Viatu , handbag , nguo na vifaa vya majumbani
Upo vizuri Mwalimu big up...Na kwa vitu vya electronics: Computer/Tablet/Mobile basi ingia hapa vatanbilgisayar (dot) com
- trendyol (dot) com
- hepsiburada (dot) com
Karibu: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasaUpo vizuri Mwalimu big up...
Huyo hawezi kukujibu. Hata mimi kuna jamaa nili-mdirect kwake, mpaka leo hajapata mzigo wake.Mkuu migogoro yako na watu umemaliza?? Maana una tuhuma nyingi sana yani.
Duh, hebu ngoja tusikir ufafanuzi yoka kwake.Huyo hawezi kukujibu. Hata mimi kuna jamaa nili-mdirect kwake, mpaka leo hajapata mzigo wake.
Ni tapeli kama matepeli wengine wa tuma kwa namba hii.
Huduma ya skrill, bado ipo na kilasiku miamala inafanyika, Kutuma na kupokea fedha Tangua 2017 hadi sasa.Mm nilishawahi kutoa pesa kwake kwa Skrill $800 nikaipata mwaka 2018 hivi...
Angalia update hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Wa mikoani wanaendelea kupata huduma kama kawaida. Hii ni jana.
Aaah! Mbona unasaga kunguni?Mkuu migogoro yako na watu umemaliza?? Maana una tuhuma nyingi sana yani.
Kwenye SHUKA jeupe?Aaah! Mbona unasaga kunguni?
Mimi niliwahi kumtumia Mwl.RCT kuagiza bidhaa fulani kwa laki na nusu, aliniambia nitapata baada ya wiki tatu. Lakini mzigo ule niliupata kabla ya hizo wiki tatu.Huyo hawezi kukujibu. Hata mimi kuna jamaa nili-mdirect kwake, mpaka leo hajapata mzigo wake.
Ni tapeli kama matepeli wengine wa tuma kwa namba hii.