Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika amesema kuwa Tarehe 08 Agosti, saa tano kamili asubuhi mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, atakwenda kuchukua fomu DODOMA.
Chadema utawaweza? Ni kweli wameedit wimbo wa taifa na Happ usikute wanafanya hivo makusudi I'll badae watangaze tume imefunga ofisi ili wasipate fomu... sijaelewa! 08/08 (Nane Nane) si siku ya mapumziko? NEC watakuwa ofisini kutoa fomu? Sina hakika. Kuweni makini msijepigwa TKO mapema asubuhi! Shetani anawawinda kwa kila hali; kosa dogo sana ni sherehe kwake! Tayari kuna madai eti mume-edit wimbo wa taifa!
Usitufokee.Aende tu. Ila tusijelaumiana.
Wala sijafoka mimi!Usitufokee.
Unajiskiaje baada ya Lissu kuchaguliwa kupeperusha bendera ya Chadema?Wala sijafoka mimi!
Mimi niko poa. Ninamuunga mkono.Unajiskiaje baada ya Lissu kuchaguliwa kupeperusha bendera ya Chadema?
Basi sawa.Mimi niko poa. Ninamuunga mkono.
Ila awe mstaarabu tu.
Magazetu tu! yamefungiwa vuta subira muda ukifika utahabarishwaKazi imeanza.
Chadema ngazi ya taifa ifanye juhudi tuweze kuwa na chombo cha matangazo kilichopo chini ya Chama, Kama upande ccm ili wakereketwa wake waweze kufuatilia Kila kinachoendelea Katika ulimwengu huu wa siasa ziusuzo Tanzania, Vyombo vingi vya habari haviko huru linapokuja suala linalohusu Chadema.
Ndio maana tunamhitaji Tindu lissu sasa kuliko wakati mwingine katika nchiMagazetu tu! yamefungiwa vuta subira muda ukifika utahabarishwa
limekushukaBasi sawa.
Itakuwa Mods wamebadilisha heading. Pia hata content wameiedit.Unaunga mkono ujinga hizo umeziona huyo mjinga mwenzio alichoandika rudia kusoma heading na angalia ndani alichoandika vitu viwili tofauti
HawatakisajiriKazi imeanza.
Chadema ngazi ya taifa ifanye juhudi tuweze kuwa na chombo cha matangazo kilichopo chini ya Chama, Kama upande ccm ili wakereketwa wake waweze kufuatilia Kila kinachoendelea Katika ulimwengu huu wa siasa ziusuzo Tanzania, Vyombo vingi vya habari haviko huru linapokuja suala linalohusu Chadema.
Jumatatu ni tarehe 10Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika amesema kuwa Tarehe 08 Agosti, saa tano kamili asubuhi mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, atakwenda kuchukua fomu DODOMA.