online

In computer technology and telecommunications, online indicates a state of connectivity, and offline indicates a disconnected state. In modern terminology this usually refers to an Internet connection, but (especially when expressed "on line" or "on the line") could refer to any piece of equipment or functional unit that is connected to a larger system. Being online means that the equipment or subsystem is connected, or that it is ready for use."Online" has come to describe activities performed on and data available on the Internet, for example: "online identity", "online predator", "online gambling", "online shopping", "online banking", and "online learning". Similar meaning is also given by the prefixes "cyber" and "e", as in the words "cyberspace", "cybercrime", "email", and "ecommerce". In contrast, "offline" can refer to either computing activities performed while disconnected from the Internet, or alternatives to Internet activities (such as shopping in brick-and-mortar stores). The term "offline" is sometimes used interchangeably with the acronym "IRL", meaning "in real life".

View More On Wikipedia.org
  1. Kelela

    JamiiForums Tanzania Naomba Ufafanuzi Online Content Regulations za TCRA

    Habari wa taalamu, Regulation iliyotolewa na TCRA kuhusu uhitaji wa leseni ya maudhui mtandaoni imesema ni kwa wale wanaotoa Predominant Content, ambayo si chini ya 85% kwa wiki. Hii ina maana gani? Naomba ufafanuzi zaidi kutoka kwa Wanasheria. Nimeambatanisha na sehemu inayotaja hiyo...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Best online shopping from Dubai

    Ndugu zangu naombeni muongozo wa online shopping nzuri from Dubai kwa ajili ya vitu vya jumla. Maana naona kuna wadau wengne wapo humu ni kama vile wajanja wajanja hivi.
  3. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania Msaada kucheck TIN number yangu online

    Nime-misplace Leseni yangu sasa nataka nipate TIN bila kwenye ofisi za TRA Je, inawezekana?
  4. Nafaka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo usiyoyajua kuhusu online dating platforms

    Kuna siku nilikuwa nachat na mdada flani mwenye pesa zake, lakini ana ndoto za kuolewa na mzungu. Hivyo anatumia muda mwingi kwenye online dating platforms akitafuta bwana wa kizungu. Katika kuzungumza akawa amenitajia mtandao flani ambapo kila msg unayotuma inalipiwa. Akaniambia kuanzia mwaka...
  5. Mhdiwani

    JamiiForums Tanzania Mafunzo ya ufugaji samaki online

    Habari wadau Niende moja kwa moja kwenye mada. Kama umdau au unatamani kupata mafunzo ya ufugaji samaki kuanzia kupima udongo .maji . Kuandaa bwawa . Kuanzia vipimo na idadi ya samaki inayotakiwa kwa urefu x upana x kina . Kujua formula ya chakula .jinsi ya kuweka vifaranga .jinsi ya kujua...
  6. JZHOELO

    JamiiForums Tanzania Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. Baadhi ya thread zilianzishwa na zimeelezea mengi sana kuhusiana na manunuzi haya ya mtandaoni, ila tulipata ufumbuzi mdogo...
  7. NicholeGuerrero

    JamiiForums Tanzania Application to watch sports TV channels online in Brazil

    Hello, If you want an application to be able to watch sports channels in Brazil, especially football. You can download playtv geh at TechBigs Do you know other good apps?
  8. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: RVS online TV yafungiwa kwa miezi miwili kwa kutotoa uwiano sawa kwa vyama vya siasa

    Tume ya Utangazaji Zanzibar imefungia kituo cha RVS Online TV kwa kutoa habari zisizo na uwiano kwa vyama vyote vya siasa na kurusha maudhui yanayoashiria uvunjifu wa amani. Tume ya Utangazaji imesema ilikiita kituo kiliitwa mara ya kwanza Septemba 9, 2020 ili kujibu hoja za ukiukaji wa...
  9. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Online yoyote inayohitaji mwandishi wa makala

    Habari za leo waheshimiwa, mimi ni Mwandishi mzuri tu wa makala na haswa za kijamii. Kwa yoyote mwenye kuhitaji Mwandishi kwa ajili ya kazi hiyo tafadhali tuwasiliane. Asante.
  10. E

    JamiiForums Tanzania TCU kwanini vyuo vyetu havitoa degree za online

    TCU kwanini vyuo vyetu havitoa degree za online. Nina uhitaji mkubwa sana wa kusoma Degree ya Accounting online lakini sijaona chuo chochote kinachotoa kozi hiyo kwa njia ya online Tanzania. Shida iko wapi.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Hivi gazeti la mwananchi online lilipatwa na shida gani?

    Mimi nilikuwa mfatiliaji mkubwa wa gazeti la mwananchi online, siku hizi silioni maana nilikuwa nalipenda sana. Kilichokuwa kinanifurahisha kwenye hiyo web yao hasa ni mpangilio wa habari, kuweka habari kwa wepesi na uhakika zaidi. Makala nzurinzuri na kupatikana katika application ya...
  12. Travis Walker

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo na Ushauri kuhusu Online Store

    Habari Wana JF, Natumai mko poa. Wakuu, nataka kuanzisha online store ningelipenda mnishauri na mpendekeze products ambazo online zinauzika. Mimi nimefikiria kuhusu Laptop na Smartphones used and new. Kutokana na gharama za ku set up store na kuiendesha. Ningelipenda mupendekeze niche zenye...
  13. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania TCRA waja na kibano kinginge: Wanaorusha matangazo mubashara ya matukio kuomba kibali kwanza kabla ya kwenda hewani

  14. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Klinik Ya Ngozi BURE Online Wiki Hii

    Klinik Ya Ngozi BURE Online Wiki Hii Dr.Mussa Zaganza nimekuwa kwa muda mrefu nikiwasaidia watanzania ushauri wa kutunza ngozi zao kwa njia za asili.Na Wiki Hii nimeandaa klinik ya ngozi kupitia group la whatsapp ambapo utapata kujifunza yafuatayo: Makundi 4 ya ngozi,jinsi ya kuipima ngozi...
  15. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua jinsi ya kupata TIN Number online

    Naombeni msaada wenu mwenye kujua jinsi ya kupata TIN number online wakuu.
  16. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Njia nyingine ya ku earn pesa online kwa freelancers

    Remotasks I love being online na hilo limenifanya niwe natafuta njia kadhaa za kumake money while I am online, na leo ninawaletea hii tovuti Remotasks. Hii tovuti inahusika na mambo ya kusoma na kuenhance data ili kufanya AI bora Zaidi. Mfano machine za kusoma receipt, menu, magari...
  17. Top gun maverick

    JamiiForums Tanzania Online loss report form ina shida gani?

    Habari wanajukwaa natumaini wote ni wazima wa afya. Poleni na mihangaiko ya shughuli za kujenga taifa. Naenda direct to the topic. Majuzi niliweza kupoteza ATM card yangu ya Bank fulani hivi, ndipo nilipoenda bank nikaambiwa nikachukue loss report. Nikaenda central police station nikaambiwa...
  18. Victoire

    JamiiForums Tanzania Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

    Kusema ukweli tokea Lissu arudi, anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupunguza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa. Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani...
  19. mtwa mkulu

    JamiiForums Tanzania Naombeni Mawazo kuhusu kusoma LLM Online Uingereza ama nchi nyingine za magharibi

    Wakuu, Ninaombeni maelekezo kuhusu kufanya masters online kwa vyuo vya ulaya na marekani, Ni njia gani rahisi ya kufanya hivyo? Naomba msaada kwa mtu mwenye uzoefu na hayo mambo. Ni chuo gani kilicho Bora na Cha uhakika? Mafunzo yanapatikana kwa muda gani? Ni majira gani ya kufanya...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Online Chanel, Youtube, Instagram na Facebook ziangaliwe zina pesa

    Wadau najiuliza swali naomba mwenye jibu aniambie hivi nani anaelipa kodi kwa Serikali ya Tanzania mtumiaji wa hii mitandao au mmiliki wa hii mitandao. Kama ni miliki kivipi na kama si kweli kwanini asilipie mmiliki, na kama TZ hatufanyi nchi gani zinafanya hivyo? Kwa sababu ingekuwa vizuri...
Back
Top Bottom