nzuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    COVID-19 Imetukuta Watanzania kipindi kibaya sana. Pray for the nation

    Ndugu Watanzania na taifa kwa ujumla, mimi leo nakuja mbele yenu kuwaambia jambo moja zito sana na kiukweli naomba mnielewe. Nawaomba tuliombee taifa letu na viongozi wetu wasasa na wazee pia. Hakuna asiyejua tunapita kipindi gani kama taifa na hakuna asiyejua kwa wakati huu mezani kwa Rais...
  2. K

    Elimu nzuri kuhusu corona kutoka kwa diaspora

    Video Conferencing, Web Conferencing, Webinars, Screen Sharing
  3. CARIFONIA

    Njia nzuri ya kujiongezea maarifa

    Wakati huu ambao dunia inapitia wakati mgumu kutokana nchi nyingi kukumbwa na janga la ugonjwa wa corona, ambao umeathiri kwa kiasi kikubwa shuguli nyingi za binadamu Kama vile shule na vyuo kufungwa. Ningependa kutoa ushauri kwa ndugu zangu hususani wanachuo na wanafunzi kuhutumia muda huu...
  4. Deo Corleone

    Recording microphone nzuri

    Habari wakuu, Nataka niwe narecord audio mbalimbali kwa ajili ya podcast/ YouTube video. Ni microphone gani nzuri na cheap naweza kutumia. Nimejaribu hii ya simu naona hata haina quality.
  5. Mshumaa_Tz

    Njia nzuri yakumuacha mtu unayempenda

    Habari JF Kuna binti niko naye kwenye mahusiano kwa kipindi kama cha miezi 3 Sasa kiukweli mimi nampatia vitu baadhi ambavyo viko katika ndani ya uwezo wangu takribani kama wiki 8 hivi. Sasa Mimi huyu binti simpendi ila ndo hivyo kama mnavyojua mapenzi yanakuaga hayana Ujanja. Hivyo basi Mimi...
  6. muneera75

    Mwenye kalio kubwa sura ya kawaida VS hana kalio kubwa (pasi) sura nzuri...kapuku afu anajua kazi kazi au tajiri ila hajui chochote?

    Boys .. Yupi we una mfeel sana just be honest Mwenye kalio kubwa sura mbaya au ya kawaida tu..au yule hana kalio (pasi)ila sura nzuri Girls Yupi we unampenda sana? Kapuku ila anajua kufanya mapenzi vizuri mpaka unachanganyikiwa? Au yule handsome,ana hela ila kufanya mapenzi kawaidaa yaan..yupi...
  7. Mwanamayu

    Elimu nzuri sana ya namna ya kunawa mikono, ila je watanzania wangapi wanamudu au kufikiwa na mfumo huo wa maji na sabuni haina hiyo?

    Maelekezo ni mengi na mazuri kabisa, na yamekuwepo hata kabla ya Corona mpya kusumbua watu. Namna inayoonyeshwa kwenye video ni nzuri sana, ila je ni watanzania wangapi wanaweza kumudu mfumo huo wa maji? Au ni wangapi wamefikiwa na mfumo huo wa maji? Je, watanzania wangapi wanamudu aina ya...
  8. FRANCIS DA DON

    Nadhani mahakama ni njia nzuri sana ya kukusanya kodi za ziada, sikuwa najua hili kabla

    Inapotokea kuna uhitaji wa kutekeleza miradi miwili mitatu ya maendeleo , mfano ukarabati wa barabara za mitaani au madaraja madogo madogo yasiyohitaji zaidi ya bilioni 1, nadhani pangekuwa panafanyika coordination na mahakama ili kuangalia ni nani na nani (wenye kesi na wenye uwezo wa kulipa...
  9. K

    Ziara ya Kabudi ya kuomba msamaha ni nzuri kwa taifa

    Waziri Kabudi amekuja US kukutana na wawakilishi wa serikali ya Trump na World Bank. Kwenye World bank alikuja kwa unyeyekevu na kuwahakikishia bank kwamba Tanzania itaweka shule maalumu za kulinda watoto waliopata mimba na hii wamehakikisha kapiga sahihi kabisa. Pili amepeleka ujembe kutoka...
  10. Bellami

    Kanzu nzuri kutoka Dubai za watoto kwa wakubwa

    Karibuni tupo Kinondon popote ulipo Tanzania tunakuletea , za wakubwa elf 70 za watoto elf 50. 0752976792
  11. Pascal Mayalla

    Habari njema za uchumi wa Tanzania kimataifa: IMF yakubali Magufuli anapiga kazi nzuri, kumuunga mkono kwa kuimwagia mabilioni ya maendeleo mwezi Mei

    Wanabodi, Angalizo la kuzuia kukereka. Kuna members humu wanakereka na kukasirika pale serikali ya Tanzania, au rais Magufuli na serikali yake anapofanya vizuri kustahili pongezi, Hivyo tusiharibiane siku leo mwanzo wa weekend, wewe kama uko kundi hili, naomba uishie hapa ili usije kuharibu...
  12. Bellami

    Chupa za chai nzuri hazipoozi

    Habari wana jamii, nakuletea chupa za chai nzuri zisizopooza uwekee chai, uji, mtori, kahawa, na kadhalika litre 1 elf 25, litre 1.8 elf 30 , litre 2 elf 35 na la litre 3 elf 45 kama zionekanavyo kwa picha karibuni sana wakuu. Dar es Salaam Kinondoni 0752976792 delivery ipo 😊.
  13. Shaddai

    Msaada: Natafuta shule nzuri ya Sekondari Dar es salaam

    Wadau natafuta shule ya secondary kwa ajili ya mwanangu, yupo kidato cha kwanza, kwa hapa Dar shule gani nzuri napenda asome day, nipo Kimara ada isizidi 1,400,000
  14. L

    Kati ya samsung J series na A series ipi nzuri?

    Wakuu nataka kununua simu ya Samsung. Sasa kuna hizi A series na J series. Je, ipi ni mzuri kwa budget ya shilingi laki 6 hadi 8? Au hata S series pia ipi nzuri?
  15. Numbisa

    Juisi mbalimbali nzuri kwa afya yako

    ORODHA YA JUICE MBALIMBALI (Kwa hisani ya mtandao). 1. Juice ya ukwaju mix na unga wa custard 2. Juice ya carrot na ndimu hii taste inakua kama fanta orange 3. Juice ukwaju tango na zile pipi za kifua 4. Jiuce ya passion na maziwa fresh. 6. Chukua ukwaju loweka then chuja halaf kando chukua...
  16. B

    Makamu wa Rais, Mama Samia: Wapinzani wana hoja nzuri, zisizojibiwa na Mawaziri

    February 17, 2020 FULL HISTORIA YA MAMA SAMIA Mama Samia anakubali hoja nzito za wapinzani, nilikataa pendekezo la kuwa Makamu wa Rais Makamu wa Rais wa serikali ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu asema kilichomsukuma kuingia katika siasa ni maoni na hoja za mashiko za...
  17. kofia ya plastiki

    Ni biashara gani nzuri kufanya maeneo ya shule ya msingi?

    Kwa mwenye uelewa wa biashara ambazo zinafanya vizuri maeneo ya shule ya msingi naomba anifahamishe ni aina gani au bidhaa gani nzuri asante
  18. Victor Mlaki

    Nguvu ya uumbaji ilishafanya kazi yake nzuri ya uumbaji, ni binadamu ndiye aliye uwanjani sasa

    Binadamu ni kiumbe aliyejaliwa uwezo mkubwa sana kuliko viumbe wengine wengi Duniani. Binadamu leo anaweza kuumba ayatakayo ikiwa tu atauelewa ilimwengu wa ndani unavyofanya kazi yake. Kwanza kabisa tunapaswa kujua hakuna kitu chochote alichokiumba mwanadamu ambacho hakijaanzia ndani yake. Leo...
  19. budebajr

    Zawadi ipi nzuri kwa mama mzazi wa Kitanzania?

    Zawadi gani inafaa kumpa mama Mzazi wa kitanzania kumshukuru kwa mchango wake mzuri kama mzazi. Nasubiri maoni yenu wakuu
  20. Mr. MTUI

    Brand gani ya jiko la gesi nzuri?

    Wadau samahani, Nauliza ni jiko lipi la gesi ambalo kioo chake hakivunjiki na kuchoma gesi vizuri. Nauliza hili because jiko langu nililonunua mwaka jana limevunjika kioo hivi karibuni na kidogo tujifiche chini ya uvungu kwa kuzani ni majambazi ya Vikindu yamehakia nyumbani kwangu, kwani...
Back
Top Bottom