Na kwa bahati mbaya zaidi katiba yetu Tz haizingatii uhuru, haki na demokrasia.Cha ajabu katiba yenu imeshindwa kuwaunganisha rais wenu na msaidizi wake ..
Na kwa bahati mbaya zaidi katiba yetu Tz haizingatii uhuru, haki na demokrasia.
Huu ni ujinga.Bora yetu .kwa sababu sio mpya.
Ila ya KWENU ni mpya lakini
Na imeshindwa kuwaunganisha rais wenu na msaidizi wake..
Kuweni makini wasije wakarestiana in peace.
Katiba ya marekani inazingatia ? Maana kuna mgombea urais ya mda wote anasifia nchi za wenzake tu mpaka kero utamsikia marekani hamna hiki ana mawazo ya kitumwa tumwa tuuuuu mpaka kero halafu anataka nchiNa kwa bahati mbaya zaidi katiba yetu Tz haizingatii uhuru, haki na demokrasia.
Ubaya ni kwamba unaingiza katiba kwenye mambo ya siasa. Politics is a dirty game. How you are connecting the two is beyond comprehensionBora yetu .kwa sababu sio mpya.
Ila ya KWENU ni mpya lakini
Na imeshindwa kuwaunganisha rais wenu na msaidizi wake..
Kuweni makini wasije wakarestiana in peace.
Wanasemaga tuna GDP kubwa kutajenga katiba nyengine tu mda wowote tukiamuaBora yetu .kwa sababu sio mpya.
Ila ya KWENU ni mpya lakini
Na imeshindwa kuwaunganisha rais wenu na msaidizi wake..
Kuweni makini wasije wakarestiana in peace.
Huu ni ujinga.
Katiba ya Tz iko mkononi mwa mtu mmoja na ndiye anayeikalia na kuamua vitu visivyo.
Ubaya ni kwamba unaingiza katiba kwenye mambo ya siasa. Politics is a dirty game. How you are connecting the two is beyond comprehension
Wanasemaga tuna GDP kubwa kutajenga katiba nyengine tu mda wowote tukiamua
Kwahy unataka kulinganisha siasa za marekani na hizi siasa uchwara za mabavu za hapa Tz?Katiba ya marekani inazingatia ? Maana kuna mgombea urais ya mda wote anasifia nchi za wenzake tu mpaka kero utamsikia marekani hamna hiki ana mawazo ya kitumwa tumwa tuuuuu mpaka kero halafu anataka nchi
Ni bora yao imekaliwa na watu wawili na maendeleo yako kuliko huyu kiziwi na hakuna alilofanyaKatiba ya Kenya imekaliwa na watu wawili.
Kenyatta na ruto ndo maana hawaelewani.
Ni bora yao imekaliwa na watu wawili na maendeleo yako kuliko huyu kiziwi na hakuna alilofanya