online

In computer technology and telecommunications, online indicates a state of connectivity, and offline indicates a disconnected state. In modern terminology this usually refers to an Internet connection, but (especially when expressed "on line" or "on the line") could refer to any piece of equipment or functional unit that is connected to a larger system. Being online means that the equipment or subsystem is connected, or that it is ready for use."Online" has come to describe activities performed on and data available on the Internet, for example: "online identity", "online predator", "online gambling", "online shopping", "online banking", and "online learning". Similar meaning is also given by the prefixes "cyber" and "e", as in the words "cyberspace", "cybercrime", "email", and "ecommerce". In contrast, "offline" can refer to either computing activities performed while disconnected from the Internet, or alternatives to Internet activities (such as shopping in brick-and-mortar stores). The term "offline" is sometimes used interchangeably with the acronym "IRL", meaning "in real life".

View More On Wikipedia.org
  1. ZOPPA

    JamiiForums Tanzania Msaaada Online streeming tv App

    Naitaji kuangalia mpira na baazi documentary tafadhari naomba msaaada wa app nitakayoweza kustream online tv
  2. M

    JamiiForums Tanzania SoC01 Tanzania as a nation can deploy the following measures to combat the slow progress toward achieving a sustainable development

    Tanzania is a country that is geographically located in the eastern side of the African continent. It is bordering the Indian Ocean on the east, Kenya and Uganda on the north, Rwanda, Burundi and Democratic Republic of Congo on the west and Mozambique, Malawi, Zambia on the south. Tanzania...
  3. Replica

    JamiiForums Tanzania Simba: Kocha Gomez anasoma online course, tuna imani hadi mchezo wetu unachezwa atakuwa ameshamaliza masomo

    Baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kumtaja kocha mkuu wa Simba, Didier Gomes kukosa sifa za kukaa benchi la ufundi la Simba kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa kutokana na kukosa sifa, uongozi wa timu hiyo umeibuka na kutolea ufafanuzi. Gomes ana (UEFA A Diploma) na kwa mujibu wa kanuni za...
  4. AA TANCH TRADING COMPANY

    JamiiForums Tanzania Bidhaa 9 zinazoongoza kununuliwa zaidi mitandaoni/online. Fanya uchaguzi sahihi

    Kitendo cha mtu kuanza kuagiza bidhaa. Kwa kupitia tovuti mbali mbali zinazofanya biashara online. Ni kitendo ambacho kinatakiwa kiwe cha urahisi na uhakika. Bidhaa zinazouzwa kwa kupitia mitandao kama. Mitandao ya kijamii, Application za simu, na tovuti. Huwa zina pendwa Zaidi kutokana na kuwa...
  5. Barackachess

    JamiiForums Tanzania Kwa wanafunzi kuanzia form 1 - form 4 mnaweza kufanya online examination

    NOTE: THIS EXAM IS NOT NECTA. ITS EXAM FOR SELF-TESTING ONLY. Our Online examination systeam is conducting exam online to measure the knowledge of the students from primary to secondary level with their own device, regardless of where they live. You only need a browser and an internet...
  6. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa Mabadiliko ya Kanuni za Sheria ya Maudhui ya Mtandao (2021) na Jamii Forums

    Uchambuzi huu unahusisha kanuni zinazotokana na Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA) ya mwaka 2010, na unapendekeza kufanyia mabadiliko Kanuni zilizowekwa mwaka 2020. ============ ANALYSIS OF TANZANIA's ONLINE CONTENT REGULATIONS AMENDMENTS(2021) by JAMII FORUMS MAJOR...
  7. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Police online loss report hamna kitu, ni uozo mtupu

    Nimejaza online loss report nimelipia, nimekaa zaidi ya masaa 24 report not approved. Mwaka jana nilijaza loss report ya vitu 4 nilipata report 2 instantly, vitu 2 vingine nilikaa wiki sijapata loss report. Sijaangalia kama walitoa au la. Imagine unakaa wiki moja bado panasoma not yet approved...
  8. Slowly

    JamiiForums Tanzania Naulizia most trusted online shopping site ya bidhaa za Uturuki

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naulizia kwa wale wazoefu au anayefahamu site nzuri ya kununulia bidhaa za uturuki, kama ilivyo Alibaba, Amazon na eBay. Natanguliza shukrani
  9. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji Tanzania kupitia Online Marketing

    Karibu wana JF tupeane mawazo ya kuwekeza katika online marketing mfano kuwengeneza website kama jumia kupatana facebook twitter youtube whatsapp halloapp Tuwe na sisi na vya kwetu sio kutegemea vya wenzetu. Karibu tujadiri kwa undani. Natanguliza shukurani.
  10. Pain killer

    JamiiForums Tanzania Hivi kweli kuna watu wanapiga hela online? Mimi naona kama uzushi tu!

    Habari wakuu Maisha kwa sasa yanaenda kasi sana, Sisi vijana katika harakati za kutafuta pesa tunakutana na changamoto nyingi sana ,sasa kuna hii njia inaitwa "kupiga hela online ,ukiwa na simu yako na bando " Mimi nimeshafanya uchunguzi sana online businesses wanazosema ni zipi hizo au ni hizi...
  11. V

    JamiiForums Tanzania Ni njia ipi nzuri ya kuuza vitabu/courses na muziki online nikiwa Tanzania?

    Pamoja na kwamba mimi ni mgeni humu lakini naomba kupata mawazo juu ya uchapishaji kazi za sanaa online hususani vitabu, njia ambayo inaonekana sasa kuwa mkombozi kwa watunzi wengi tofauti na zile zama za giza ambazo ilimpasa mtu apige kwanza magoti kwa makampuni makubwa ndipo kazi yake iweze...
  12. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Nasikia kuna drafti mnacheza online hapa Tanzania. Nipeni link niwanyooshe

    Nasikia kuna hii kitu hapa bongo. Nipeni connection.
  13. Teddy1

    JamiiForums Tanzania Zambia na Malawi wanatumia online forums ipi?

    Tanzania tunatumia jamiiforums, huko Zambia, Malawi, South Afrika, wanazo hizi locally hosted online forums? Kama zipo ninaomba link nizione please.
  14. F

    JamiiForums Tanzania Wazoefu wa Bima ya Magari: Je, ukinunua online sticker unafata wapi?

    Habari wadau.. Gari limeisha bima leo na niko bush hakuna ofisi za kampuni za bima.. nataka ninunue online kwa sim banking.. Ila najiuliza sticker naipataje? Maana kesho narudi mjini sitaki usumbufu wa traffic njiani
  15. P

    JamiiForums Tanzania Online typing service (Natoa huduma ya kuchapa kazi kwa njia ya mtandao)

    Habari, kichwa cha habari kinahusika. Nahitaji kazi za typing Location: Huduma ni online. Yeyote mwenye documents zenye format tofauti na anahitaji iwe typed tuwasiliane kwaajili ya kazi. Naelewa kuna platform kama fiverr ,guru,upwork n.k ila mimi nahitaji kuanzia hapa JF. Naweza kutumia...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Serikali yaipongeza Bakwata kwa kuanzisha Bakwata Online Academy

    Waziri wa Utumishi mh Mchengerwa amesema serikali inaipongeza Bakwata kwa kutia mafunzo ya uongozi kwa waumini wake kwa njia ya Tehama iitwayo Bakwata Online Academy Kadhalika Mchengerwa ameimba wananchi kuendelea kuwaombea viongozi wa serikali wakati wote. Chanzo: Channel ten
  17. Matata25

    JamiiForums Tanzania Msaada ku apply chuo online Nacte

    Habari za usiku ndugu zangu? Nahitaji msaada namana ya ku apply nacte vyuo vya afya. Nimejaza taarifa zote lakini hakuna kinachoendelea. Hatua ya kwanza nimefungua ukurasa wa kujisajili na nikajaza taarifa zote. kama inavyoonekana kwenye screenshoot hapo chini. Then ukurasa wa pili ulipofunguka...
  18. Matata25

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namna ya kutuma maombi NACTE

    Habari za usiku ndugu zangu? Nahitaji msaada namana ya ku apply nacte vyuo vya afya. Nimejaza taarifa zote lakini hakuna kinachoendelea. Hatua ya kwanza nimefungua ukurasa wa kujisajili na nikajaza taarifa zote. kama inavyoonekana kwenye screenshoot hapo chini. Then ukurasa wa pili...
  19. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Utapeli online: mitandao yote inawafuga hawa matapeli,kuwakamata ndio rahisi sana

    Wakati usajili wa vitambulisho vya taifa unakuja tuliambiwa ni mwiba kwa matapeli. Je wameisha? Hapana tena wapo sana tu. Kuna visa kadhaa vya utapeli nimeshukudia kikiwemo juzi tu,dada katapeliwa mbele yangu. Inashindikana nini kuwakamata hawa watu? Nilijaribu kumsaidia yule dada nikapiga...
  20. Kaudunde Kautwange

    JamiiForums Tanzania Fursa zipo nyingi sana, 5 Online Projects

    Habari wana board! Namshukuru Mungu kwa uzima aliotukirimia, sifa, heshima na utukufu ni kwake Yeye Pekee! Miaka 5 iliyopita nilianza kupata hamasa ya kujifunga mambo ya kuunda tovuti, hii ilichochewa na kuwepo kwa fursa nyingi sana ambazo mimi binafsi niliziona kwenye upate wa IT...
Back
Top Bottom