili...
Tukiwa bado tunaendelea na kupiga nyungu tusisahahau kuendelea kuchukua tahadhari nyingine dhidi ya adui yetu Corona.
Kwa kuwa kila mtu kazaliwa, basi kuna siku moja katika mwaka huwa inajirudia kwa maana ya tarehe na mwezi. Kwa wale wenzetu mliopo kwenye mahusiano, najua inapofika siku kama...
Chadema imesema ni wakati sasa wa Runinga ya taifa kuwatumikia Wananchi kwa kuwapa fursa ya kufuatilia Ibada mubashara wakiwa majumbani mwao.
Hayo yamesemwa na mbunge wa Geita na Naibu waziri kivuli mh Upendo Peneza alipoongea na waandishi wa habari jijini Dodoma.
Upendo amesema Waislamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.