Vyama vya upinzani vinavyoijua nguvu ya CCM kwenye Urais vimekubali kumuunga mkono Rais Samia na vinahangaikia ubunge. Ila vingine...

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,601
Wahenga walisema Kwa 'shujaa uenda kilio ila Kwa mwoga huenda kicheko' ,huu msemo unaweza kutumika kuelezea Kwa kirefu maisha ya vyama vya siasa vya upinzani Tanzania.

Kwa mtazamo wangu kulingana na siasa zetu, Kuna makundi matatu ya vyama vya upinzani.

Kundi la kwanza, vyama majasiri

Kundi la pili, vyama vioga

Kundi la tatu, kundi la kati halipo kwenye majasiri au waoga.

Makundi yote matatu ya vyama vya upinzani ,yanaamini aduo yao ni mmoja ambaye ni CCM. Ni adui mwenye nguvu lakini anaongezeka nguvu maradufu anapopambana au anapolinda himaya yake. Makundi yote matatu yanajaribu kupambana naye bila kujua watapambana naye vipi, ukizingatia kundi la waoga linaogopa kabisa na kundi la kati haliaminiki maana halijulikani ni muda gani watakuwa majasiri au waoga.

Yote Kwa yote Kila kundi limetafuta namna yake ya kupambana kivyake.

Kundi la waoga linapambana kiuogauoga na mkakati huu utawasaidia sana. Wanapamba Kwa namna ya kumchosha adui upande mmoja na hapa ndio wahenga wanatukumbusha kwamba Kwa muoga huenda kicheko. Kwa kuwa wanapambana kiuogauoga ,wameona njia pekee ni kumuunga mkono Rais Samia kwenye Urais Kwa maana ya kwamba wameogopa nguvu ya CCM kwenye eneo hili na wameamua kujikita kwenye ubunge.

Kundi la vyama majasiri ndio kundi linaloelezewa na wahenga kwamba Kwa shujaa huenda kilio. Kundi hili linaamini litaishinda CCM Kila eneo na huu ujasiri ndio utakuwa anguko lao. Kwa kuwa CCM ni adui mwenye nguvu na nguvu zake zinaongezeka maradufu anapopambana basi inawezekana kundi hili likakutana na mpambano mkali mno .

Kundi la kati Sina mengi ya kulizungumzia Kwa sababu lenyewe halina athari za Moja za Moja zaidi ya kujimaliza lenyewe.

Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 mengi yatashuhudiwa lakini linalosisimua zaidi ni kundi la vyama vioga vinavyopamba na CCM kiuogauoga kuibuka mashujaa na kicheko ila Lile kundi lingine lihesabu maumivu na kilio.

Kama ukikutana na adui mwenye nguvu kuliko wewe, chukua maamuzi yafuatayo:
Kwanza, kimbia bila kupambana
Pili, pambana ukijiandaa kukimbia muda wowote
Tatu, mchoshe kwenye eneo lake dhaifu
 
Samia hana nguvu yoyote ile , hajawahi kuwa nayo na wala hatokuja kuwa nayo
 
Wahenga walisema Kwa 'shujaa uenda kilio ila Kwa mwoga huenda kicheko' ,huu msemo unaweza kutumika kuelezea Kwa kirefu maisha ya vyama vya siasa vya upinzani Tanzania.

Kwa mtazamo wangu kulingana na siasa zetu, Kuna makundi matatu ya vyama vya upinzani.
Kundi la kwanza, vyama majasiri
Kundi la pili, vyama vioga
Kundi la tatu, kundi la kati halipo kwenye majasiri au waoga.

Makundi yote matatu ya vyama vya upinzani ,yanaamini aduo yao ni mmoja ambaye ni CCM. Ni adui mwenye nguvu lakini anaongezeka nguvu maradufu anapopambana au anapolinda himaya yake. Makundi yote matatu yanajaribu kupambana naye bila kujua watapambana naye vipi, ukizingatia kundi la waoga linaogopa kabisa na kundi la kati haliaminiki maana halijulikani ni muda gani watakuwa majasiri au waoga.

Yote Kwa yote Kila kundi limetafuta namna yake ya kupambana kivyake.

Kundi la waoga linapambana kiuogauoga na mkakati huu utawasaidia sana. Wanapamba Kwa namna ya kumchosha adui upande mmoja na hapa ndio wahenga wanatukumbusha kwamba Kwa muoga huenda kicheko. Kwa kuwa wanapambana kiuogauoga ,wameona njia pekee ni kumuunga mkono Rais Samia kwenye Urais Kwa maana ya kwamba wameogopa nguvu ya CCM kwenye eneo hili na wameamua kujikita kwenye ubunge.

Kundi la vyama majasiri ndio kundi linaloelezewa na wahenga kwamba Kwa shujaa huenda kilio. Kundi hili linaamini litaishinda CCM Kila eneo na huu ujasiri ndio utakuwa anguko lao. Kwa kuwa CCM ni adui mwenye nguvu na nguvu zake zinaongezeka maradufu anapopambana basi inawezekana kundi hili likakutana na mpambano mkali mno .

Kundi la kati Sina mengi ya kulizungumzia Kwa sababu lenyewe halina athari za Moja za Moja zaidi ya kujimaliza lenyewe.

Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 mengi yatashuhudiwa lakini linalosisimua zaidi ni kundi la vyama vioga vinavyopamba na CCM kiuogauoga kuibuka mashujaa na kicheko ila Lile kundi lingine lihesabu maumivu na kilio.

Kama ukikutana na adui mwenye nguvu kuliko wewe, chukua maamuzi yafuatayo:
Kwanza, kimbia bila kupambana
Pili, pambana ukijiandaa kukimbia muda wowote
Tatu, mchoshe kwenye eneo lake dhaifu
Nyie ndio maadui was samiah nyie!!

2025 hatujafika haujui Mungu anampango Gani na samiah unaanza kumpa urais was awamu ya kwanza baada ya awamu ya Tano kuisha!huoni unamtukana mwenye uhai!!?

Binafsi naamini Raise wa 2025 sio samiah coz samiah mwenyewe anaonekana mchovu kabisa Hana nguvu ya kuendelea na urais!Hilo lipo wazi!!!

Samiah atastaafu na kupisha mchakato ndani ya chama!!!

Kama una akili andaa millioni Moja ya fomu ya urais!!!
 
Mtoa hoja inabidi ukamsaidie kazi Mwakipande, ccm haina nguvu ,nguvu unayoiona ni ya vyombo vya dola,bila vyombo hivi ccm ni chama cha kawaida, ila upepo wa mabadiliko umeshaanza kuvuma
 
Tanzania hakuna uchaguzi, Bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Sasa hiyo nguvu inatoka wapi? Ama wizi wa kura kwa mbeleko ya vyombo vya Dola nayo ni nguvu?
Mnateswa na kushindwa na mna hofu ya kuogopwa kushindwa. Wengine wanaikabili hofu hiyo kwa Imani ila ninyi mmeamua kukabiliana nayo Kwa kudai hakukuwa na uchaguzi huru na WA haki.
 
Huko kwao Zanzibar hakuwahi kushinda hata ukatibu wa Tawi , alijaribu ubunge Kikwajuni akaangukia pua kura za maoni kwa kuburuza mkia kati ya wagombea 8
Mungu hatoi baraka tu ,anatoa Kwa watu aliowachagua na Rais Samia amechaguliwa na Mungu.
 
Mtu mzima anapotaja CCM bila kuunganisha Polisiccm, Wakurugenzi,Jaji Mitungi,Na vyama vyoote ambavyo ni CCM B.
Namwona kama Gazeti kwenye unyevunyevu wa asubuhi anapojaribu kujifanya anajua siasa ya TANZAGIZA HII🤔.
Mda mwingine muwe mnaficha ujinga wakuu.

Maendeleo hayana chama.

Rais hana shida,shida ni taasisi ya Ccm.
 
Mnateswa na kushindwa na mna hofu ya kuogopwa kushindwa. Wengine wanaikabili hofu hiyo kwa Imani ila ninyi mmeamua kukabiliana nayo Kwa kudai hakukuwa na uchaguzi huru na WA haki.
Msikilize Kinana na Makamba, sio kwamba wanachosema ni kipya, Bali wanakuwa wanaccm wachache walioamua kusema ukweli kuhusu chaguzi zetu za kishenzi, na jinsi ushindi wa shuruti wa ccm unavyopatikana.

Watu wa aina yako mliokulia kwenye uongo, inakuwa ngumu kukubali kuwa zama za ccm na kizazi chao kilishapita, na Sasa ni mbeleko tu ya vyombo vya Dola ndio Kinga yenu. Yaani nje ya mbeleko ya vyombo vya Dola nyie ni takataka. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha utawala wa kweli toka kwa wananchi.
 
Wahenga walisema Kwa 'shujaa uenda kilio ila Kwa mwoga huenda kicheko' ,huu msemo unaweza kutumika kuelezea Kwa kirefu maisha ya vyama vya siasa vya upinzani Tanzania.

Kwa mtazamo wangu
Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 mengi yatashuhudiwa lakini linalosisimua zaidi ni kundi la vyama vioga vinavyopamba na CCM kiuogauoga kuibuka mashujaa na kicheko ila Lile kundi lingine lihesabu maumivu na kilio.

Kama ukikutana na adui mwenye nguvu kuliko wewe, chukua maamuzi yafuatayo:
Kwanza, kimbia bila kupambana
Pili, pambana ukijiandaa kukimbia muda wowote
Tatu, mchoshe kwenye eneo lake dhaifu
Naunga mkono hoja, Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030
P
 
Back
Top Bottom