Rais wa Liberia aunda Kikosi cha Kudhibiti Rushwa na kurejesha Mali zilizoibwa Serikalini

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
LIBERIA: Rais Joseph Boakai ametangaza kuunda Kikosi Kazi kitakachokuwa na jukumu la Kukabiliana na Vitendo vya Rushwa pamoja na kurejesha Mali za Serikali zilizoibwa kifisadi.

Kupitia tangazo hilo, Rais Boakai ameagiza Kikosi hicho kumtafuta Afisa wa ngazi yoyote aliyehusika na Rushwa kutoka katika Serikali zilizopita na Serikali ya sasa pamoja na kuanza uchunguzi dhidi ya tuhuma zitakazobainika.

Aidha kwa mujibu wa taarifa, Rais huyo mpya amesema Mali zote za Serikali zilizouzwa na kununuliwa kinyume na utaratibu zirejeshwe haraka na Watuhumiwa wanaoishi nje ya Liberia warudishwe nyumbani kujibu mashtaka yatakayofunguliwa dhidi yao.

Uamuzi huo unakuja ikiwa ni siku 44 tangu achukue Madaraka kutoka kwa Nyota wa Soka, George Weah anayelaumiwa kushindwa kudhibiti Rushwa na Ufisadi nchini humo.

=======

Liberia's President Joseph Boakai has set up a task force to crackdown on corruption and to recover stolen state assets.

Mr Boakai ordered it to identify and prosecute any senior officials involved. Current and past government officials are to be investigated.

His executive order said assets "wrongfully acquired at the expense of the government and people of Liberia" should be returned.

It was imperative to "curtail this alarming menace that has engulfed our country", the president said.

People who purchased government assets illegally would also be forced to return them.

Individuals who live outside of Liberia and are suspected of siphoning off public assets could face extradition.

Funding has been allocated to the task force, which will begin work immediately.

On the campaign trail last year, Mr Boakai promised to tackle corruption.

He went on to win the election, beating former President George Weah in a run-off with just over 20,000 votes.

Mr Weah's presidency was plagued with accusations of corruption and faced criticism for the excesses of senior officials.

After Mr Boakai's inauguration in January he asked former officials to turnover government assets they had in their possession “without delay and hesitation”.
 
Sipati picha nyumba za Serikali kule Masaki,Oysterbay,Mikocheni,Upanga na kwingineko zikirudishwa Serikalini, Azam TV pale Tazara Kulikuwa na kiwanda cha Taifa Cha Engineering eti muwekezaji anaweka TV
 
LIBERIA: Rais Joseph Boakai ametangaza kuunda Kikosi Kazi kitakachokuwa na jukumu la Kukabiliana na Vitendo vya Rushwa pamoja na kurejesha Mali za Serikali zilizoibwa kifisadi.

Kupitia tangazo hilo, Rais Boakai ameagiza Kikosi hicho kumtafuta Afisa wa ngazi yoyote aliyehusika na Rushwa kutoka katika Serikali zilizopita na Serikali ya sasa pamoja na kuanza uchunguzi dhidi ya tuhuma zitakazobainika.

Aidha kwa mujibu wa taarifa, Rais huyo mpya amesema Mali zote za Serikali zilizouzwa na kununuliwa kinyume na utaratibu zirejeshwe haraka na Watuhumiwa wanaoishi nje ya Liberia warudishwe nyumbani kujibu mashtaka yatakayofunguliwa dhidi yao.

Uamuzi huo unakuja ikiwa ni siku 44 tangu achukue Madaraka kutoka kwa Nyota wa Soka, George Weah anayelaumiwa kushindwa kudhibiti Rushwa na Ufisadi nchini humo.

=======

Liberia's President Joseph Boakai has set up a task force to crackdown on corruption and to recover stolen state assets.

Mr Boakai ordered it to identify and prosecute any senior officials involved. Current and past government officials are to be investigated.

His executive order said assets "wrongfully acquired at the expense of the government and people of Liberia" should be returned.

It was imperative to "curtail this alarming menace that has engulfed our country", the president said.

People who purchased government assets illegally would also be forced to return them.

Individuals who live outside of Liberia and are suspected of siphoning off public assets could face extradition.

Funding has been allocated to the task force, which will begin work immediately.

On the campaign trail last year, Mr Boakai promised to tackle corruption.

He went on to win the election, beating former President George Weah in a run-off with just over 20,000 votes.

Mr Weah's presidency was plagued with accusations of corruption and faced criticism for the excesses of senior officials.

After Mr Boakai's inauguration in January he asked former officials to turnover government assets they had in their possession “without delay and hesitation”.
Hivi Weah alimalizaje urais wake? Na yeye aliwapiga waliberia? Jamani Afrika kweli shamba la bibi.
 
LIBERIA: Rais Joseph Boakai ametangaza kuunda Kikosi Kazi kitakachokuwa na jukumu la Kukabiliana na Vitendo vya Rushwa pamoja na kurejesha Mali za Serikali zilizoibwa kifisadi.

Kupitia tangazo hilo, Rais Boakai ameagiza Kikosi hicho kumtafuta Afisa wa ngazi yoyote aliyehusika na Rushwa kutoka katika Serikali zilizopita na Serikali ya sasa pamoja na kuanza uchunguzi dhidi ya tuhuma zitakazobainika.

Aidha kwa mujibu wa taarifa, Rais huyo mpya amesema Mali zote za Serikali zilizouzwa na kununuliwa kinyume na utaratibu zirejeshwe haraka na Watuhumiwa wanaoishi nje ya Liberia warudishwe nyumbani kujibu mashtaka yatakayofunguliwa dhidi yao.

Uamuzi huo unakuja ikiwa ni siku 44 tangu achukue Madaraka kutoka kwa Nyota wa Soka, George Weah anayelaumiwa kushindwa kudhibiti Rushwa na Ufisadi nchini humo.

=======

Liberia's President Joseph Boakai has set up a task force to crackdown on corruption and to recover stolen state assets.

Mr Boakai ordered it to identify and prosecute any senior officials involved. Current and past government officials are to be investigated.

His executive order said assets "wrongfully acquired at the expense of the government and people of Liberia" should be returned.

It was imperative to "curtail this alarming menace that has engulfed our country", the president said.

People who purchased government assets illegally would also be forced to return them.

Individuals who live outside of Liberia and are suspected of siphoning off public assets could face extradition.

Funding has been allocated to the task force, which will begin work immediately.

On the campaign trail last year, Mr Boakai promised to tackle corruption.

He went on to win the election, beating former President George Weah in a run-off with just over 20,000 votes.

Mr Weah's presidency was plagued with accusations of corruption and faced criticism for the excesses of senior officials.

After Mr Boakai's inauguration in January he asked former officials to turnover government assets they had in their possession “without delay and hesitation”.
Safi sana, hongera kwake kwa moyo wa uzalendo kwa taifa lake,
Ila ajitahidi kuwa na ulinzi madhubuti na tahadhari zote wachukue, mafisadi si watu wazuri.
 
Sipati picha nyumba za Serikali kule Masaki,Oysterbay,Mikocheni,Upanga na kwingineko zikirudishwa Serikalini, Azam TV pale Tazara Kulikuwa na kiwanda cha Taifa Cha Engineering eti muwekezaji anaweka TV
Hayati Julius Kambarage Nyerere na Mzee Mwinyi ndio Ma Rais pekee waliojenga nyumba walizoishi hadi mwisho wa uhai wao kwa kuanzia kwny Msingi

Jiulize Iliwezekanaje Julius Nyerere akaishi Msasani tena ya miaka ile ya Bonde la Mpunga kwa kuanza kununua kiwanja na kufyatua tofali na kuanza kujenga wakati Ostybay na Masaki zilikuwepo

Mzee Mwinyi ananunua kidogo kidogo vifaa vya ujenzi pale kwake Mikocheni miaka hiyo kama kichakani

waliowaachia wao wakaamua kucheza na na sheria kwa kubadili zile Nyumba ambazo Waasisi waliziheshimu zikawa zao
 
Mafisadi watu kama huyo hawatakubali aishi kwa mda mrefu
Wana roho mbaya sana na za kikatili
Hata awaweke kwenye viroba nae watamlia timing tu
Wao wanamuona kiherehere
 
LIBERIA: Rais Joseph Boakai ametangaza kuunda Kikosi Kazi kitakachokuwa na jukumu la Kukabiliana na Vitendo vya Rushwa pamoja na kurejesha Mali za Serikali zilizoibwa kifisadi.

Kupitia tangazo hilo, Rais Boakai ameagiza Kikosi hicho kumtafuta Afisa wa ngazi yoyote aliyehusika na Rushwa kutoka katika Serikali zilizopita na Serikali ya sasa pamoja na kuanza uchunguzi dhidi ya tuhuma zitakazobainika.

Aidha kwa mujibu wa taarifa, Rais huyo mpya amesema Mali zote za Serikali zilizouzwa na kununuliwa kinyume na utaratibu zirejeshwe haraka na Watuhumiwa wanaoishi nje ya Liberia warudishwe nyumbani kujibu mashtaka yatakayofunguliwa dhidi yao.

Uamuzi huo unakuja ikiwa ni siku 44 tangu achukue Madaraka kutoka kwa Nyota wa Soka, George Weah anayelaumiwa kushindwa kudhibiti Rushwa na Ufisadi nchini humo.

=======

Liberia's President Joseph Boakai has set up a task force to crackdown on corruption and to recover stolen state assets.

Mr Boakai ordered it to identify and prosecute any senior officials involved. Current and past government officials are to be investigated.

His executive order said assets "wrongfully acquired at the expense of the government and people of Liberia" should be returned.

It was imperative to "curtail this alarming menace that has engulfed our country", the president said.

People who purchased government assets illegally would also be forced to return them.

Individuals who live outside of Liberia and are suspected of siphoning off public assets could face extradition.

Funding has been allocated to the task force, which will begin work immediately.

On the campaign trail last year, Mr Boakai promised to tackle corruption.

He went on to win the election, beating former President George Weah in a run-off with just over 20,000 votes.

Mr Weah's presidency was plagued with accusations of corruption and faced criticism for the excesses of senior officials.

After Mr Boakai's inauguration in January he asked former officials to turnover government assets they had in their possession “without delay and hesitation”.
Ajipange sana hiyo vita ni ngumu sanaa.....labda angekuwa mwanajeshi.....vita ngumu sanaas....watamuua kabla muda wake.....tusubiri Liberia tunaijua bizuri sanaa
 
Mafisadi watu kama huyo hawatakubali aishi kwa mda mrefu
Wana roho mbaya sana na za kikatili
Hata awaweke kwenye viroba nae watamlia timing tu
Wao wanamuona kiherehere
Mkuu kauli yako inachoma sana Moyoni maana ni zaidi ya maumivu kwa bara letu, wenyewe hatuwezi kulitetea mpaka jamaa wanatushangaa.
 
Back
Top Bottom