nzuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyendo

    GE2020 Rais Magufuli azungumzia wapinzani wanaohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kugombea

    Rais Magufuli akijibu swali la Sojo, MNEC kutoka Songwe aliyesema kwamba ametumwa na wanasongwe kuwasemea kuwa wanasononeka pale ambapo wapinzani wanapohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kuwaacha wanachama ambao walikipigania chama kufa na kupona 2010-2015, wanavunjika moyo wanapoona...
  2. senzoside

    Ni simu gani nzuri nayoweza kununua kwa bajeti ya 150,000/=

    Poleni na mapambano ya kila siku, naomba mapendekezo ya simu nzuri ya smart ninayoweza kununua kwa budget ya 150,000/=
  3. Bushmamy

    Sehemu gani nzuri ya maombi Arusha

    Wakuu Naomba kuuliza kwa hapa Arusha wapi tutapata Nabii, Padre atakaeweza kuombea mtu na akapona shida yake. Asante
  4. J

    Wadau kitimoto nzuri napata wapi Dar?

    Wadau naomba tushare sehemu nzuri kwa hapa Dar ambazo zinawapishi wazuri wa kitimoto tuweze kuwa tuna badili viwanja. Majina ya sehem na location itapendeza zaidi. -------- Pitia link hizi Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo Tujuzane machimbo yetu pendwa ya nyama ya...
  5. mkenya wa kova

    Wakuu sogeeni mjionee finishing nzuri katika nyumba zenu

    Nashugulika na urembo wa Mouldings katika nyumba kama ionekanavyo hapa. Nipo DSM na nafanya kazi popote alipo mteja. karibuni sana 0719999526
  6. K

    Msaada kwa ufaulu huu unaweza kusomea kozi gani nzuri

    Civics=C History=C. Biology=C Chemistry=C English=C. Kiswahili=C. Geography=D. Math=F. Div(III) point 22. 2019. Ushauri wenu muhimu wadau katika kufanya maamuzi
  7. palesh pizoo

    Course Gani nzuri kusoma kuanzia Certificate kwa matokeo haya?

    Mdogo wangu amemaliza kidato cha nne na kupata DvsnIII 25 CIVICS - 'C' HISTORY - 'C' GEOGRAPHY - 'C' KISWAHILI- 'C' ENGLISH - 'D' BIOLOGY - 'D' B/MATH - 'F' tukasubiria labda anaweza kupata selection ya Advance lakin hajachaguliwa, baada ya kushindikana hapo tukaona bas sio vibaya ikiwa ataenda...
  8. Kawe Alumni

    Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

    Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies " Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa...
  9. M

    Lodge gani nzuri affordable Singida Mjini!

    Wakazi wa Singida Ni Lodge gani hapo mjini Ni nzuri na affordable! Naomba kujua ..Bei,naLocation
  10. mheshimiwamtemi

    Nahitaji kununua suti ya harusi kwa bei nzuri

    Nahitaji suti ya harusi, bei poa, kali na yenye rangi ya kisasa. Nijuzeni ni rangi gani nzuri na nitapata wapi kwa hapa Dar. Asante.
  11. T

    Sub Woofer nzuri ni ipi?

    Habarini wana JF, naomba kufahamishwa aina ya sabufa inayodumu kwa muda mrefu na yenye mziki mnene. Nimefanikisha vihela kadhaa hapa sasa sijui nichujue aina gani. Pia kama ukiniwekea na kabei (bei ya mkulima kuanzia sh.50,000/= hadi 200,000/=) inaweza kuwa rahisi hata kumuagiza mtu aniletee...
  12. T

    Namna ya kujenga hostel ya wanafunzi, nzuri lakini kwa gharama nafuu

    Wakuu, Kuna sehemu vijijini nimeona wanafunzi wa shule ya sekondari (day) wanapata shida sana, tatizo mojawapo nililoliona ni makazi yao ya kupanga kuwa duni. Sasa nikawaza kuwasaidia hawa wanafunzi kwa kujenga hostel simple kwa ajili yao. Plan yangu ni kila mwanafunzi awe na chumba chake --...
  13. H

    Waziri Ndalichako nakupongeza kwa kazi nzuri ila dhibiti udanganyifu wa mitihani

    Tangu awamu ya tano iingie madarakani kuna mabadiliko mengi katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu. Binafsi kama mtanzania mzalendo nahuzunishwa na tabia za baadhi ya taasisi za elimu kufanya udanganyifu wa mitihani. Mhitimu wa darasa la saba anafaulu vipi kwa daraja B na C wakati...
  14. Mzukulu

    Ndiyo tuna Timu nzuri, ina Morali na Mazingira yote mazuri ila nawatahadharisha wana Simba SC Mechi ya leo si rahisi kihivyo Kwetu kama tuwazavyo!

    Kama kuna Mechi ambazo zinaenda kuwa ngumu kwa Simba Sports Club ( ambayo hata Mimi Mzukulu ) naipenda na Kuishabikia basi ni hizi Kumi ( 10 ) zilizobaki na hasa hasa hii ya Leo na zile zingine Tatu ( 3 ) ambazo zote tutazicheza katika Uwanja wa Uhuru au pale kwa Mkapa. Sina Shaka na Timu yangu...
  15. Mkogoti

    Kuna mastar Hollywood black Americans movie ambazo atacheza lazima ziwe nzuri mfano hawa hapa

    1.Will Smith 2. Samuel Jackson Nk. Ebu taja unaowakubali
  16. ChoiceVariable

    Ushauri,kozi ipi ni nzuri kwa kujiajiri na kuajiriwa kati ya hizi hapa?

    Habari wakuu,nishaurini kozi nzuri ya kusomea VETA kati ya zifuatazo au kama kuna nyingine nzuri zaidi mniambie kuna ndugu kaomba nimshauri - Electronics - Leather goods and shoe making - Auto body repair - pre-press and digital making - Heavy duty mechanics - Motor vehicle mechanics -...
  17. Nafaka

    Wazee wa series, nje ya The Queen of the South naomba series nyingine nzuri

    Nimetazama the queen of the south, nacos seal pia. ya Naomba series nyingine nje ya hizi lakini zinazoendana na hizi. Pia kama kuna mtu anajua series zenye hadhi ya game of thrones au spartacus pia naomba anitajie.
  18. K

    Bila B Dozen bado XXL ni show nzuri

    Leo nimeikiza Clouds Fm's XXL bila ya uwepo wa Dozen lakini bado nimeona show ni nzuri. Wana varieties ya segment ambazo haziboi. Mamy amerudi kwenye Hot3@3 basi utani wao na Mchomvu inakuwa burudani Clouds wanajua kutengeneza watu, pengo la Dozen lipo lakini sio kwamba kipindi hakiwezi...
  19. Robert hendry

    Naombeni ushauri: Nasoma PCM, Chuo nisome kozi gani?

    Naombeni ushauri, ninasoma PCM ipi kozi bora niisomee nikifika Chuo?
  20. Mandison

    Kwa mtaji wa 25 million nifanye biashara gani?

    Sijawahi kufanya biashara ya aina yeyote isipokuwa nimefanikiwa kukusanya kiasi cha Tshs 25/- milioni ambazo nafikiria kujiajiri kwa kufanya biashara. Naomba wazoefu wa Jiji la Dar mnipe ushauri juu ya biashara ya kufanya tafadhali. Maoni ya wadau:
Back
Top Bottom