Kinana na Makamba ni wakati wenu kuungana na watanzania kuhitaji Katiba Mpya na Tume Huru ya uchaguzi. Tumshinikize Rais Samia

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,211
42,072
Kwa kuwa wote kuanzia Kinana, Nape, January Makamba na Jokate Mwegelo mmekiri hadharani kuwa miaka mitano iliyopita hali nchini ilikuwa mbaya na watu hawa kutendewa haki na walitendewa mabaya ni wazi wote mnaungana na Chadema na watu wengine kukiri hayo na nyie sasa mmekuwa mashahidi kwa vinywa vyenu!

Kwakuwa mmeyasema hayo na tunajua mnamaanisha kabisa sasa tunaomba muanze kupaza sauti mkimtaka Rais Samia kutupatia Tume huru ya Uchaguzi na katiba mpya ili yasije yakajirudia yaliyotokea!

Tunaomba kama mnavyopaza sauti sasa kuhusu yaliyofanyika 2020 sasa muanze kupaza sauti kuhusu katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi tunaomba muungane na watanzania kuhitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

Lazima mjue watanzania sio wajinga wanataka matendo sio maneno na kama kweli mna nia njema basi muanze kupaza sauti kuhusu uhitaji wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

Watanzania wanajua fika kabisa hata mwaka 2015 na 2020 nyie nyote mlikuwepo na mlikuwa viongozi !

Tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ndio vitakuwa mfariji na suluhu la haya yote kwa hiyo tunaomba muungane nasi!
 
Wamekiri kuwa wao BINAFSI na familia zao au marafiki zao hawakutendewa HAKI na sio watanzania wote, kwa taarifa yako Jokate, Makamba, Nape na Kinana ni WABINAFSI mno
Sisi tunachotaka ni tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kwa hiyo kama watasaidia kuipata katiba mpya na tume huru ya uchguzi basi watakuwa wamefanya jambo jema sana!
 
Kwani hao nao si bendera kufuata upepo? Hukuwahi kumsikia kinana enzi ya jpm akisema au nape au makamba baba na mtoto kusifu jpm?

Hapo labda ni kabla ya kufyatuliwa maslahi yao ya kifisadi. Ukitaka kusikia kuhusu awamu iliyopita wasikilize waadilifu kama kina kabudi sio hawa fuata nyuki ule asali.

Msikilize warioba, msikilize aliyekua katibu mkuu ccm enzi hiyo awamu 5, wasikilize maprofesa shivji msikilize profesa ana tibaijuka na wengine.

Halafu wasikize umma wa watanzania. Sio hawa wapuuzi kina nape na januari makamba. Hawa wafuata nyuki ule asali.
 
Sisi tunachotaka ni tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kwa hiyo kama watasaidia kuipata katiba mpya na tume huru ya uchguzi basi watakuwa wamefanya jambo jema sana

Sisi tunachotaka ni tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kwa hiyo kama watasaidia kuipata katiba mpya na tume huru ya uchguzi basi watakuwa wamefanya jambo jema sana!
Mkuu nakubaliana na wewe, sote tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ingawa hoja ya wao kutusaidia sisi kupata katiba mpya na tume huru ni jambo ambalo haliwezekani.

Hao wote ni wanufaika wakubwa wa mfumo wa unyonyaji kwa mwamvuli wa chama dola CCM, unafikiri wanapenda na kutamani mabadiliko?

Tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kwa tulipofikia nasikitika kusema kuwa itawezekana kwa watanzania wote kuamka na kuingia barabarani kwa kudai na kushinikiza ila sio kwa njia ya kuomba.

Muda ukifika tukisema na kuamua Sasa imetosha hakika tutapata tunachohitaji mapema asubuhi sana.
 
Samia unaambiwa indirect kuwa, FUTA muswada BATILI, Kisha uletwe UPYA muswada utakaobadili vifungu vya Katiba Ili tupate tume HURU ya UCHAGUZI kabla ya Uchaguzi wowote.
 
Kwani hao nao si bendera kufuata upepo? Hukuwahi kumsikia kinana enzi ya jpm akisema au nape au makamba baba na mtoto kusifu jpm? Hapo labda ni kabla ya kufyatuliwa maslahi yao ya kifisadi. Ukitaka kusikia kuhusu awamu iliyopita wasikilize waadilifu kama kina kabudi sio hawa fuata nyuki ule asali. Msikilize warioba, msikilize aliyekua katibu mkuu ccm enzi hiyo awamu 5, wasikilize maprofesa shivji msikilize profesa ana tibaijuka na wengine. Halafu wasikize umma wa watanzania. Sio hawa wapuuzi kina nape na januari makamba. Hawa wafuata nyuki ule asali.
Tuwaamini na tuwaombe wasaidie upatikanaji wa katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi
 
Samia unaambiwa indirect kuwa, FUTA muswada BATILI, Kisha uletwe UPYA muswada utakaobadili vifungu vya Katiba Ili tupate tume HURU ya UCHAGUZI kabla ya Uchaguzi wowote.
Wamwambie live ndio itasaidia sio wasubiri mambo yaharibike ndio waseme
 
Mkuu nakubaliana na wewe, sote tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ingawa hoja ya wao kutusaidia sisi kupata katiba mpya na tume huru ni jambo ambalo haliwezekani.

Hao wote ni wanufaika wakubwa wa mfumo wa unyonyaji kwa mwamvuli wa chama dola CCM, unafikiri wanapenda na kutamani mabadiliko?

Tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kwa tulipofikia nasikitika kusema kuwa itawezekana kwa watanzania wote kuamka na kuingia barabarani kwa kudai na kushinikiza ila sio kwa njia ya kuomba.

Muda ukifika tukisema na kuamua Sasa imetosha hakika tutapata tunachohitaji mapema asubuhi sana.
Kama Kinana ataanza kuiomba kama wengine wafanyavyo lazima itapatikana……
 
Kwa kuwa wote kuanzia Kinana,Nape,January Makamba na Jokate Mwingole mmekiri hadharani kuwa miaka mitano iliyopita hali nchini ilikuwa mbaya na watu hawa kutendewa haki na walitendewa mabaya ni wazi wote mnaungana na Chadema na watu wengine kukiri hayo na nyie sasa mmekuwa mashahidi kwa vinywa vyenu!

Kwakuwa mmeyasema hayo na tunajua mnamaanisha kabisa sasa tunaomba muanze kupaza sauti mkimtaka Rais Samia kutupatia Tume huru ya Uchaguzi na katiba mpya ili yasije yakajirudia yaliyotokea!

Tunaomba kama mnavyopaza sauti sasa kuhusu yaliyofanyika 2020 sasa muanze kupaza sauti kuhusu katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi tunaomba muungane na watanzania kuhitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

Lazima mjue watanzania sio wajinga wanataka matendo sio maneno na kama kweli mna nia njema basi muanze kupaza sauti kuhusu uhitaji wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

Watanzania wanajua fika kabisa hata mwaka 2015 na 2020 nyie nyote mlikuwepo na mlikuwa viongozi !

Tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ndio vitakuwa mfariji na suluhu la haya yote kwa hiyo tunaomba muungane nasi!
Unawategemea wana ccm wapate katiba ambayo itawa vurugia mipango yao? Keep dreaming
 
Unawategemea wana ccm wapate katiba ambayo itawa vurugia mipango yao? Keep dreaming
Lakini kwa vinywa vyao wanasema uchaguzi uli haribiwa na watu walinyimwa haki na ni wazi suluhu ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi hivyo waunge mkono uhitaji huo
 
Kwa kuwa wote kuanzia Kinana,Nape,January Makamba na Jokate Mwingole mmekiri hadharani kuwa miaka mitano iliyopita hali nchini ilikuwa mbaya na watu hawa kutendewa haki na walitendewa mabaya ni wazi wote mnaungana na Chadema na watu wengine kukiri hayo na nyie sasa mmekuwa mashahidi kwa vinywa vyenu!

Kwakuwa mmeyasema hayo na tunajua mnamaanisha kabisa sasa tunaomba muanze kupaza sauti mkimtaka Rais Samia kutupatia Tume huru ya Uchaguzi na katiba mpya ili yasije yakajirudia yaliyotokea!

Tunaomba kama mnavyopaza sauti sasa kuhusu yaliyofanyika 2020 sasa muanze kupaza sauti kuhusu katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi tunaomba muungane na watanzania kuhitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

Lazima mjue watanzania sio wajinga wanataka matendo sio maneno na kama kweli mna nia njema basi muanze kupaza sauti kuhusu uhitaji wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

Watanzania wanajua fika kabisa hata mwaka 2015 na 2020 nyie nyote mlikuwepo na mlikuwa viongozi !

Tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ndio vitakuwa mfariji na suluhu la haya yote kwa hiyo tunaomba muungane nasi!
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
 
Kwani hao nao si bendera kufuata upepo? Hukuwahi kumsikia kinana enzi ya jpm akisema au nape au makamba baba na mtoto kusifu jpm? Hapo labda ni kabla ya kufyatuliwa maslahi yao ya kifisadi. Ukitaka kusikia kuhusu awamu iliyopita wasikilize waadilifu kama kina kabudi sio hawa fuata nyuki ule asali. Msikilize warioba, msikilize aliyekua katibu mkuu ccm enzi hiyo awamu 5, wasikilize maprofesa shivji msikilize profesa ana tibaijuka na wengine. Halafu wasikize umma wa watanzania. Sio hawa wapuuzi kina nape na januari makamba. Hawa wafuata nyuki ule asali.
Katiba Mpya mnayoidai lengo ni mpate nini hasa?

Ndio maana watu wanaotafuta maisha kwenye sekta zingine hawahangaiki na huu upumbavu wenu.

Mnaohangaika na huu ujinga ni wale ambao mnakula na kushiba Kupitia siasa mnaamini hiyo Katiba Mpya itawawezesha kupata Vyeo.
 
Lakini kwa vinywa vyao wanasema uchaguzi uli haribiwa na watu walinyimwa haki na ni wazi suluhu ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi hivyo waunge mkono uhitaji huo
Ofcourse ,but hao members wameshatoa kauli mara ngapi? Na nn kimefanyika mpaka sasa?
 
Katiba Mpya mnayoidai lengo ni mpate nini hasa?

Ndio maana watu wanaotafuta maisha kwenye sekta zingine hawahangaiki na huu upumbavu wenu.

Mnaohangaika na huu ujinga ni wale ambao mnakula na kushiba Kupitia siasa mnaamini hiyo Katiba Mpya itawawezesha kupata Vyeo.
Katiba mpya ni muhimu sana tena sana tungekuwa nayo wala singelikuwa tuna hangaika kila leo na maswala ya sukari na Umeme na kuadimika kwa dola
 
Back
Top Bottom