Bingwa wa Nchi hii Simba Sc ina jambo lake leo mchana wa saa 8

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,095
103,347
Screenshot_20200808-101112_Chrome.jpg
 
We jamaa...ukubali ukatae huu ni upumbavu Morrison likua haitajiki pale Msimbazi ndani na nje ya uwanja hapa viongozi wamechemka zaidi naona ni kuwakomoa yanga ila ni UPUMBAVU.
Upumbavu gani wamefanya viongozi wanatoa hela na kuimarisha team wewe hutoi hata shilling unapata wap nguvu ya Kuita upumbavu. ndio nyie mkiambiwa changieni hata elfu kumi mnahama team
 
We jamaa...ukubali ukatae huu ni upumbavu Morrison likua haitajiki pale Msimbazi ndani na nje ya uwanja hapa viongozi wamechemka zaidi naona ni kuwakomoa yanga ila ni UPUMBAVU.
Wewe ndio kocha na kiongozi. Wabongo kwa maneno hamjambo
 
Back
Top Bottom