Kila siku utasikia,"Rais kajenga barabara hapa:Rais katujengea zahanati."
Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu.
Kwa ajili Uchaguzi Mkuu unakaribia,acha watu wanisifie zaidi na zaidi.
Magufuli hakuwa anasifiwa namna hii; ingawa watu...