Rais wa Senegal akubali kubadili tarehe ya Uchaguzi Mkuu baada ya shinikizo la Maandamano

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
SENEGAL: Rais Macky Sall amekubali kufanya mabadiliko ya tarehe ya Uchaguzi Mkuu kutoka Desemba 15, 2024 hadi Machi 24 kutokana na maandamano yanayomtaka kuheshimu muda wake wa kuondoka madarakani.

Awali Rais Sall anayetakiwa kumaliza kupindi cha utawala wake kwa mujibu wa Katiba ifikapo Aprili 2, 2024 alipeleka Muswada Bungeni na uliosogeza mbele Uchaguzi na kumpa kibali cha kubaki madarakani hadi Desemba 2024 hali iliyozua vurugu nchini humo.

Taarifa kutoka Senegal zimekuwa zikiripoti kuwa awamu ya pili ya Rais Sall ilitawaliwa na Ukandamizaji wa Wapinzani wake ambapo takriban Watu 1,000 walifungwa jela kwa kumpinga hadharani Kiongozi huyo.

Aidha hivi karibuni Bunge la nchi hiyo lililazimika kupitisha Sheria ya kutoa msamaha kwa Wafungwa wa Kisiasa ili kuepusha Taifa hilo kuingia katika machafuko zaidi.

=======

Senegal's government has announced that the country's presidential election will take place on 24 March.

The announcement follows tension in the West African nation after President Macky Sall postponed the election last month, sparking widespread protests.

Parliament has also passed an amnesty law for crimes linked to the protests.

The president's opponents had accused him of mounting a constitutional coup but he denies seeking to extend his term of office.

Mr Sall's 12 years in power is due to end on 2 April.

The announcement of the election date has been welcomed by opposition figures.

"What we are looking forward now is fair, just and transparent elections. That is the last duty that President Macky Sall has to fulfil," Aminata Touré, a former prime minister under Mr Sall who switched to the opposition, told the BBC's Newsday programme.

Senegal has long been seen as one of the most stable democracies in Africa.

It is the only country in mainland West Africa that has never had a military coup.

Prior to Wednesday's announcement, authorities had attempted to postpone the original 25 February poll to December, which resulted in deadly unrest on the streets.

But the Constitutional Council later ruled that the presidential election must take place before 2 April.

Earlier on Wednesday evening, Mr Sall dissolved the government and replaced Prime Minister Amadou Ba with Interior Minister Sidiki Kaba.

This was so that Mr Ba, the ruling coalition's presidential candidate, could focus on his electoral campaign, the presidency said.

President Sall has served two terms as Senegal's leader and when he was first elected in 2012 he promised he would not overstay.
 
Back
Top Bottom