CHENGU MANURE
JF-Expert Member
- May 26, 2015
- 914
- 566
Wasalaam
Watu wengi sasa wameanza kuamini biashara kwa njia ya mtandao. Leo jioni nimekuwa kwenye ofisi moja idadi ya wateja na Mahala ilipo hakuna uhusiano. Baadae nikagundua wote wanawatolea online.
Kuna jamaa aliishiwa hadi akataka kurudi kwao kigoma kutoka Dar. Jamaa sio msomi Hata wa form four. Alitokea mtu akampa ramani ya kuuza bidhaa za madukani online. Akiwa na bodaboda yake ndani ya mwaka alijenga Nyuma Mbili DSM na Kigoma. Platform yake ilikuwa ni instagram na FB tu.
Binafsi nimekuwa nikijaribu lakini matokeo ni hafifu na yanapanda na kushuka.
Karibu unishauri, mbinu za haraka ila za uhakika wa kufanya digital marketing kwa bidhaa yoyote ili iwe faida na kwa wengine.
Unaweza kutoa ushuhuda wako na uzoefu wako binafsi wa online au digital marketing.
Watu wengi sasa wameanza kuamini biashara kwa njia ya mtandao. Leo jioni nimekuwa kwenye ofisi moja idadi ya wateja na Mahala ilipo hakuna uhusiano. Baadae nikagundua wote wanawatolea online.
Kuna jamaa aliishiwa hadi akataka kurudi kwao kigoma kutoka Dar. Jamaa sio msomi Hata wa form four. Alitokea mtu akampa ramani ya kuuza bidhaa za madukani online. Akiwa na bodaboda yake ndani ya mwaka alijenga Nyuma Mbili DSM na Kigoma. Platform yake ilikuwa ni instagram na FB tu.
Binafsi nimekuwa nikijaribu lakini matokeo ni hafifu na yanapanda na kushuka.
Karibu unishauri, mbinu za haraka ila za uhakika wa kufanya digital marketing kwa bidhaa yoyote ili iwe faida na kwa wengine.
Unaweza kutoa ushuhuda wako na uzoefu wako binafsi wa online au digital marketing.