OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,095
- 103,347
Mmemsajili Morrison hata kesi haijaisha? Ina maana Simba wanajua maamuzi ya kamati?
Hii TFF ni kichefuchefu sana hawaoni hata aibu,ila wakati ndio utaamua.Mmemsajili Morrison hata kesi haijaisha? Ina maana Simba wanajua maamuzi ya kamati?
Hapo ndio ujue sasa Bongo mpira unachzwaje ,sheria + kamati ni sehemu tu kuhalalisha na kukwamisha jamboMmemsajili Morrison hata kesi haijaisha? Ina maana Simba wanajua maamuzi ya kamati?
Upumbavu gani wamefanya viongozi wanatoa hela na kuimarisha team wewe hutoi hata shilling unapata wap nguvu ya Kuita upumbavu. ndio nyie mkiambiwa changieni hata elfu kumi mnahama teamViongozi wetu wametufanyia upumbavu View attachment 1530931
Viongozi wetu wametufanyia upumbavu View attachment 1530931
Mwaka huu wenu ***** mnasahau ujinga mlio kuwa mnatufantia kipindi cha Manji. Mbuyu twite, Chuji, Hassan KessyHii TFF ni kichefuchefu sana hawaoni hata aibu,ila wakati ndio utaamua.
Upumbavu gani wamefanya viongozi wanatoa hela na kuimarisha team wewe hutoi hata shilling unapata wap nguvu ya Kuita upumbavu. ndio nyie mkiambiwa changieni hata elfu kumi mnahama team
Msitufokee, tutawajibu uwanjaniViongozi wetu wametufanyia upumbavu View attachment 1530931
Wewe ndio kocha na kiongozi. Wabongo kwa maneno hamjamboWe jamaa...ukubali ukatae huu ni upumbavu Morrison likua haitajiki pale Msimbazi ndani na nje ya uwanja hapa viongozi wamechemka zaidi naona ni kuwakomoa yanga ila ni UPUMBAVU.
Kasaii miaka mingapiWe jamaa...ukubali ukatae huu ni upumbavu Morrison likua haitajiki pale Msimbazi ndani na nje ya uwanja hapa viongozi wamechemka zaidi naona ni kuwakomoa yanga ila ni UPUMBAVU.
Upambavu upi huo.Viongozi wetu wametufanyia upumbavu View attachment 1530931