Kampuni gani bora za mabasi Dar kwenda Mwanza?

Anko Kong

Senior Member
Jul 3, 2020
130
72
Wasalaam wapendwa.

Wakuu nataka kusafiri kwenda Mwanza basi gani nzuri inayoweza kunifikisha kwa siku moja tu, iwe luxury ya kisasa. Karibuni tujuzane wakuu
 
Mwanza gari ni tatu 2 nazo ni Tungis,ally star, na happynation kwengine matatizo 2
 
Back
Top Bottom