dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,990
Sasa viongozi wa CHADEMA majimboni wanashindana kutambiana rekodi. Kazi nzuri sana hii.
Tulianzia Morogoro, tukaja Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa na sehemu ya Katavi ( Hapa tutarudi pamoja na Kyela, Tukuyu na Rungwe)
Kote tulilopita tumeshuhudia hamasa ya wanachama na viongozi wa majimbo wakihakikisha Rais mtarajiwa anapata heshima anayostahili. Kiukweli rekodi inashikiliwa na Musoma mpaka sasa! Naamini kesho Tarime na keshokutwa Serengeti hapatatosha. Ingawa najua kuwa rekodi ya jumla itaandikwa Moshi mjini!
Tuendelee kusonga mbele!
Tulianzia Morogoro, tukaja Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa na sehemu ya Katavi ( Hapa tutarudi pamoja na Kyela, Tukuyu na Rungwe)
Kote tulilopita tumeshuhudia hamasa ya wanachama na viongozi wa majimbo wakihakikisha Rais mtarajiwa anapata heshima anayostahili. Kiukweli rekodi inashikiliwa na Musoma mpaka sasa! Naamini kesho Tarime na keshokutwa Serengeti hapatatosha. Ingawa najua kuwa rekodi ya jumla itaandikwa Moshi mjini!
Tuendelee kusonga mbele!