Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Naona anataka kuwaaminisha watanzania kuwa na yeye pia ni Rais wa Wanyonge.
Eti atakuwa anasikiliza wananchi mmoja mmoja kero zao.
Mbona alipochukua urais wa kurithi hakufanya haya mapema?
Akakumbatia kundi la wahuni? Alipoona hakubaliki akamteua Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu. Akaona haijakubalika akamteua Makonda kuwa msemaji wa CCM
Makonda akaleta zile Style za hayati ili kuwahadaa watanganyika ili wamkubali Mama.
Hiii sio solution
Eti atakuwa anasikiliza wananchi mmoja mmoja kero zao.
Mbona alipochukua urais wa kurithi hakufanya haya mapema?
Akakumbatia kundi la wahuni? Alipoona hakubaliki akamteua Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu. Akaona haijakubalika akamteua Makonda kuwa msemaji wa CCM
Makonda akaleta zile Style za hayati ili kuwahadaa watanganyika ili wamkubali Mama.
Hiii sio solution