In computer technology and telecommunications, online indicates a state of connectivity, and offline indicates a disconnected state. In modern terminology this usually refers to an Internet connection, but (especially when expressed "on line" or "on the line") could refer to any piece of equipment or functional unit that is connected to a larger system. Being online means that the equipment or subsystem is connected, or that it is ready for use."Online" has come to describe activities performed on and data available on the Internet, for example: "online identity", "online predator", "online gambling", "online shopping", "online banking", and "online learning". Similar meaning is also given by the prefixes "cyber" and "e", as in the words "cyberspace", "cybercrime", "email", and "ecommerce". In contrast, "offline" can refer to either computing activities performed while disconnected from the Internet, or alternatives to Internet activities (such as shopping in brick-and-mortar stores). The term "offline" is sometimes used interchangeably with the acronym "IRL", meaning "in real life".
According to the university management, more than 20 students taking Master of Arts in Environmental Law and Master of Arts in Environmental Policy sat their examinations from the comfort of their homes.
“We used Google platforms to administer our exams-first we invited our students to Google...
Kwemaa ,wakuu ..
Naomba msaada nahitaji application au website za kuangalizia mechi online, maana nipo sehemu ambayo hakuw uinyeshaji wa mpira, kwa week kadhaa nmekuwa namiss bundesliga
Ila leo nimepania nisikose game
Uzi tayari, nawasilisha
Ni jambo la kisikitisha sana RC wa Dar es Salaam kutoona umuhimu wa elimu kwa watoto katika kipindi hiki cha mlipuko wa Corona na kudakia mambo ya wabunge yasiyomhusu.
RC Mtaka anapambana watoto wasome online kipindi hiki, huku RC DSM anapoteza muda mwingi katika media kwa mambo yasiyo ya...
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania kuiptia Kamati ya Maudhui imesitisha leseni ya utoaji wa huduma za maudhui mtandaoni ya Mwananchi Newspaper kwa kipindi cha miezi sita, na kuwapiga faini ya Tshs milioni 5.
Adhabu hiyo imetolewa baada ya kubainika kuwa Aprili 13 kupitia mitandao ya kijamii...
Footage has emerged of Barack Obama giving a clear and concise way for the United States to effectively combat a pandemic – back in 2014.
As Donald Trump continues to deflect blame for the spread of coronavirus in the US, it would appear that his predecessor already had a plan in place to fight...
Utangulizi
Ni kampuni ndogo ya IT inayojishughulisha na ku manage website na ku manage kurasa za mitandao ya kijamii ya makampuni na watu binafsi, hivyo tunahitaji kuongeza watu zaidi kwenye timu yetu kwa ajili ya kutusaidia shughuli za kila siku.
Ajira
Wanahitajika watu wanne kwa ajili ya...
A new draft law that could make it easier for foreigners to gain permanent residency in China has stirred up a torrent of xenophobia online.
The proposal, released by the justice ministry last week, has been gathering billions of views and a flood of angry posts on social media, targeting...
Natumai uko mzima wa afya. Kwenye miaka hii mpaka 2020 watu wamekuwa na ndoto na kiu kubwa ya kuweza kutoa hela kutoka Paypal. Kwasababu watu wengi wana mawazo ya kujipatia kipato online na inawezekana kufanya hivyo ila kikwazo ni Paypal kutofanya kazi Tanzania kwa ku withdraw hela . Kwakuwa...
Fortune favours the bold and Ivy Kungu is one girl who decided to go after her fortunes from a tender age.
Born in Baltimore, Maryland, her everyday looks and creative makeup concept have made her a huge hit across all her social media platforms.
According to networthstats.com, the young...
Opportunity title: Head of Watetezi Online TV
Work Station: Dar es Salaam
The Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC) is an umbrella organization of more than 180 Human Rights focused organization operating in both Tanzania Mainland and Zanzibar. The main focus of the Coalition is to...
Guys nani amewahi sajiri jina la biashara Brela kwa huu mfumo wa online? anisaidie maana nimekwama kipengere cha kujaza majina na jinsia, niki hover mouse inaniletea haka ka alama 🚫, sasa nashindwa kujazahizo sehemu. Hii imekaaje au ndo mtaalamu wa IT brela anajitolea.
Habari zenu, naomba kufahamishwa gharama za kutengeneza website ambayo unaweza kufanya online payments za ndani pamoja na Visa & Master cards
Pia naomba kufahamishwa makampuni/watu kutoka hapa Tanzania, ambayo yanaweza/wanaweza kufanya kazi hiyo.
Habari wadau!
Hope mko poa kabisa, na kwa neema za Mungu tunatumai atatuvusha mwaka salama, kwa wale ambao ni wagonjwa na wenye shida mbalimbali, basi ni maombi yangu kwa Mungu wa Mbinguni akuponye na kukupatia wepesi kwa yale unayopitia.
Teknolojia inakuwa kwa kasi sana, na kila siku mambo...
Sihitaji mwaliko wa sikukuu wa online..
Haiwezekani mambo yote yawe online tu; kuchat online, kutuma ujumbe online, ku-fake maisha online, uchumba wa online, Mapenzi ya ki-online n.k. Hapana, mengine hayaitaji online.....yanaitaji kuonana uso kwa uso ili yafanyike. Mambo ya online wakati...
Binafsi napenda sana biashara za mtandaoni. Kama kuna mtu anaweza nisaidia biashara ya online ambayo siyo ya kushirikisha mtu kama ilivyo Forex, kama inalipa, naahidi kumlipa pesa ili mradi anielekeze jinsi gani inafanyika na jinsi gani naweza nufaika nayo iwe na low risk.
0712083454
Najua mjamaa alikopi kutoka nchi za watu ila kakopi jambo jema. Sasa ni siri ya mtu binafsi, maana enzi zile unakatwa makato na bank mara bodi ya kahawa mara makato ya NHIF. Unaambulia kiduchu na mandezi ya masijala yanakodolea salary slips zako basi daaah.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.