maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,143
Mzee baba alishajinadi hakuna mgao ila wenye umeme wao hazipiti siku mbili wanakata tena bila taarifa wala nini.
Nadhani ni ishara nzuri hasa kipindi hiki ambapo zimebaki siku chache tufanye uchaguzi mkuu. Kuanzia Mbezi mwisho hadi Goba kote ni kilio cha umeme daily,sijui pande zingine nako kama TANESCO wanawasaidia kufanya maamuzi sahihi ya viongozi.
Nadhani ni ishara nzuri hasa kipindi hiki ambapo zimebaki siku chache tufanye uchaguzi mkuu. Kuanzia Mbezi mwisho hadi Goba kote ni kilio cha umeme daily,sijui pande zingine nako kama TANESCO wanawasaidia kufanya maamuzi sahihi ya viongozi.